Li Wapi Azimio La Songea?

Companero

Platinum Member
Jul 12, 2008
5,604
1,704
Takribani mwaka mmoja sasa umepita toka Azimio la Songea litangazwe na kupigiwa debe sana katika vyombo vya habari na lile kundi lililokuwa linajiita 'Marafiki wa Zitto Kabwe'. Maadam Mheshimiwa ni mjumbe wa humu JF na naamini kundi hili pia limo humo basi naomba tuelimishane kuhusu Azimio hili, hatua ambazo zimekwishafikiwa katika kulinadi na maendeleo ya utekelezaji wake. Itakuwa vyema pia kama tutapata historia fupi ya Azimio hili na kuelewa tofauti yake na maazimio mengine kama vile Azimio la Arusha lililopelekea kuwa na wahanga kama Seti Benjamini Mpinga. Nawasilisha.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom