Lipi bora, kujua au kutojua?

Lipi bora, kujua au kutojua?

Ule muda wa mazoezi...yale masaa mawili anayatumia effectively... Anarudi nyumbani na mijasho unajua mazoezi kumbe mijasho ya kugegeda...mxiiiiuuuuu....
haaaaaa we mwanamke......!
mijasho ya kugegea kumbe waijua!!! teh
 
Ule muda wa mazoezi...yale masaa mawili anayatumia effectively... Anarudi nyumbani na mijasho unajua mazoezi kumbe mijasho ya kugegeda...mxiiiiuuuuu....

Haahahahaha nimekoma, kweli kunguru hafugiki. Kumbe sio jasho la jogging kiruuuu
 
MankaM Kilicho fanyika was timing sio kila akiondoka kwenda mazoezi ilikuwa mazoezi unayo yajua wewe wakati mwingine ni mazoezi ya kiwanja cha maajabu
Bado najiuliza anachepuka muda gani ambao huwa kavaa tracksuit??
 
hakuna kizur zaidi ila kila kitu kina madhara,ukijua ndo hvoo tena moyo utaumia na utasema kwann ulijua,ila usipojua ndoo hivo magonjwa yatawazunguka ndani ya familia na matatizoo kibao ila ishu kujua wafanya nn hilo la msingi sanah wajamni
 
mbuta nangaa.. kama anatoa kila kitu.. n ofcoz hyo ipo piga uwa mtu atachepuka tuu (mwanaume for this mada )
but mwanawane siku ukija jua maumivu yake chacha...
 
na kama ishu ikagundulika ni uongoo basi utaonekana ww mchochezi wa penzi la watu,kiufupi pija kimya tu

ndo mana nikasema kua hata nimfumanie mume wa mwenzangu sitakaaa nikaufungua mdomo wangu
 
Back
Top Bottom