yote ovyojibu tafuta atakaekufaa
Kuwa single ama kuendelea kuvumilia maumivu ambyo hujui yanisha lini?
Kuwa single ama kuendelea kuvumilia maumivu ambyo hujui yanisha lini?
Tueleze kwanza kilichokusibu au kinachokusibu ili wanaJF wafahamu waanzie wapi kukushauri...enhee lete manenonimevumilia vya kutosha jamani nahsi naweza kupata ugonjwa wa moyo bure,lakin NAMPENDAtena sna,sasa silelewi coz pia natamani maisha yangu yawe n yenye amani ..................................I DONT KNOW
raha gani? mimi naona mtu akiwa single ndio anaumia zaidi.Cjui kama naweza kuvumilia mateso ya mapenzi. Bora kuwa single. Kuwa single kuna raha zake.
Kama wewe unampenda sana, huwezi kumuacha na hapohapo anakutesa basi itabidi uizoee shida uine kama ndo raha kiasi kwamba siku ukipata raha we ndo uone ka shida.nimevumilia vya kutosha jamani nahsi naweza kupata ugonjwa wa moyo bure,lakin NAMPENDAtena sna,sasa silelewi coz pia natamani maisha yangu yawe n yenye amani ..................................I DONT KNOW
mapenzi yana raha kama hayana karaha.raha gani? mimi naona mtu akiwa single ndio anaumia zaidi.mapenzi yanaraha yake jamani!
Kuwa single ama kuendelea kuvumilia maumivu ambyo hujui yanisha lini?
Mapenzi yanapogeuka mateso kwakweli ni bora tu kujijali mwenyewe. Kwangu mimi ni heri kuwa single aisee kuliko maombolezo ya kila siku.Kuwa single ama kuendelea kuvumilia maumivu ambyo hujui yanisha lini?
Hakuna atakaejua thamani ya maisha yako kama we mwenyewe huijui. Furaha itafute we mwenyewe na wala usitegemee mtu mwingine aje akuletee furaha katika maisha yako. Ok, unatamani maisha yako yawe ni ya amani at the same time uliyenae anakukosesha amani, then what are u waiting for? Ugonjwa wa moyo au??? Usijiendekeze my dear kupenda hujaanza wewe!! Labda ngoja nikuulize swali, are u married?nimevumilia vya kutosha jamani nahsi naweza kupata ugonjwa wa moyo bure,lakin NAMPENDAtena sna,sasa silelewi coz pia natamani maisha yangu yawe n yenye amani ..................................I DONT KNOW
Husninyo kumbe nawe ulishaona hicho kitu eeeh? Ebwana ee....kuwa single kuna raha yake jamani dah!Cjui kama naweza kuvumilia mateso ya mapenzi. Bora kuwa single. Kuwa single kuna raha zake.