Mtangoo
JF-Expert Member
- Oct 25, 2012
- 6,165
- 5,621
Basi kuwa mpole na Low end machine yako boss. Hauna namna. Ujue soon or later hiyo 12.04 itakuwa completely useless.hahaha 😀 , mkuu dah uwezi amini nazo zikubali mie ni gnome na unity izo zime nikalia ovyo na pili naona kama natumia window ndo maana nataka ya toufauti.... labda kama kuna nyingine hizo hata ile cinnamon. ila 12.04 lts naona imetulia ndo natumia hi asaivi.