Jephta2003
JF-Expert Member
- Feb 27, 2008
- 6,501
- 6,201
Miaka ya 90s ilikuwepo Kiswele na Tawakal Gari zinaingia mbeya saa 9 kutoka Dar,miaka ya akina GirikiYaani basi inatoka DSM saa 12 alfajiri,inafika Mbeya karibia saa moja usiku,ni zaidi ya masaa 12+ barabarani kwa umbali wa kama kilometa 790 hadi 800 na bado unasema dereva amekimbia sana??
Mabasi ni ya kisasa kabisa, miundombinu imeboreshwa vizuri tofauti kabisa na miaka ya 90 huko kweli kuna kitu cha kushangaza hapo?
Sehemu ipi hatarishi kwa njia ya Mbeya ukiitoa hapo Iyovi,Kitonga?
Wanatembea mwendo wa kawaida tu tusiwafitinishe bhana
Budget waliirudisha garage tu wakabadilisha body pale Kenya kwa master fabricator ikawa Asante Rabi BAX mpaka Leo ipo mwanza ArushaNimelikumbuka bus la Budget aisee ruti ya Dar- Njombe ilikuwa balaa...
Napenda Scania, Nissan diesel na Isuzu ndo Gari huwa napanda Yan nikifika stend nafanya uamuzi huo.
Sihu hz za karibuni niliamua kupanda hyo loliondo baada ya kapricon kujaa ilkua mza - ars, aisee sikuamini jinsi yutong tena sio hz mpya zilivyokuwa zinamwaga moto, the same case from Iringa to ars nikajichanganya nikapanda machame Mambo Ni yale yale Ile milima ya kukutafuta mtera tumeongozana na higer ya kimotco, na Scania ya kapricon Ila machame aliwaosha wote.
Tunatoka stend Dom tupo karibu nz round about ya shabiby ndo kimotco anaenda stend, Babati hotel kula angalia nyuma hola, stend hola mpaka ars hakuna mtu, juz pia hvyo hvyo sema ligi ilkua n Yutong vs Higer.
Dar express Jana kaleta nne soon Asante rabi, kapricon na kimotco watapokea punguzo la Bei kutoka Scania vinginevyo mzungu anatoweka kwenye uso wa mabasi Tanzania.
Hapo zishabadilishwa mpaka gear box mdau kubali tu hakuna mchina mwenye cxx na engine ile ile nenda pale maning nice huwa anafanya overhaul ya gari zima kuna siku nilikuta kashusha engine sita za climber na kaweka mpya ila bodi ni ileile..........tukio kama hili la kushusha engine kwa scania piru utalisahau mdau ila kwa mchina miaka minne mingi
Ila hii gari ni Tamu sanaMzungu amemshindwa mchina sa sijui inakuaje kwa mzungu alafu chuma mpya.
Hata Arusha to Mwanza yutong(loliondo) sikuhz ndo anaongoza alafu maroli yanafuata
Wanyakyusa kumbe washamba sana
daaaaah kmmmmmmmk, uyo mse++++++nge ana Bugatti iliyopandisha abiria nyuma si mchezoKuna hawa wahuni nadhani hii ya kina Sauli ni ligi ya mchangani,sijui hata kama hiyo nchi ina sheria.
Ni Bangladesh
TAHADHARI KWA MADEREVA KONA HIZI ZA IYOVI NI KALI ZAIDI EPUSHA MAISHA YA ABIRIA CHUKUA TAHADHARI DHIDI YA AJALI
wewe ni dereva wa basi la abiria ama gari binafsi ?hebu chukua hatua ya kupunguza ajali leo kwa kujihadhari na kona hizi na Iyovi na Kitonga na kona nyingine kali kama hizi nchini kwani maisha yako ni dhamani kubwa na uhai wake bado tunautamani
Vema kuheshimu alama za barabarani na kuacha mbwembwe uwapo barabarani katika kona kali kama hizi
Katika kona kama hizi zingatia alama za usalama barabarani usiwe na haraka ya kulipita gari la mbele
Kulipita gari la mbele katika kona kama hizi ni kutafuta ajali
Hapa ni eneo ambalo watu 19 walipoteza maisha kwa fuso kugongana na basi na Nganga na kisha kuwaka moto uzembe ukiwa ni wa dereva wa basi aliyetaka kulipita gari la mbele katika kona kali
Usilipite gari katika kona
Alama zote za barabarani ni msaada kwa maisha yako lazima uziheshimu
Kona zote ni hatari kwa usalama wako hivyo usihame saiti yako ili kukimbia ajali
Lazima unapotaka kulipita gari la mbele uwe una uwezo wa kuona mbali zaidi ya mita 100 ama zaidi
Dereva makini halipiti gari la mbele katika kona
Haha haha haahWanyakyusa kumbe washamba sana
Budget ilikuwa inafika Ubungo hadi saa tisa kutokea NjombeBudget waliirudisha garage tu wakabadilisha body pale Kenya kwa master fabricator ikawa Asante Rabi BAX mpaka Leo ipo mwanza Arusha
Kuna basi la hii kampuni linaenda bukoba..Mungu awanusuru tu,sio kwa speed zile,wanafukuzanaga na frester
Haifukuziki hiyo. Utapasua engine block yako
Frester wanatagaKuna basi la hii kampuni linaenda bukoba..Mungu awanusuru tu,sio kwa speed zile,wanafukuzanaga na frester
Kwanza kuwabana sana ni kudhoofisha taaluma ya uderevaYaani basi inatoka DSM saa 12 alfajiri,inafika Mbeya karibia saa moja usiku,ni zaidi ya masaa 12+ barabarani kwa umbali wa kama kilometa 790 hadi 800 na bado unasema dereva amekimbia sana??
Mabasi ni ya kisasa kabisa, miundombinu imeboreshwa vizuri tofauti kabisa na miaka ya 90 huko kweli kuna kitu cha kushangaza hapo?
Sehemu ipi hatarishi kwa njia ya Mbeya ukiitoa hapo Iyovi,Kitonga?
Wanatembea mwendo wa kawaida tu tusiwafitinishe bhana
Endelea kuotaNgoja siku awamwage kama air msae
😄Jana nipo uyole stendi ya usangu natafuta 'kaya' mara naskia matusi, nikauliza kulikoni, wahuni wanamind Sauli kachana mikeka