majorbuyoya
JF-Expert Member
- Apr 1, 2012
- 1,828
- 564
"I support Let Zanzibar Go Movement 2012"! Wazanzibar wanataka kufanya majaribio/Utafiti ili waone nini matokeo yake. Wanatak kutenganisha mabehewa mawili katika treni iliyo kwenye mwendo, nia na madhumuni wajue kipi kitaendelea na safari kati ya kichwa cha treni chenye mabehewa(Tanganyika) na mabehewa mawili(Zanzibar) yaliyochomolewa wakati treni inatembea.