Limbwata la gundi na kamba

Limbwata la gundi na kamba

Huyo bidada anatumia ipasavyo silaha yake ya asili

Sent using Jamii Forums mobile app
Umeona vyema Zionist!

Hakika kama hatumii haya malimbwata atakuwa anatumia hilo bomu lake la asili linalosambaratishaga wanaume wengi wenye nguvu.

Maana japo siko karibu sana na huyo boss wangu kiasi cha kujua mambo ya familia yake, lakini nasikiaga eti walishashindwana na mke wake wa ndoa. Hivyo kama ulivyo pendekeza inawezekana kabisa akawa anatulizwa kimtindo na siraha ya asili ya madam mkurungezi wa HR department yetu.
 
Unatumia ndele

Jr

Mshana naomba nikuulize, nasikia kuna uchawi ambao mwanaume ukifanyiwa, hata kama ww mwanaume ni handsome, una hela, na nguvu za kiume unazo, utakuwa haupati demu wala mke, yani kila mdada unaemtongoza anakukataa, unaishia kuponea kwa Malaya wanaojiuza, naomba utolee topic kuhusu hili swala. Mshanajr
 
Mshana naomba nikuulize, nasikia kuna uchawi ambao mwanaume ukifanyiwa, hata kama ww mwanaume ni handsome, una hela, na nguvu za kiume unazo, utakuwa haupati demu wala mke, yani kila mdada unaemtongoza anakukataa, unaishia kuponea kwa Malaya wanaojiuza, naomba utolee topic kuhusu hili swala. Mshanajr
Pole mkuu,lkn kuhusu kukataliwa na wanawake wote au hauna swaga?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Niko kijijini kwa mapumziko ya mwisho wa mwaka lakini pia nikiendelea kutafiti maarifa mapya na utaalam wa nguvu za giza, ushirikina na ulozi kwa matumizi chanya ya kilinge... Nia ikiwa ni kuwasaidia wahitaji.

Hizi habari za malimbwata kwa ajili ya kumshika mpenzi, mke au mume... Na wengine huenda mbali zaidi... Kwa ajili ya kumshika mwajiri au boss si ngeni kabisa masikioni mwetu... Na malimbwata maarufu yakiwa ni kwa kutumia vyakula na vinywaji.

Kuna hili limbwata baya zaidi.. Limbwata la kutiwa gundi mdomoni au kufungwa kamba.. La kutiwa gundi mdomoni hilo sahau kutongoza nje ama kuwa na kibezi mbele ya mwenza wako... Hapa mhitaji akifika kwa mganga hupewa kinyago chenye umbo la kiume na gundi ya maji au plasta.. Mhusika huelekezwa kukitia gundi mdomoni ama kukiziba na plasta huku akinuia kwa kutaja jina la mtu wake

Ukiachana na hilo la gundi kuna hili la kamba.. Kuna kamba kama za aina tatu hivi
Kamba laini
Kamba ngumu
Kamba ngumu na nzito

Aina ya kamba hutegemea na uimara kiroho wa mhusika anayetaka kufanyiwa... Mhitaji akifika kwa mganga atapewa kinyago chenye umbo la kiume na kamba husika.. Kamba hiyo atatakiwa aifunge shingoni, au miguuni au mikononi... Lakini pia inaweza kufungwa kote kwa pamoja huku akinuia

Baada ya hapo aliyefungwa hatakuwa na sauti tena kwenye lolote.. Atakuwa ni mtu wa kuamrishwa na kufuata maelekezo tuu... Utaburuta na kuburuza utakavyo.

Hili la kamba hutumika pia kufunga sehemu za siri za jinsia zote... Mwanamke akifungwa ndoa inaweza hata kusambaratika kwakuwa anakuwa hana hamu tena. Akifungwa mwanaume hupata ukhanithi.
Vikambakamba vipini pini na vigundigundi kwenye mapochi sio vitu vizuri sana


. View attachment 1304613View attachment 1304614

Jr
Humpati mtu hapa.
 
Kuna uwezekano hata wanaojiuza wakawa wanakupandishia dau au kukupa masharti yanayokukwaza teh teh
Mshana naomba nikuulize, nasikia kuna uchawi ambao mwanaume ukifanyiwa, hata kama ww mwanaume ni handsome, una hela, na nguvu za kiume unazo, utakuwa haupati demu wala mke, yani kila mdada unaemtongoza anakukataa, unaishia kuponea kwa Malaya wanaojiuza, naomba utolee topic kuhusu hili swala. Mshanajr

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Niko kijijini kwa mapumziko ya mwisho wa mwaka lakini pia nikiendelea kutafiti maarifa mapya na utaalam wa nguvu za giza, ushirikina na ulozi kwa matumizi chanya ya kilinge... Nia ikiwa ni kuwasaidia wahitaji.

Hizi habari za malimbwata kwa ajili ya kumshika mpenzi, mke au mume... Na wengine huenda mbali zaidi... Kwa ajili ya kumshika mwajiri au boss si ngeni kabisa masikioni mwetu... Na malimbwata maarufu yakiwa ni kwa kutumia vyakula na vinywaji.

Kuna hili limbwata baya zaidi.. Limbwata la kutiwa gundi mdomoni au kufungwa kamba.. La kutiwa gundi mdomoni hilo sahau kutongoza nje ama kuwa na kibezi mbele ya mwenza wako... Hapa mhitaji akifika kwa mganga hupewa kinyago chenye umbo la kiume na gundi ya maji au plasta.. Mhusika huelekezwa kukitia gundi mdomoni ama kukiziba na plasta huku akinuia kwa kutaja jina la mtu wake

Ukiachana na hilo la gundi kuna hili la kamba.. Kuna kamba kama za aina tatu hivi
Kamba laini
Kamba ngumu
Kamba ngumu na nzito

Aina ya kamba hutegemea na uimara kiroho wa mhusika anayetaka kufanyiwa... Mhitaji akifika kwa mganga atapewa kinyago chenye umbo la kiume na kamba husika.. Kamba hiyo atatakiwa aifunge shingoni, au miguuni au mikononi... Lakini pia inaweza kufungwa kote kwa pamoja huku akinuia

Baada ya hapo aliyefungwa hatakuwa na sauti tena kwenye lolote.. Atakuwa ni mtu wa kuamrishwa na kufuata maelekezo tuu... Utaburuta na kuburuza utakavyo.

Hili la kamba hutumika pia kufunga sehemu za siri za jinsia zote... Mwanamke akifungwa ndoa inaweza hata kusambaratika kwakuwa anakuwa hana hamu tena. Akifungwa mwanaume hupata ukhanithi.
Vikambakamba vipini pini na vigundigundi kwenye mapochi sio vitu vizuri sana


. View attachment 1304613View attachment 1304614

Jr
Duuh!
 
Back
Top Bottom