Linux mint ni sister os ya ubuntu, huwa inapotoka ubuntu tu na linux mint pia hutoka.
Linix mint uzuri wake inakua preloaded na codecs kwa ajili multimedia files kama sauti na video, ambapo kwenye ubuntu ukishasanikisha inabidi ufanye hivyo manually.
Ubuntu huwa inatoka mwezi wa 4 {April} na mwezi wa 10 {October} kila mwaka, hivyo kwa sasa iliyoko ni 16.10 na linux mint pia ni hivyo, mwezi wa 4 zitatoka, kwa ubuntu huwa na herufi LTS kwa maana ya long-term support kwa kawaida ni 2 years ikizidi hiyo hutapata support kama ilivyo kwa xp kwa sasa hivi, hivyo unashauriwa uwe una upgrade kila toleo jipya likitoka.....
Hongera kwa mleta uzi, tuendee kushirikishana kila inapobidi
Cheers