wilfred alpha
Member
- Apr 13, 2017
- 9
- 3
Star,tree,hybrid,and ring topology how does that operate???
mkuu hii thread inahusiana na LINUX na si networking. hiyo ni homework ya darasani? pitia hii link utapata maelezo au google ipo kwa ajili yakoStar,tree,hybrid,and ring topology how does that operate???
Nashukurumkuu hii thread inahusiana na LINUX na si networking. hiyo ni homework ya darasani? pitia hii link utapata maelezo au google ipo kwa ajili yako
What is network topology? - Definition from WhatIs.com
Mkuu matatizo inawezekana yakawa huja mount USB yako,chakufanya nenda chini kwenye installation menu ponyeza execute "a shell" halafu mount USB au kama ni CD rom, (mount /dev/Sr0 /cdrom)....
sorry was a way kwa muda, uki download open hio app then weka flash yako then load image yako ya iso then runMkuu nikisha download nafanyaje ili iweze kurun
Plz mkuu maelezo zaidi ya kuoload hizo imagesorry was a way kwa muda, uki download open hio app then weka flash yako then load image yako ya iso then run
sikia anada hivi vitu:Plz mkuu maelezo zaidi ya kuoload hizo image
Mkuu naona kama ku-install Ubuntu kwa kutumia Universal usb software ni rahisi zaidi kwa yule ambae ni mara ya mwanzo ku-install Ubuntusikia anada hivi vitu:
1. image ya ubuntu iso
2.rufus software downloaded
3.usb flash
ukiwa na hivyo niambie
yes kabisaaaa ndo nataka kumuelekeza jinsi ya ku andaa bootable usb ya ubuntu ili aweze ku installMkuu naona kama ku-install Ubuntu kwa kutumia Universal usb software ni rahisi zaidi kwa yule ambae ni mara ya mwanzo ku-install Ubuntu
Mkuu nimefanikiwa kuinstal tayari, naomba kujua nikitaka kuconnect wireless internet kutoka kwa simu yangu pia wi-fi zingine tu nafanyaje?sikia anada hivi vitu:
1. image ya ubuntu iso
2.rufus software downloaded
3.usb flash
ukiwa na hivyo niambie
Nikweli mkuu nimetumia njia hiyo ni rahisi sanaMkuu naona kama ku-install Ubuntu kwa kutumia Universal usb software ni rahisi zaidi kwa yule ambae ni mara ya mwanzo ku-install Ubuntu
Nashukuru saana, karibu saana GUI, explorer kila kona ya ubuntu uki kwama njoo hapa tuta jadiliana pamouja na amini utafanikiwa tuh.AHMARDZ na Mwaminifuhalisi, nawashukuru sana nimeweza kudownload na kuinstal Ubuntu kwa maelekezo yenu!!
Nikili kuwa sikuwa najua chochote kuhusu hili swala na nilikuwa na itafta sana hii Ubuntu kwa mda mrefu kidogo, nawashukuru sana!! Nimeona umhimu wa jamii forum kwa hili.
Pia niwaombe ndugu zangu ntaendelea kuwasambua na mwqswali ya hapa na pale ili niweze kuitumia vzr hii Ubuntu
Asante mkuu, kwa kuazia naomba kusaidiwa namna ya kuinstal latex, quincy(c++). Pia wireless internet naipataje?Nashukuru saana, karibu saana GUI, explorer kila kona ya ubuntu uki kwama njoo hapa tuta jadiliana pamouja na amini utafanikiwa tuh.
Kompyuta gani unatumia? Kuinstall c++ unatakiwa kuweka compiler kwanza. Andika kwenye terminal hii code.Asante mkuu, kwa kuazia naomba kusaidiwa namna ya kuinstal latex, quincy(c++). Pia wireless internet naipataje?
nitajaribu hiiKwa wale watu wa graphic, zipo software kadhaa ambazo unaweza kufanya mambo mengi tu, baadhi ya hizo ni
1. Blender
2. Gimp
Jinsi ya kuinstall, bonyeza ALT+T, kufungua terminal halafu andika codes zifuatazo
Gimp, kwanza update
Code:sudo apt-get update sudo apt-get install gimp
Blender
Code:sudo apt-get install blender
asante sym kaanza na support nzuri, since unapenda mambo ya programming install na eclipse kwajili ya java sudo apt-get install eclipse kuhusu wireless naitaji kujua pc gani unatumiaKompyuta gani unatumia? Kuinstall c++ unatakiwa kuweka compiler kwanza. Andika kwenye terminal hii code.
sudo apt-get install g++