ILAN RAMON
JF-Expert Member
- Sep 10, 2013
- 10,292
- 4,974
Gazet la mawio ni gazet lenye itkad za kishoga! Haiwezekani kila cku gazet liandike habari kuhusu Zitto tu.
Kuandika habar za zzk ni ushoga?we una umwa ubongo kWeli
Gazet la mawio ni gazet lenye itkad za kishoga! Haiwezekani kila cku gazet liandike habari kuhusu Zitto tu.
mbona mlikuwa mnasema ni cha zitto mara ni cha lowasa tujue lip?
Hizo ni porojo zenu, kama Zitto katumika na CCM basi ujuwe ni kama tambara bovu la kupigia deki likiisha kazi yake linatupwa, halioshwi.
Nilichomsuta ni kipi? na hapa kuna mada ya Limbu na mimi nasema ukweli kama Limbu anasema ukweli basi akomae na Zitto kwani itakuwa si uungwana kitendo alichokifanya, au hilo kwako ni tatizo kuelewa?
Hawa wanasiasa maslahi, ni kama Slaa tu, unafikiri kwanini aliihama CCM, si baada ya kupigwa chini kugombea ubunge? sasa wana tofauti ipi na Mbowe amabae anag'ang'ania madaraka mpaka kachakachuwa katiba na Zitto si halikadhalika? kenda kajipachika cheo hata hakijulikani duniani, ili nini asiwe kwenye nafasi za kuchaguliwa! wote ni aina moja tu.
Maslahi yao binafsi yako mbele kuliko ya Mtanzania wanaedanganya wanamtumikia.
mbona mlikuwa mnasema ni cha zitto mara ni cha lowasa tujue lip?
Huwez kuacha kuchagua mabadiliko kwa kuhofia et watu ni wale wale....kuna watu kumuangalia uson unamwona kuwa he is just a Patriotic.eg Dr. Slaa..kuna watu kumuangakia uson tu unajua ths is a hypocrisy and betrayel eg --------- zzk so kumfananisha Dr.slaa na msalit zzk ni dhambi kubwa labda km umeamua kufanya siasa tu other way your wrong sister
inawezekana wewe ndiyo uliachika!! maana kila siku point yako ni moja tu - DR kakuacha."Patriotic" aliyekosa maadili? aliyepora mke wa mtu kinyme na mafundisho ya kanuni alizosisomea, aliyepandishwa mahakamani kwa kutelekeza watoto, anaesema atahalalisha gongo! ni mwehu tu ataemchaguwa huyo kuwa Rais wa Watanzania.
inawezekana wewe ndiyo uliachika!! maana kila siku point yako ni moja tu - DR kakuacha.
Pole sana!! tafuta wanaume wa kukuchukua hata humu JF wamo wengi tu ma singles.
Kwa mantiki hiyo pia Zitto sio mwanzilishi wa ACT kama madai yenu, na kwa mantiki hiyo ccm hawahusiki na ACT chama kimeanzishwa na limbu, mmeona bavicha msivyokuwa na akili na jinsi mlivyo misukule yakufata upepo tu
= msajili
Yaani kama kuna jambo linanikera siku hizi ni huu uandishi wa kuweka 'r' panapotakiwa kuwekwa 'l' and vice versa is true, kwa mfano utakuwa mtu anaandika 'balidi' badala ya 'baridi' au habali badala ya habari,hata sielewi shuleni tunafundishwa nini siku hizi?