Kuna kistori Fulani hivi kinafanana na hii mada kidogo ingawa kime-base kenywe hasara za kujua udhaifu, mshikaji alikuwa design hii
jioni anawahi kurudi, hana makundi yeye kazini nyumbani, nyumbani mazoezi
jogging two hours huyu hapa karudi. Hata bar haendi. Mkewe very innocent anamwanmini jamaa balaa.. Sikuhiyo kapata bonus kazini
akaamua kumpa mume surprise kamtoa out
dinner
Huko sasa ndio yakafumuka ya kufumumka baada ya kufika waitress kaja na heinken baridi kaweka kwa mume, then akamnongoneza jamaa anataka chumba kikile au leo atabadili? Mama anangalia tu mchezo macho hayaamini anachokiona na kusikia. Mama pressure ikaanza kumpanda akauliza kulikoni mbona hivyo
jamaa ooh ni mfanyakazi mwenzangu hapa yuko part time ananitania
Akaona isiwe tabu..akachuna kidogo manager wa hotel huyu hapa nae kafika kwa jamaa..baada ya salam nae kampiga mshikaji kiswali cha utani.. leo mkuu umekuja kivingine mkuu huna track suit
.. hapo ndio mke kengere ya hatari ikagonga.
Akaamua dinner iishie hapo akanyanyuka kwa mwendo wa haraka mpaka kwenye taxi hataki hata kupanda gari yao, kaingia kwenye taxi kafunga mlango kwa nguvu. Jamaa nae yuko nyuma.. kuisogelea gari mama akamuamuru dereva kuondoa gari haraka, kumbe na dereva wa taxi anamfahamu jamaa
nae akachombeza lake kwa kumtaja jamaa jina.. akasema ....huyu changu wa leo mkorofi sana mkuu nenda nae tu asije niharibia gari
mama akazimia hapo hapo..
CC
mamaafacebook,
miss neddy MankaM