Lipi sahihi?

da am not marriage ma dear,just in a relationship,nampenda kwa dhati,na kila nikifikiria ishu ya kuanza uhusiano mpya naumia sana na sitaki coz its a long process,na sitaki kuanza mahusiano mengine,lakini naumia sana
mmmh...inakuwa ngumu kidogo hasa kwakuwa umeficha tatizo. Ila kwa ushauri wangu, kama una uhakika na mapenzi yake basi endelea kuvumilia ila tu endapo kuna uhakika pia wa kusurvive kwa hiyo relationship yenu, lakini kama mapenzi yake kwako ni ya kusuasua na hauna uhakika nayo....ndugu yangu ni bora tu kujiengua mapema kuliko kupoteza muda! Sioni umuhimu wowote wa kuwa kwenye relationship yenye karaha na maumivu ya kila siku, endapo mtu unaempenda ye hakujali, hakuthamini na wala hajui thamani ya penzi lenu. Embu fikiria unaumwa, umeenda dukani kununua dawa ukakuta hazipo au zimeexpire kwenye hilo duka ambalo unalitaka wewe lakini kwenye maduka mengine zipo tena salama salmini wala hazina dosari yeyote, jiulize je utaacha kwenda kwenye maduka mengine eti kisa ni mbali na hujayazoea?? Ukikubali zilizo expire madhara yake ndo hayo ugonjwa mara 100 inakuwa ni bora hata ungerudi nyumbani ukanywa muarobaini ukatibu na magonjwa mengine ambayo ulikuwa hujayagundua mapema!!
 
da am not marriage ma dear,just in a relationship,nampenda kwa dhati,na kila nikifikiria ishu ya kuanza uhusiano mpya naumia sana na sitaki coz its a long process,na sitaki kuanza mahusiano mengine,lakini naumia sana
Mbona kama kuna kitu unakificha maana hata nashindwa nitaanzaje kukushauri maana hadi sasa sijajua tatizo lako hasa ni nini
 
Kuwa single ama kuendelea kuvumilia maumivu ambyo hujui yanisha lini?

Naamini hakuna mtu single..yaani huna hata rafiki?.. Wanazuoni walishafanya utafiki..na kutoa matokeo kuwa baada ya kufanikisha mahitaji ya lazima.chakula, malazi etc...stage ya pili kila binadamu atatafuta kupendwa na kuthaminiwa na jamii..huwezi kuepuka ili..

Kikubwa ni kujiuliza kama uko tayari kwa Ndoa au just having a partner au rafiki.(kumbuka hapa hatuongelei ku do..hiyo ni kichwani kwako) ..Wenzetu walioendelea wanaanza kutambua mahusiano ya Partners..yaani yule rafiki ambaye sio mke/mme wa ndoa.
 
Hebu tueleze kusudio lako hapa nikutujulisha kama unaumia. Au kupatiwa ushauri? Hujaweka wazi tatizo utasaidiwaje? Tueleze nini kinakusibu tujue ili upate ushauri jinsigani ya kuweka mambo sawa
da am not marriage ma dear,just in a relationship,nampenda kwa dhati,na kila nikifikiria ishu ya kuanza uhusiano mpya naumia sana na sitaki coz its a long process,na sitaki kuanza mahusiano mengine,lakini naumia sana
 
Weh,kwa nini undelee kuumia for being single?? Labda kama una matatizo,if not labda nikulize swali moja kuwa "Unaweza kuishikilia miaka isiende?" If no,remember kuwa,As years counts,we become older and marketless in terms of marriage. So expose urself & get ur couple now... Kumbuka duniani tu wawiliX2!
 
Back
Top Bottom