Linux (Ubuntu, kubuntu, Debian, fedora, linux mint, kali linux, android etc) special thread

Nimeweka dual boot kwenye PC yangu, kuna ubuntu na windows 10, disc zilizobeba os ziko separate, ila kuna disk kwa ajili ya kusave data iko shared na both, je kuna madhara yoyote yatokanayo na kushare disk kwa hizi Ubuntu na windows
Hakuna madhara yoyote.
 
Hizi version si kila wakitoa size huwa zinaongezeka, labda utumie lower versions halafu uinstall manually hiyo unity desktop environment
kaka asante saaana, nimepiga chini ubuntu 16.04 nime install 12.04 naona pc ina imili vizuri so nimeamua kutumia hi naona kila kitu kiko fine.
 
Kwa hiyo hiyo ubuntu 16 sio nzuri?
Manake nimedowload 16 na 14 ipi nitumie mkuu
kaka asante saaana, nimepiga chini ubuntu 16.04 nime install 12.04 naona pc ina imili vizuri so nimeamua kutumia hi naona kila kitu kiko fine.
 
Kwa hiyo hiyo ubuntu 16 sio nzuri?
Manake nimedowload 16 na 14 ipi nitumie mkuu
Hiyo 16.04 ndio latest {LTS} ya Ubuntu, ukiwa na latest version huwa unapata na latest programs/packages. Jamaa kaweka hiyo sababu nafikiri kompyuta yake inakuwa slow akitumia hizi version mpya mpya.

LTS- long term support means Ubuntu watakuwa wanatoa updates za security na bug fixes kwa miaka 5. Wakati version nyingine huwa zinakuwa na support ya 9 months.
LTS list ni 12.04, 14.04 na 16.04 hizo namba zinamaanisha mwaka ilipokuwa released na mwezi.

LTS huwa zinakuwa released every 2 years.
 
Ahsante sa kwa maelezo mazuri.
Hiyo 16.04 ndio latest {LTS} ya Ubuntu, ukiwa na latest version huwa unapata na latest programs/packages. Jamaa kaweka hiyo sababu nafikiri kompyuta yake inakuwa slow akitumia hizi version mpya mpya.

LTS- long term support means Ubuntu watakuwa wanatoa updates za security na bug fixes kwa miaka 5. Wakati version nyingine huwa zinakuwa na support ya 9 months.
LTS list ni 12.04, 14.04 na 16.04 hizo namba zinamaanisha mwaka ilipokuwa released na mwezi.

LTS huwa zinakuwa released every 2 years.
 
Nimeshainstall ubuntu 16, nimeweka hard disk yangu
kwa ajili ya kupiga files za MP3 na video lakini haipigi chochote.
Naombeni muongozo mimi ni user mpya wa ubuntu.
Hiyo 16.04 ndio latest {LTS} ya Ubuntu, ukiwa na latest version huwa unapata na latest programs/packages. Jamaa kaweka hiyo sababu nafikiri kompyuta yake inakuwa slow akitumia hizi version mpya mpya.

LTS- long term support means Ubuntu watakuwa wanatoa updates za security na bug fixes kwa miaka 5. Wakati version nyingine huwa zinakuwa na support ya 9 months.
LTS list ni 12.04, 14.04 na 16.04 hizo namba zinamaanisha mwaka ilipokuwa released na mwezi.

LTS huwa zinakuwa released every 2 years.
 
