Lips zake zimenichanganya

Lips zake zimenichanganya

Kasie

Platinum Member
Joined
Dec 29, 2013
Posts
22,801
Reaction score
43,177
Habari zenu wapendwa,

Kama kawa kama dawa Kasie is on board, yaani acha tuu niwasimulie na mnisikilize.

Haina mashiko saana ila ndo beats za Kasinde.

Leo bana mida ya lunch nilienda ofisi fulani hivi kupata huduma sasa tukiwa kwenye foleni mtu wa mbele yangu alikuwa kijana mdogo tuu, mdogo kwangu kwa makadirio ya haraka nimemzidi kama 10 to 15 yrs.

Huyu kijana alinifanya nizubae na sikutaka foleni iende, midomo yake uwiiii mizurii yaani nilikuwa naiwaza tu.

Mbaya zaidi akawa anaongea na simu akicheka sasa midomo inanihorojesha, sikuwahi kuwaza kama naweza izimikia midomo ya mtu ila leo nime proof.

Yeye kama yeye simpendi ila midomo.

I love kissing Kasinde mie
 
Koooooooooh! *Swallows spit!* kumbe na wewe umesikia huu wimbo wa kibaka kuomba lift kwwnye defender! Did you say 15? Kooooooooooooh! *Spits out this time!:A S-eek:*
 
Koooooooooh! *Swallows spit!* kumbe na wewe umesikia huu wimbo wa kibaka kuomba lift kwwnye defender! Did you say 15? Kooooooooooooh! *Spits out this time!:A S-eek:*

Coldril or Goodmorning ama asali iliyochanganywa na mdalasini!!
 
Crash zimekwisha. Umewaanzia serengeti au sijakuelewa mkuu.


hapana, hujanielewa, sina issue na serengeti boys wala sija fall kwa huyo kijana, yaani ukimuweka mbele yangu mie ntachukua midomo yake tuu kisha yeye aondoke simhitaji, yaani kiss la hiyo midomo nikiliwaza nahisi nikianza simalizi
 
ungemuomba hiyo midomo akuazime hata usku mmoja tu ulale nayo

usiku mzima kulala nayo hapana, mie nataka kuibusuuuu muda mrefuuuu halafu basi, nikiiona tena kazi ndo hiyohiyo kuibusu weeeeee aaaah yaaani nikiivuta ile taswira ya hiyo midomo................ wish ningeweza hata kuipiga picha aaaah midomo mizuri .............. acha tuu
 
imagine ndo una mke kama huyu!!! yaaani bora niende mnadani tubadilishane na beberu ninywe supu....

Unaweza shangaa huyu ni bongez la mdada, mwenye haiba unayoipenda.
Hizi stories za humu zisikupe presha, kama wataka jaribu bahati yako mkuu ! junior. cux
 
Koooooooooh! *Swallows spit!* kumbe na wewe umesikia huu wimbo wa kibaka kuomba lift kwwnye defender! Did you say 15? Kooooooooooooh! *Spits out this time!:A S-eek:*

yaaani ni zaidi ya kibaka kuomba lifti kwenye difenda, regardless of the situation, yaani ashukuru mungu tuu huyo kijana kuwa nimemzidi umri ila angekuwa huku juu niliko walahi ningemuongelesha na ningemwambia wazi wazi nataka kukunyonya midomo....................!!! sijui angekimbia..............
Vinginevyo ningeweza mbaka midomo na kuikidnap kwenye midomo yangu, I love kissing aiseeee the lips, huchoki kuzitazama.......
 
Back
Top Bottom