Mashamba Makubwa Nalima
JF-Expert Member
- Mar 19, 2024
- 7,657
- 3,773
Dah jambo jemaTayari umeanza
Dah jambo jemaTayari umeanza
Hivi mitwero Kuna sifa ipi mkuu, maana nasikia sana Mitweromitwero.. Nako ni town kama pale Lindi Mjini kati..?Siku za kazi ni kama jumapili pamepoa sana,huko angalau jioni kuanzia saa 12 ndo utaona milupo inatoka vitu bei juu.Kuna sehemu zina umaarufu kama Nangurukuru lakini hamna kitu bora Somanga japo padogo.Umbali kutoka Lindi mjini mpk Mitwelo(makazi mapya)ni km10 tu usiku ni milio ya fisi wenyeji washazoea!
Nje ya mji kidogoHivi mitwero Kuna sifa ipi mkuu, maana nasikia sana Mitweromitwero.. Nako ni town kama pale Lindi Mjini kati..?
Ndio mzee, pia ndipo imejengwa hospital ya Rufaa ya mkoa. Pia itajengwa stendi kuu ya mabasi na soko kuu.
Ndio sehemu mazuri za kutulia huko na kufuga vimbuzi vyangu..Nje ya mji kidogo
Maeneo yapo ya kutosha na sasa serikali ina mpango wa kuhamishia hospitali na mahakama ya mkoa hukoNdio sehemu mazuri za kutulia huko na kufuga vimbuzi vyangu..
Hakuna maeneo hapo mkuu au yameisha watu washacheza na fursa..?