Limbwata la gundi na kamba

Limbwata la gundi na kamba

maloloo,
Ndugu mnaongea kwani mnayajua makubaliano yao? Yeye anatokaga kwake anakuja kukusemea na mkeo/mumeo
 
profftobe,
Unaonekana unapenda mambo hayo kujikwaa tu unawaza apa nimezindikwa, watoto wako akili nzito kama wazazi wao unawaza jirani kanifanyizia.......mawazo ya kimasikini kabisa
 
Unaonekana unapenda mambo hayo kujikwaa tu unawaza apa nimezindikwa, watoto wako akili nzito kama wazazi wao unawaza jirani kanifanyizia.......mawazo ya kimasikini kabisa
Ujaitwa mchawi wewe, au jiwe limempata mhusika, unaogopa kunaswa. Kama siyo mhusika unaumia nini hadi unapiga makelele yote hayo. Acha ukamatwe mshirikina mkubwa wewe!
 
kumbe ndio maana naipenda sana

Jr
🤣 🤣 🤣 🤣 kwamba maisha yako ni ndani ya konyagi
Ujaitwa mchawi wewe, au jiwe limempata mhusika, unaogopa kunaswa. Kama siyo mhusika unaumia nini hadi unapiga makelele yote hayo. Acha ukamatwe mshirikina mkubwa wewe!
Mbona povu, mbona mshirikina! Yaan mwenye kuwaza ushirikina sjui huwa namuonaje!
 
Back
Top Bottom