Limbu: Jaji Mutungi 'amenunuliwa' na Zitto

Limbu: Jaji Mutungi 'amenunuliwa' na Zitto

Hii habari imenikumbusha hadithi moja ambayo wawindaji walikuwa wanamfukuza chui
yule chui akikakimbilia nyumbani kwa bibi mmoja akamuomba amfiche
Yule bibi akafanya hivyo,wawindaji walipofika kwa yule bibi wakasema kuna mnyama tunamfukuza nyayo
zake zinaonyesha ameingia hapa,yule bibi akawakatalia katakata,wakamwabia madhara
ya yule mnyama anayemficha kwamba ni hatari kwake yule bibi hakuwasikiliza.

Wale wawindaji walipoondoka yule bibi akamwambia chui aondoke kwani maadui zake wameishapita.
Chui akamwambia subiri giza liingie kwani naogopa kutoka mchana kweupe wataniona.
Usiku ulipoingia,yule chui akamgeuka yule bibi nakumfanya chakula.
Yule bibi alipokuwa akiomba msaada hakuna aliyekuja kwani walimuonya hakuwasikiliza.

Naona na mchezo huu unafanana na hadithi hapo juu,huyu ndugu alipofukuzwa na kuitwa
msaliti,ACT mlimpokea wakati tangu awali alishawakana.lkn mkajitoa ufahamu
alipowajia mkampokea na sasa makucha yameanza kuonekana taratiiiibu.

Binafsi nawatakia kila la kheri katika kesi
 
Hilo ji lijizi tuu linalotafuta kibanda cha kuendeshea utapeli wake!
 
Nitakuwa bega kwa bega na LIMBU kuhakikisha ACT TANZANIA inarudi

Kama vipi zzk aanzishe chama chake
 
Ayattttttolllah ni noma amevamia chama chaque watu na kukivuluga kabisa. Kweli chadema mnaona mbali sana
 
Haa haa hakuna mwanasiasa mjanja kama zitto kabwe! ACT WAZALENDO imeanza kufanya siasa za kwenye majukwaa hata kwa msajili haitambuliki. Nina wasiwasi act ni chama kinachotumika na ccm na mawakala wake kwa malengo ya kuangamiza upinzani wa kweli nchini!
 
Ni hadithi ya bedui na ngamia, Zito ni tapeli, jambazi dhulumati na ni msaliti pure!!
Jdg Mtungi usitumike kihivyo, linda hadhi yako Bro!!
Limbu ameonja joto ya jiwe, sijui kama atarudishiwa chama chake??
 
Ni mpango baina yake na ccm kuua UKAWA ndo maana anapewa support na msajili na ccm na policcm
 
Duuh, kumbe kuna kesi mahakamani na inahusu chama cha ACT TANZANIA lakini ofisi ya msajili wa vyama hata kabla wanaogombania chama alichokisajali ameanza kuupa haki upande mmoja!!?Hii ishu na kama ni kweli na mambo yakaenda fairly, basi ofisi ya msajili tayari watakuwa wameingia kwenye mgogoro na mahakama!!
 
Huyu Limbu atamaliza PESA YA MBOWE mwishowe akishindwa kukamilisha kazi -ATAUAWA NA MAFIA KENGEZA MBOWE

Temea chini na uone aibu,kwa vile unaandika nyuma ya key board ndio unaleta upuuzi huu? Wewe ulijiumba? Huko kwenye familia yenu wote mko perfect? Jitu zima unaonyesha kiwango cha juu cha upumbavu wako,si unysmaze kama huna cha kuchangia,jitu zima ovyo kama mchuzi wa jana!
 
Jaji mutungi ulichofanya sio vema umeingilia Uhuru Wa mahakama kwa makusudi kabisa
 
Bila shaka na hapa Zitto atakuwa wa mwisho kuondoka Act.tanzania
 
Back
Top Bottom