mwaminifuhalisi
JF-Expert Member
- Feb 26, 2017
- 329
- 412
- Thread starter
- #321
Hakuna madhara yoyote.Nimeweka dual boot kwenye PC yangu, kuna ubuntu na windows 10, disc zilizobeba os ziko separate, ila kuna disk kwa ajili ya kusave data iko shared na both, je kuna madhara yoyote yatokanayo na kushare disk kwa hizi Ubuntu na windows