Mr. Purpose
JF-Expert Member
- Nov 12, 2016
- 1,476
- 2,796
Umeona vyema Zionist!Huyo bidada anatumia ipasavyo silaha yake ya asili[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
Hongera boss, hivi uchawi wa kupiga mafundo ndo huu wa limbwata ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Oook asante kw ufafanuzi daktariMulemule wote ni wa kufunga
Jr[emoji769]
Aiseee
Labda nimfunge boss tuu sio babe wangu! Nataka awe mkali kidogo, nikikosea anikemee kwa upendo mambo ya kumburuza sitaki kabisaa!
Simfungi tena jamani
Unataka kuwa mchawi?
Jr[emoji769]
Unatumia ndele
Jr[emoji769]
Pole mkuu,lkn kuhusu kukataliwa na wanawake wote au hauna swaga?Mshana naomba nikuulize, nasikia kuna uchawi ambao mwanaume ukifanyiwa, hata kama ww mwanaume ni handsome, una hela, na nguvu za kiume unazo, utakuwa haupati demu wala mke, yani kila mdada unaemtongoza anakukataa, unaishia kuponea kwa Malaya wanaojiuza, naomba utolee topic kuhusu hili swala. Mshanajr
Humpati mtu hapa.Niko kijijini kwa mapumziko ya mwisho wa mwaka lakini pia nikiendelea kutafiti maarifa mapya na utaalam wa nguvu za giza, ushirikina na ulozi kwa matumizi chanya ya kilinge... Nia ikiwa ni kuwasaidia wahitaji.
Hizi habari za malimbwata kwa ajili ya kumshika mpenzi, mke au mume... Na wengine huenda mbali zaidi... Kwa ajili ya kumshika mwajiri au boss si ngeni kabisa masikioni mwetu... Na malimbwata maarufu yakiwa ni kwa kutumia vyakula na vinywaji.
Kuna hili limbwata baya zaidi.. Limbwata la kutiwa gundi mdomoni au kufungwa kamba.. La kutiwa gundi mdomoni hilo sahau kutongoza nje ama kuwa na kibezi mbele ya mwenza wako... Hapa mhitaji akifika kwa mganga hupewa kinyago chenye umbo la kiume na gundi ya maji au plasta.. Mhusika huelekezwa kukitia gundi mdomoni ama kukiziba na plasta huku akinuia kwa kutaja jina la mtu wake
Ukiachana na hilo la gundi kuna hili la kamba.. Kuna kamba kama za aina tatu hivi
Kamba laini
Kamba ngumu
Kamba ngumu na nzito
Aina ya kamba hutegemea na uimara kiroho wa mhusika anayetaka kufanyiwa... Mhitaji akifika kwa mganga atapewa kinyago chenye umbo la kiume na kamba husika.. Kamba hiyo atatakiwa aifunge shingoni, au miguuni au mikononi... Lakini pia inaweza kufungwa kote kwa pamoja huku akinuia
Baada ya hapo aliyefungwa hatakuwa na sauti tena kwenye lolote.. Atakuwa ni mtu wa kuamrishwa na kufuata maelekezo tuu... Utaburuta na kuburuza utakavyo.
Hili la kamba hutumika pia kufunga sehemu za siri za jinsia zote... Mwanamke akifungwa ndoa inaweza hata kusambaratika kwakuwa anakuwa hana hamu tena. Akifungwa mwanaume hupata ukhanithi.
Vikambakamba vipini pini na vigundigundi kwenye mapochi sio vitu vizuri sana
. View attachment 1304613View attachment 1304614
Jr[emoji769]
Ukipata hela gawa, usikubali chapaa ikae kwa mfuko, hapo limbwata kwish nei......
Sent using Jamii Forums mobile app
Unatumia ndele
Jr[emoji769]
Mshana naomba nikuulize, nasikia kuna uchawi ambao mwanaume ukifanyiwa, hata kama ww mwanaume ni handsome, una hela, na nguvu za kiume unazo, utakuwa haupati demu wala mke, yani kila mdada unaemtongoza anakukataa, unaishia kuponea kwa Malaya wanaojiuza, naomba utolee topic kuhusu hili swala. Mshanajr
Duuh![emoji119]Niko kijijini kwa mapumziko ya mwisho wa mwaka lakini pia nikiendelea kutafiti maarifa mapya na utaalam wa nguvu za giza, ushirikina na ulozi kwa matumizi chanya ya kilinge... Nia ikiwa ni kuwasaidia wahitaji.
Hizi habari za malimbwata kwa ajili ya kumshika mpenzi, mke au mume... Na wengine huenda mbali zaidi... Kwa ajili ya kumshika mwajiri au boss si ngeni kabisa masikioni mwetu... Na malimbwata maarufu yakiwa ni kwa kutumia vyakula na vinywaji.
Kuna hili limbwata baya zaidi.. Limbwata la kutiwa gundi mdomoni au kufungwa kamba.. La kutiwa gundi mdomoni hilo sahau kutongoza nje ama kuwa na kibezi mbele ya mwenza wako... Hapa mhitaji akifika kwa mganga hupewa kinyago chenye umbo la kiume na gundi ya maji au plasta.. Mhusika huelekezwa kukitia gundi mdomoni ama kukiziba na plasta huku akinuia kwa kutaja jina la mtu wake
Ukiachana na hilo la gundi kuna hili la kamba.. Kuna kamba kama za aina tatu hivi
Kamba laini
Kamba ngumu
Kamba ngumu na nzito
Aina ya kamba hutegemea na uimara kiroho wa mhusika anayetaka kufanyiwa... Mhitaji akifika kwa mganga atapewa kinyago chenye umbo la kiume na kamba husika.. Kamba hiyo atatakiwa aifunge shingoni, au miguuni au mikononi... Lakini pia inaweza kufungwa kote kwa pamoja huku akinuia
Baada ya hapo aliyefungwa hatakuwa na sauti tena kwenye lolote.. Atakuwa ni mtu wa kuamrishwa na kufuata maelekezo tuu... Utaburuta na kuburuza utakavyo.
Hili la kamba hutumika pia kufunga sehemu za siri za jinsia zote... Mwanamke akifungwa ndoa inaweza hata kusambaratika kwakuwa anakuwa hana hamu tena. Akifungwa mwanaume hupata ukhanithi.
Vikambakamba vipini pini na vigundigundi kwenye mapochi sio vitu vizuri sana
. View attachment 1304613View attachment 1304614
Jr[emoji769]
Tupe hatua kwa hatua