Obugwa Izoba
JF-Expert Member
- Nov 16, 2013
- 10,479
- 11,671
Ni jambo la kushangaza kwa watu wenye akili timamu kusikia Kijana amepora mali ya watu na kujimilikisha. Si uungwana hata kidogo katika macho ya werevu unakaribishwa katika Chama, baada ya hapo Unakipora, unabadili katiba, unajipa mamlaka ya juu kabisa, unabadili jina la chama cha watu. Tabia kama hizi ni wale waliokosa maono pekee ndio wataita Uzalendo. Wakati tunapinga ufisadi ni vema pia baadhi yetu tukajitathmini upya. Uporaji ni wizi pia. Watu walikutana, walitumia fedha zao na kuanzisha halafu mtu anakuja kupora.
unaongea kitu gani sasa hapa mkuu? Chama gan, kijana gan, kapora vipi? ....?...?....?