Natumia Toshiba( SATELLITE-C50- A)asante sym kaanza na support nzuri, since unapenda mambo ya programming install na eclipse kwajili ya java sudo apt-get install eclipse kuhusu wireless naitaji kujua pc gani unatumia
naomba unifahamishe tofaut kati ya kernel version na abdroid version ....yani nipo gizani juunya hizo kitu...Shukrani uzi wako! Linux ndio uwanja wa kucheza ngoma zote, Windows zipo ngoma utacheza ila mdundo hautasikika! Ubuntu, Linux Mint na Kali Linux ndio niliowazoea(Hata sasa natumia Ubuntu 16.10)
tumia hio code fungua terminal au press key hizi ctrl+Alt and T, ikifunguka type lspci then enterNatumia Toshiba( SATELLITE-C50- A)
No commandtumia hio code fungua terminal au press key hizi ctrl+Alt and T, ikifunguka type lspci then enter
alafu ni niambie unaona nini
kweli mkuu.Nilijaribu ku install along side w10 nikajikuta nime format kila kitu kwenye pcCareful. Sio rahisi kama jamaa alivyosema. Kuna Stage ya Partitioning ambayo wengi wamelia. Ni vizuri kupata maelezo ya kutosha section hiyo kabla ya ku install!

Natumia code:blocks kwa compiling C++ ....weka hizo code kwenye terminal yako,..... 😉Asante mkuu, kwa kuazia naomba kusaidiwa namna ya kuinstal latex, quincy(c++). Pia wireless internet naipataje?
Asante mkuu, natumia version 16.04Natumia code:blocks kwa compiling C++ ....weka hizo code kwenye terminal yako,..... 😉
(sudo add-apt-repository ppa:damien-moore/codeblocks-stable
sudo apt-get update
sudo apt-get install codeblocks)
Sijui unatumia UBUNTU version gani mimi natumia ubuntu 16.10...kwa wireless,mwanzo pale unapo install UBuntu unaulizwa kama unataka kutumia internet wakati una-install ubuntu OS
lakini kama hukufanya hivyo basi unaweza ku "Enable" wireless kwenye desktop..juu kwenye option za battery,saa,sauti.....kuna option ya wireless vilevile,kila la kheri mkuu
lspci -nn -d 14e4No command
Toshiba inatumia realtek wireless adapter, naomba uandike hii code ili tufahamu ni vesrion ya ngapi.No command
lspci -nn
sudo add-apt-repository ppa:hanipouspilot/rtlwifi
sudo apt-get update
sudo apt-get install rtlwifi-new-dkms
Hizi version si kila wakitoa size huwa zinaongezeka, labda utumie lower versions halafu uinstall manually hiyo unity desktop environmentwadau na changamoto moja hapa so far sikuitaja, natumia 16.04 LTS ya ubuntu kila kitu kiko poa ila kwa mbali inakua slow aise ukiangalia specs za machine yangu utaogopa natumia ki mini lenovo thinkpad ya inch 10. dah hakuna linux distro yoyote mnaijua ambayo itakua ndogo ili machine yangu iweze kusukuma? napenda muonekano wa ubuntu yani ile unity, sipendi ile yenye mandhali ya windows nadhani mna nielewa nataka iwe tofauti, nimejaribu ubuntu gnome wana sema light ile inasumbua. TAFADHALI MAWAZO NA MSAADA
hapana na 12.04 nikiweka inafanya kazi fresh ila ndo haina support nika upgrade hadi 14.04 nayo fresh ili niki move kwenye 16.04 card yangu inasoma intel pineview ndo minyato inanzia hapo yani hapo ndo kina nikosesha raha ndo kuna nifanya kurudi windows 7 🙁Hizi version si kila wakitoa size huwa zinaongezeka, labda utumie lower versions halafu uinstall manually hiyo unity desktop environment
Tafadhari kama unaweza kuanza upya naomba ufuate hatu hizi.
hapana na 12.04 nikiweka inafanya kazi fresh ila ndo haina support nika upgrade hadi 14.04 nayo fresh ili niki move kwenye 16.04 card yangu inasoma intel pineview ndo minyato inanzia hapo yani hapo ndo kina nikosesha raha ndo kuna nifanya kurudi windows 7 🙁
hii abdroid ni nini au typing error ulimaanisha android?naomba unifahamishe tofaut kati ya kernel version na abdroid version ....yani nipo gizani juunya hizo kitu...
mkuu naona issue ni ram maana niki check system monitor naona cpu usage kawaida ingawa ka dogo ila nikicheck ram inatumia saana hadi kufikia 80% 🙁 namie na 2gb hasa nikifungua web application chrome 🙁tumia tu 14.04 au na yenyewe haina support?
pao mkuu weka hizo command utaweza kuistall codeblocks itafanyakazi vizuri tu kwenye 16.04Asante mkuu, natumia version 16.04