Limbu: Jaji Mutungi 'amenunuliwa' na Zitto

Limbu: Jaji Mutungi 'amenunuliwa' na Zitto

Ni hadithi ya bedui na ngamia, Zito ni tapeli, jambazi dhulumati na ni msaliti pure!!
Jdg Mtungi usitumike kihivyo, linda hadhi yako Bro!!
Limbu ameonja joto ya jiwe, sijui kama atarudishiwa chama chake??
Kwani kesi ya msingi itatajwa lini?
Mi nahisi ni mtego wa watawala, kwamba zzk akipata nguvu kubwa mfano vigogo wakihamia chama chake, basi watakifuta kwa misingi ya kukosa usajili wa kueleweka, sasa wamemwambia apeleke usajili wa ACT Tanzania ili apewe usajili wa ACT Wazalendo. Usajili uko chumbani kwa limbu, ataupataje na kesi bado, kesi yenyewe itaisha mwakani, changanya na za mbayuwayu!
 
zitto na yeye kwa nini avamie chama cha watu si aanzishe chake

Limbu amevunja katiba kwa kutotangaza mali zake.

Anakuwa sawa na mjumbe mwandamizi wa Kamati kuu, AFANDE SELE. Nae hajatangaza mali zake.

Mwingine anaitwa Mchange. Wote wamevunja katiba. Hasa AFANDE Sele. Huyu ni mtia nia wa ubunge Morogoro angetangaza mali zake kwanza
 
Last edited by a moderator:
Ukwel up .kiufup -------- zzk na act yake ni mtt wa damu wa ccm sasa unapomsuta humu tunashindwa kukuelewa dada

Hizo ni porojo zenu, kama Zitto katumika na CCM basi ujuwe ni kama tambara bovu la kupigia deki likiisha kazi yake linatupwa, halioshwi.

Nilichomsuta ni kipi? na hapa kuna mada ya Limbu na mimi nasema ukweli kama Limbu anasema ukweli basi akomae na Zitto kwani itakuwa si uungwana kitendo alichokifanya, au hilo kwako ni tatizo kuelewa?

Hawa wanasiasa maslahi, ni kama Slaa tu, unafikiri kwanini aliihama CCM, si baada ya kupigwa chini kugombea ubunge? sasa wana tofauti ipi na Mbowe amabae anag'ang'ania madaraka mpaka kachakachuwa katiba na Zitto si halikadhalika? kenda kajipachika cheo hata hakijulikani duniani, ili nini asiwe kwenye nafasi za kuchaguliwa! wote ni aina moja tu.

Maslahi yao binafsi yako mbele kuliko ya Mtanzania wanaedanganya wanamtumikia.
 
Limbu komaa nae huyo Zitto anachofanya si uungwana kabisa. Anafikiria pesa ndiyo kila kitu. Si aanzishe chama chake.
Unafurahisha unavyohama side na Zitto....ina nashukuru very soon mtaanza ona hasara zake kwa CCM na jinsi ataikeep busy kuliko CDM.Trust Me tayari watz wanamjua ni msaliti.
 
dhambi ya kupenda madaraka inamuandama DOMO ZITO KIBURI, kwi! kwi! kwi! kwi! kwi!
 
Dah.......ishakuwa tabu sasa manake mnatuchanganya sana wakuu! Hivi kwani ACT-Wazalaendo ni chama cha nani? Naomba jibu tafadhali, ntarudi tena kuendelea
 
zitto dambi ya usaliti itamwandama sana
 
Dah.......ishakuwa tabu sasa manake mnatuchanganya sana wakuu! Hivi kwani ACT-Wazalaendo ni chama cha nani? Naomba jibu tafadhali, ntarudi tena kuendelea


Act-wazalendo ni chama cha yule aliyetimuliwa kule cdm kwa kosa la
 
Hizo ni porojo zenu, kama Zitto katumika na CCM basi ujuwe ni kama tambara bovu la kupigia deki likiisha kazi yake linatupwa, halioshwi.

Nilichomsuta ni kipi? na hapa kuna mada ya Limbu na mimi nasema ukweli kama Limbu anasema ukweli basi akomae na Zitto kwani itakuwa si uungwana kitendo alichokifanya, au hilo kwako ni tatizo kuelewa?

Hawa wanasiasa maslahi, ni kama Slaa tu, unafikiri kwanini aliihama CCM, si baada ya kupigwa chini kugombea ubunge? sasa wana tofauti ipi na Mbowe amabae anag'ang'ania madaraka mpaka kachakachuwa katiba na Zitto si halikadhalika? kenda kajipachika cheo hata hakijulikani duniani, ili nini asiwe kwenye nafasi za kuchaguliwa! wote ni aina moja tu.

Maslahi yao binafsi yako mbele kuliko ya Mtanzania wanaedanganya wanamtumikia.
At your best.
 
Back
Top Bottom