Limbwata la gundi na kamba

Limbwata la gundi na kamba

Nshawahi nkukuta kimdoli cha udongo kwenye wallet ya mke wa uncle sasa naelewa .
Af ni mtu wa hukohuko ulipo Mshana Jr
sema yeye kwao ni vijiji vya huko juu zaidi wanakolima lima mboga mboga sanaaa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
.
FB_IMG_1574967562891.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Labda hata mkurugenzi wa HR department kwenye taasis yangu alimfanyia boss wetu hayo. Yule mdada mzembe, kazi za ofisi yake nyingi haziendi zimelala. Kazi ndogo anaweza kukaa nayo zaidi ya miaka miwili lakini boss anaona sawa. Wakati watu wa idara nyingine anafuatilia sana ufanyaji kazi wao.
Huyo bidada anatumia ipasavyo silaha yake ya asili

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mshana Jr mimi nitakuwa nimefanyiwa ipi, maana siku hizi najihisi kumtamani kila mwanamke mzuri, na kibaya zaidi hawakatai asilani labda niamue kuhurumia hela yangu tu.

Na nifanyeje ili kutegua ulozi huu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom