nyumba kubwa
JF-Expert Member
- Oct 8, 2010
- 10,309
- 8,397
Nambie tu...ukweli siku zote unaweka mtu huru...siyo niishi kwa matumaini kumbe watu wananiona zoba...
Nambie tu...ukweli siku zote unaweka mtu huru...siyo niishi kwa matumaini kumbe watu wananiona zoba...
Vichaa wana alama usoni??? My dia haya mambo magumu acha tu...utakutana na Eli79 hapa (ni mfano tu) utasema mwanaume si ndo huyu...??!!! Subiri siku ujue mambo yako utajutraaa kumfahamu
Sawa...lakini pia anaweza kubadilika katikati ya safari akaanza michepuko
Teh teh subiri ulee watoto wa wenzio ndo utie akili lol
mimi kwangu sawa tuu uniambie au usiniambie ila kama utaniambia ni faida kwangu bcz naweza okoa ndoa yangu ila hasara ni kwamba at the time naokoa hiyo ndoa itakua hakuna amani na kumuamini tena itakua ngumu ila kama utaona huwezi kuniambia naomba umkanye yeye but honest mimi ilinitokea ila wakati naambiwa hizo taarifa it was too late nilikua naona hali isio ya kawaida kwa mchumba wangu believe me mwanaume anaerogwa hajijui ila wewe mchumba wake au mke wake unajua nilikua nikimtazama mpnz wangu alikua sie mwanaume nilie mjua miaka mingi nyuma alikua amesahau kila kitu kilichotokea nyuma hata nikimkumbusha ananiuliza so what hakutaka hata kuniona nilikua nakazana na maombi tuu hadi sasa tuyaache hayo but hope nimejibu swali lako maana ni heri anaetendwa akajua dunia yetu imeharibika kuna uchawi na maradhi my dear
Aisee
Mie nilishatangaza kwenye jamhuri yangu
Kama umeamua kucheat nisijue....maana akili zangu anazielewa aisee...........................!!!!!
Ila kama unapata yote hadi ya ziada..... na wala hujahisi wala kukuta ushahidi kuwa anacheat...presha za nini???
Hahahaaa I hope akili zako haziko kama zangu lol
Wanasemaa ukiona ya mwenzio yakwaka moto............................?
Hata sitataka kujua, ila maradhi tu asiniletee baaaasi
Na wanaume wasivyokuwa na adabu....anachepuka anazaa na mtoto kabisa....maradhi yatakosekana hapo kweli?