Kasie
Platinum Member
- Dec 29, 2013
- 22,801
- 43,177
- Thread starter
- #41
Alafu ukute akicheka fizi zinaanza kuonekana kabla ya meno .... meno ukute meupe fiz nyekundu nyeusi..... uwiiii.. unajikuta unasema kiinglish... u are handsome
waapiiii, kabla sijamsifia hapa niliona vyote hivyo wakati anaongea na simu alikuwa anacheka hivo niliona hadi fizi, yaani mdomo umekamilika, sikuuona ulimi tuu ila the way lips zake zinavutika akichek uwiiiiii nadataaa!!