Lipi bora, kujua au kutojua?

Lipi bora, kujua au kutojua?

Sitaki hata kujua usiniambie maana moyo wangu kanishikia yeye, nikipiga simu nikisikia kale ka massage haipatani kwa sasa loh, ile sautiikianza nivaibrate mpaka nijue sio mwanamke nahema kwa nguvu. Sijui kwa nini hawatengenezi na sauti za kiume ili kuwe na option ya kuchagua itumike ipi maana mood hupotea kwa wengine.
 
mi napenda kujua tuko wangapi ila taarifa kutoka kwa mtu sipendi. nitafanya ufukunyunyu mwenyewe mpaka nijue

Ukishajua kifuatacho ni nini best...
 
Sitaki hata kujua usiniambie maana moyo wangu kanishikia yeye, nikipiga simu nikisikia kale ka massage haipatani kwa sasa loh, ile sautiikianza nivaibrate mpaka nijue sio mwanamke nahema kwa nguvu. Sijui kwa nini hawatengenezi na sauti za kiume ili kuwe na option ya kuchagua itumike ipi maana mood hupotea kwa wengine.

Hahahahaaaa....umenifanya nicheke peke yangu kama chizi walah....hadi sauti ile duuu kama wivu ndo huo bas nakuvika taji wewe maana nlikuwa najiona mi ni hatare kwenye wivu...
 
aiseee mimi bora nisijue mana kamoyo kangu ni kadogooooooo mnoooooo nikijua naweza kufa yani...

Na ndo maana kuna dingi mmoja hivi ashawahi kunambia zamani kidgo kuwa hakuna mwanamke asiyeliwa @nje sema kinachofanyika ni kutunziana Heshima tu kwa muhusika @kufanya yake mbali pasi na mwenzake kujua kinachoendela , thats all. mkuu mahondaw
 
Last edited by a moderator:
Ndio hapo sasa....rafiki yako anakuja kugundua mumewe anachepuka na mwanamke mliyepanga nyumba moja atakuelewa.?? Haya mambo magum kweli...

Mi namchana mhusika kwanza akiendelea ss hapo Itafahamika
 
Ungejua safari moja uanzisha nyingine...ungekuwa upande wa kujua...
What if alikuwa na mpango wa kupita tu...
Ila kwa kuwa wewe umezubaa...na huko apitako kang'ang'aniwa unampoteza mazima...

Na kujua utajua tu whether you like it or not ni matter of time...akinogewa ataanza kuchelewa kurudi nyumbani na kuna siku ataanza kulala nje...

ha ha ha...nambie tu nijue nini cha kufanya...inawezekana bado kunogewa...nikichelewa ndio inakuwa nitolee hiyo nije sikia mume ana familia nyingine mtaa fulani...inahuuu...

Na ndoa nyingi zilizovunjika na zile wanaume wameama familia ni za hao wasotaka kujua ukweli...ha ha ha...nataka kujua position yangu mwaya...kama penzi limechuja nijua nini cha kufanya....kama ni tamaa tu nijue nini pia cha kufanya...nambie tuuuu

Ni wanaume wachache saaana wanaoamua wenyewe kuacha kuchepuka...wengi ni mpaka wagundulike...maana na huko nje wanagandwa ujue; akisema mi basi mke wangu asije jua bibie anaangua kilio...atamwacha????..Hapo shukuru Mungu huyo bibie asiwe desperate kiasi cha kutumia sangoma...nambie bana...


Aisee

Mie nilishatangaza kwenye jamhuri yangu

Kama umeamua kucheat nisijue....maana akili zangu anazielewa aisee...........................!!!!!

Ila kama unapata yote hadi ya ziada..... na wala hujahisi wala kukuta ushahidi kuwa anacheat...presha za nini???
 
Hahahahaaaa....umenifanya nicheke peke yangu kama chizi walah....hadi sauti ile duuu kama wivu ndo huo bas nakuvika taji wewe maana nlikuwa najiona mi ni hatare kwenye wivu...
Wivu hauzidiani wangu unatesa sana yani mi huwa najishangaa maana viganja huwa vinamwaga jasho balaa mpaka nashindwa kushika chochote, tumbo linajaa gesi linanguruma tu, halafu siwezi kuuliza kitu hata kama naona mazingira hatarishi, naogopa wha if is true am I ready to leave him? Naanza kujiongelesha mengine asinipe excuse ya kwa nini mazingira yawe hivyo.
 
Kosa lisiloonekana si kosa. Mwalimu wangu mmoja aliwahi kusema kufanya ujanja kwenye mtihani ruksa ila nikikushika utajuta kwanini umeingia na vibomu.....
 
Me napenda nijue na uchunguz nafanyaga mwenyewe na nikijuaga nabaki nayo mwenyewe ctak ndugu wala rafiki ajue. Halaf me mungu tu aniepushie yan nina hasirs mbaya sana nikiuziwa ncje nikambamiza ukutan yakatokea ya kanumba
 
Na ndo maana kuna dingi mmoja hivi ashawahi kunambia zamani kidgo kuwa hakuna mwanamke asiyeliwa @nje sema kinachofanyika ni kutunziana Heshima tu kwa muhusika @kufanya yake mbali pasi na mwenzake kujua kinachoendela , thats all. mkuu mahondaw

mmh im not sure! !!!
 
Last edited by a moderator:
Na ndo maana kuna dingi mmoja hivi ashawahi kunambia zamani kidgo kuwa hakuna mwanamke asiyeliwa @nje sema kinachofanyika ni kutunziana Heshima tu kwa muhusika @kufanya yake mbali pasi na mwenzake kujua kinachoendela , thats all. mkuu mahondaw

mmh im not sure abt that! !!
 
Last edited by a moderator:
Wivu hauzidiani wangu unatesa sana yani mi huwa najishangaa maana viganja huwa vinamwaga jasho balaa mpaka nashindwa kushika chochote, tumbo linajaa gesi linanguruma tu, halafu siwezi kuuliza kitu hata kama naona mazingira hatarishi, naogopa wha if is true am I ready to leave him? Naanza kujiongelesha mengine asinipe excuse ya kwa nini mazingira yawe hivyo.

Mmmh aisee kwa kweli wewe ni hatari...
 
Kosa lisiloonekana si kosa. Mwalimu wangu mmoja aliwahi kusema kufanya ujanja kwenye mtihani ruksa ila nikikushika utajuta kwanini umeingia na vibomu.....

Hahahaa kwa hiyo wewe nikimuona my wii anachepuka nijifanye sijamuona si ndio?
 
Back
Top Bottom