Lipumba aondoka nchini baada ya kujiuzulu

Lipumba aondoka nchini baada ya kujiuzulu

Kinachonifurahisha ni kua kakosa sapoti na kila mtu anamlaumu.Bora asingeshiriki toka mwanzo angeeleweka.
 
CCM inakosea sana, badala kuwanunua viongozi wenye njaa ilitakiwa itununue sisi wananchi wapigakura kwa kutuboreshea maisha na kuacha ufisadi
Watawahonga sana hela lakini wananchi ndo tunataka mabadiliko na sio hao manunga embe wasio na huruma kwa wananchi laana za mate so ya wananchi ziko juu yao popote. So shame wangehonga wananchi kwa good social services.
 
Mkiitwa nyumbu mnakuwa wakali ukweli ni kuwa bavicha na hao wanaojiita team lowasa me naona kweli ni kundi la nyumbu msiojua wapi mnatoka na wapi mnaelekea, mbaya zaidi mnaongozwa na mihemko, jifunzeni kutafakali mambo sio kumkurupukia kila anaetoka ukawa, bila kutafakali mtaendelea kuitwa wendawazim tena nyumbu kila siku na ukweli pamoja na matusi na kejeli kwa wasomi wanasiasa wakomavu wanaoendelea kuondoka ukawa haiko salama, acheni ubwege wa kukurupuka tafakuri inahitajika

Anayeaminka kwamba anasimamia dhamira yake ni dr slaa kulingana nna jinsi alivyoonyesha msimamo wake.
Ila kwa huyu prof lazima ujiulize mara mbili kulikoni.
 
Anakimbia aibu ambayo inamfuata bila yeye kuiona? Wana CUF watamtambua kama mtu wa hovyo kupata kutokea ktk CUF , maprofesa wa TZ bana hakuna tofauti ya Lipumba na Tibaijuka.
 
nasikia amekwenda kupumzika. Ila usishangae uwenda kaenda kuchukua chake

KUPUMZIKA ATAPUMZIKA YEYE BWANA? HANA MKE, HANA HATA MTOTO WA KUSINGIZIWA Halafu Unasema Kaenda Kupumzika! Angekuwa Na Mke Tungesema Kura Moja Imeondoka Lakini Mke Hana Kaondoka Peke Yake Na Nguo Zake.
 
Shule Tanzania inadhalilisha sana lipumba aeleweki ni profesa au riprofesari

Sasa ni Riprofesari baada ya kuweka Njaa mbele hatimae akaweza kulubuniwa kirahisi na Nape ambaye si msomi , Lipumba ni shiiiiiiida.
 
Mbona ndiyo zake toka zamani! Mwenye harakati za kweli ni Maalim Seif Sharif Hamad lakini huyo pimbi nimekuwa nikimhofia tangu zamani yuko kuisaidia CCM ishinde kwa kishindo!

Maalim seif alikimbia wananchi zanzibar akaenda uingereza huku wanapigwa acha kuongea kabisa kuhusu huyo kigeugeu maalim seif
 
Humu vimejazana vikundi viwili bavicha na team lowassa vinatiana ujinga,jf imevamiwa,bora uchaguzi uishe muondoke na mzoga wenu mrudi nao Facebook tuendelee na mambo mengine
Nenda wewe fb hapa lazima upate ukweli mchungu kuliko klotoqwini na wewe unatiana ujinga na nani akili hizi za ki division Ukawa ndo habari ya mjini.
 
Raisi Kikwete alikuwa nchini Australia kwa ziara anayodai ni ya kuaga nchi rafiki, ziara hiyo ilihusu mambo mengi sana; kwanza

1. Kampuni yenye utata ya Simba... ambayo wenye hisa ni familia yake ndiyo walikuwa wamiliki wa Richmond na sasa IPTL kampuni hiyo imesajiliwa nchini Australia, ilikuwa ni lazima awahi huko kuweka mambo sawa kabla ya muhula wake haujaisha.

2. Wapo wanasiasa wa ukawa wameshaandaliwa makazi yao nchini Australia, mmoja wapo ameshaondoka mwenzake muda wowote naye atawaita waandishi wa habari na kutoa ya moyoni mwake, ndiyo maana wakati Makufuli anachukua fomu za kugombea nafasi ya uraisi Kikwete alisema ccm ni lazima ishinde kwani wanazo mbinu nyingi za ushindi na watazitumia.
 
Bavicha, mbowe fans and mbatia fans your leaders might be wrong learn to think for yourself
 
Mkiitwa nyumbu mnakuwa wakali ukweli ni kuwa bavicha na hao wanaojiita team lowasa me naona kweli ni kundi la nyumbu msiojua wapi mnatoka na wapi mnaelekea, mbaya zaidi mnaongozwa na mihemko, jifunzeni kutafakali mambo sio kumkurupukia kila anaetoka ukawa, bila kutafakali mtaendelea kuitwa wendawazim tena nyumbu kila siku na ukweli pamoja na matusi na kejeli kwa wasomi wanasiasa wakomavu wanaoendelea kuondoka ukawa haiko salama, acheni ubwege wa kukurupuka tafakuri inahitajika

Mimi nawasiwasi sana na uelewa wako.nazani unamapungufu. je? umetumia muda kutafakali zile sababu alizozitoa lipumba?zinaendana na alichofanya?
 
Mkiitwa nyumbu mnakuwa wakali ukweli ni kuwa bavicha na hao wanaojiita team lowasa me naona kweli ni kundi la nyumbu msiojua wapi mnatoka na wapi mnaelekea, mbaya zaidi mnaongozwa na mihemko, jifunzeni kutafakali mambo sio kumkurupukia kila anaetoka ukawa, bila kutafakali mtaendelea kuitwa wendawazim tena nyumbu kila siku na ukweli pamoja na matusi na kejeli kwa wasomi wanasiasa wakomavu wanaoendelea kuondoka ukawa haiko salama, acheni ubwege wa kukurupuka tafakuri inahitajika

Hapa hakuna cha Nyumbu wala nini na haihitajiki kutafakari ,hakuna aliyekurupuka kwani wengi wanajua kuwa Lipumba na Slaa wamenunuliwa ili wapunguze kasi ya Ukawa na Kama unawaona hao ni wasomi na wanasiasa wakomavu iweje walubuniwe na Nape ambaye si Msomi? Tambua kuwa Watanzania wa sasa si wale wa 1995 kipindi cha Mrema , Watu wameamka wanajua magumashi, siasa za maji taka na hujuma zote juu ya Ukawa.
 
Hawa ndio maprofesa wa miaka hii alisha vuta chake mapemaa lakini yote kwa yote na wote walio fanikisha yote hayo
Hamna kitu wamefanya cuf itaendelea kuwepo na ukawa nayo haita kufa ccm watamaliza kuni kwa kuchochea mawe
 
Mbona ndiyo zake toka zamani! Mwenye harakati za kweli ni Maalim Seif Sharif Hamad lakini huyo pimbi nimekuwa nikimhofia tangu zamani yuko kuisaidia CCM ishinde kwa kishindo!

Ile kauli yake kwamba alimsaidia JK kushinda urais, ilianza kunipa mashaka ya mamluki wa ccm kujaa upinzani.
 
Back
Top Bottom