Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,894
- 155,916
- Thread starter
- #181
Well said
Ligi yao hiyo itamalizika pale tu ikitokea Ajali mbaya, kubwa na ya Hatari huku Mshindi wa Jumla wa Kombe lao akiwa ni Israeli pamoja na Wauza Majeneza na Sanda nchini ( eneo la Tukio ) pia.