Nimeshainstall ubuntu 16, nimeweka hard disk yangu
kwa ajili ya kupiga files za MP3 na video lakini haipigi chochote.
Naombeni muongozo mimi ni user mpya wa ubuntu.
Fungua terminal {press Ctrl+t} then paste hii command "sudo apt-get install ubuntu-restricted-extras" bila quotes and then enter itakwambia ingiza password {huwa hazionekani} na press enter
 
Pia unaweza install program unazotaka kupitia software center.
Just press window button na search software center. Pia na recommend uinstall updates either search update-manager kwenye dash or use this command "sudo apt-get update && sudo apt-get upgrade"
 
Nimefata maelezo yako lakini bado haijapiga kitu jibu imenipa Unable to lacate package ubuntu-restricted-extras
Fungua terminal {press Ctrl+t} then paste hii command "sudo apt-get install ubuntu-restricted-extras" bila quotes and then enter itakwambia ingiza password {huwa hazionekani} na press enter
 
kubadilisha password fuata hatua hizi, ingia kwenye terminal
Code:
sudo -i
passwd jinaunalotaka
Mkuu msaada, mimi natumia google chrome zamani ilikuwa rahisi kudownload google Earth, jana nimejaribu na hiki kitu imeshindikana na nilielekezwa kwa linux, ubuntu whatever lakini niliambiwa haziwezi kufanyakazi. Sina laptop ya kawaida nifanyeje? Natanguliza shukrani.
 
Hiyo 16.04 ndio latest {LTS} ya Ubuntu, ukiwa na latest version huwa unapata na latest programs/packages. Jamaa kaweka hiyo sababu nafikiri kompyuta yake inakuwa slow akitumia hizi version mpya mpya.

LTS- long term support means Ubuntu watakuwa wanatoa updates za security na bug fixes kwa miaka 5. Wakati version nyingine huwa zinakuwa na support ya 9 months.
LTS list ni 12.04, 14.04 na 16.04 hizo namba zinamaanisha mwaka ilipokuwa released na mwezi.

LTS huwa zinakuwa released every 2 years.
asante mdau kwa kuni jibia nice response, sure mie PC yangu ka note book ka inchi 10" kana sumbua ku support hio 16.04 lts inakua slow kama ulivyoelezea so nime amua kutumia 12.04 lts ambayo imesha pita muda wake ila natumia kwa hapa na pale vitu vyangu viniende ila uku nafanya research ya linux distro ambayo ita support my old pc.
 
wadau kwa wale wanaotumia libre office ya linux wanaona ina wapa tabu unaweza download kingsoft WP hi ina muonekano kama wa microsoft word ni nzuri saana link hio hapo ya ku download Downloads - WPS Office Community na nikipata muda nita share jinis ya ku install microsoft office kwa kutumia wine au playonlinux na utaweza kuitumia kwenye ubuntu yako bye bye windows


 
asante mdau kwa kuni jibia nice response, sure mie PC yangu ka note book ka inchi 10" kana sumbua ku support hio 16.04 lts inakua slow kama ulivyoelezea so nime amua kutumia 12.04 lts ambayo imesha pita muda wake ila natumia kwa hapa na pale vitu vyangu viniende ila uku nafanya research ya linux distro ambayo ita support my old pc.
Tumia light weight DE
Chagua kati ya hizi
LXDE
Xfce Desktop Environment
MATE Desktop Environment

Itakayoendana na mashine yako bakia nayo!
 
Kwa Wanaotaka kudownload na kuweka kwenye kompyuta zao.
Kumbuka OS za linux zipo nyingi sana kiasi cha kwamba hatuwezi kuzieleza zote kwa ujumla, ila ambazo ni maarufu sana moja wapo ni Ubuntu, ambayo unaweza kuipata kwenye hii link ifuatayo.
Code:
http://mirror.aptus.co.tz/pub/ubuntu/16.04.2/ubuntu-16.04.2-desktop-amd64.iso

kama hutopendezewa na ubuntu kuna nyingine ambayo ina muonekano flani hivi unaoendana na windows, link yake ni hii hapa,
Code:
http://mirrors.evowise.com/linuxmint/stable/18.1/linuxmint-18.1-cinnamon-64bit.iso

Linux inaweza ikawekwa kwa pamoja na windows OS na data zako zikabaki kama zilivyo na hivyo kuwa na option mbili na kuchagua mojawapo.

Mkuu mbona hii inaonekana ni for 64bit processor.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom