FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,506
- 123,802
Kwahiyo unaamini Limbu kafanyiwa zengwe?
Si hilo linajionesha wazi kabisa, kama linaitwa "zengwe" basi ndiyo hilo.
Kwahiyo unaamini Limbu kafanyiwa zengwe?
Ametangaza mali. Ana tumilioni 18 tu. Kiinua mgongo kakikataa. Ni maskini wa kutupwa. Hana pesa kabisa. Vishamba vitano na kitalu cha gesi Ntwara. Sheikh Dau ndo huwa anampa ya mafuta siku moja mojaLimbu komaa nae huyo Zitto anchifanya si uungwana kabisa. Anafikiria pesa ndiyo kila kitu.
Si aanzishe chama chake.
zitto na yeye kwa nini avamie chama cha watu si aanzishe chake
Si hilo linajionesha wazi kabisa, kama linaitwa "zengwe" basi ndiyo hilo.
peoplessssss
Limbu komaa nae huyo Zitto anchifanya si uungwana kabisa. Anafikiria pesa ndiyo kila kitu.
Si aanzishe chama chake.
Kwa mantiki hiyo pia Zitto sio mwanzilishi wa ACT kama madai yenu, na kwa mantiki hiyo ccm hawahusiki na ACT chama kimeanzishwa na limbu, mmeona bavicha msivyokuwa na akili na jinsi mlivyo misukule yakufata upepo tu
Limbu komaa nae huyo Zitto anchifanya si uungwana kabisa. Anafikiria pesa ndiyo kila kitu.
Si aanzishe chama chake.
peoplessssss
zitto na yeye kwa nini avamie chama cha watu si aanzishe chake
Hii si sawa.
mwasu Don't be so sure with that beast she is a puppet
zitto na yeye kwa nini avamie chama cha watu si aanzishe chake
Pipooz ya Nya! Mbona we ni Maasai lafudhi zenu ngumu kutamka lakini unaandika bara bara?