Lipi bora, kujua au kutojua?

Lipi bora, kujua au kutojua?

Kama kuna Wanaume hawachepuki basi hawazidi 20 TZ nzima , Binafsi nimeshuhudia hadi Wachungaji wanachepuka ! hata kumshika Mwanamke mwingine ---- Ofisini ni kuchepuka ! na hayo tunayashuhudia kila siku , Kama Mwanaume anakuheshimu basi yatosha upekupeku na kuletewa habari sitaki , labda nijue mwenyewe
 
Kama kuna Wanaume hawachepuki basi hawazidi 20 TZ nzima , Binafsi nimeshuhudia hadi Wachungaji wanachepuka ! hata kumshika Mwanamke mwingine ---- Ofisini ni kuchepuka ! na hayo tunayashuhudia kila siku , Kama Mwanaume anakuheshimu basi yatosha upekupeku na kuletewa habari sitaki , labda nijue mwenyewe

Hasty generalization.....wanaume wanaoheshimu ndoa kwa asilimia tisini na tano(nimwondoa tano kwaajili ya kule kutamani na kutupia jicho warembo anaokutana nao njiani). Kuna watu wana hofu ya Mungu....uchungaji si kipimo cha utakatifu hata siku moja...kuna waumini wa kawaida wanaenenda katika kweli kushinda wachungaji wao.
 
Back
Top Bottom