Let Zanzibar Go! - Kwanini Zanzibar hawahitaji kuwashawishi Watanganyika ili watoke kwenye Muungano

tokeni basiiiii kwani nani kashikilia, si mtoke tuuuu. nyie amkeni kesho nendeni kwa rahisi wenu shein mumuambie atangaze kujitoa msiwe na wasi wasi sie tutawapatia usafiri wenzenu walioko huku na tutawachukua wenzetu walioko huko.
GO ZANZIBAR GO
IT'S TIME YOU GO NOW.
TUMEWACHOKA NA HATUTAKI KUWASIKIA TENA
 
wacha kuleta fitina za kanisa , makanisa yamechomwa na hao mafia ya kanisa
Mihadhara imefanyika zaidi ya mara 100 na hakuna kanisa lilochomwa !!! mbona hayajachomwa makanisa ya Katoliki na anglikana
KWANI KUNA UBAYA GANI KWA WAZANZIBARI KUOMBA KUJITOA KATIKA MUUNGANO???

TUNAAMBIWA MUUNGANO ULIFANYWA KWA RIDHAA YA NCHI 2, KWA NINI IKIWA SEHEMU MOJA INATAKA KUJITOA KWA RIDHAA HIVYO HIVYO IWE NONGWA???
Ndg yangu jibu swali, matukio ya kuchoma moto makanisa yametokea mara 25, si SMZ au UAMSHO wamekanusha hilo, sasa unasemaje? Kwani tukio la kuchoma moto vibanda lilikuwa la kidini! Je, wale waliOfunguliwa mashtaka ni sehemu ya usalama wa taifa. Je wazanzibar hawakutetea uchomaji moto vibanda!

Je, Jusa hakutoa kauli za kuwalenga Wakristo? Je, kumhusisha Nyerere na ukristo wake si sehemu ya kujaza watu jazba dhdi ya imani nyingine?
Je, Wazanzibar kuwaita wabara Mkafir si sehemu ya chuki dhidi ya watu wenye imani nyingine!

Mwisho, Zbar haipaswi kuomba kutoka katika muungano, inaweza kutoka ndiyo maana kuna kampeni ya
'LET ZANZIBAR GO''. Lini Zbar iliomba kujadili jambo! katiba si mumebadilisha bila muungano sasa kutoka mnataka ruhusa ya nani. Pack and Go, hatuwahitaji asilani. Wala hatuna mpango wa kuwabeba kwa serikali 3 au muungano.

Pack and go, LET ZANZIBAR GO
 
tokeni basiiiii kwani nani kashikilia, si mtoke tuuuu. Nyie amkeni kesho nendeni kwa rahisi wenu shein mumuambie atangaze kujitoa msiwe na wasi wasi sie tutawapatia usafiri wenzenu walioko huku na tutawachukua wenzetu walioko huko.
Go zanzibar go
it's time you go now.
Tumewachoka na hatutaki kuwasikia tena

hatuhitaji chilisosi waache watanganyika wafanye mboga ya ugali
 
Ndg yangu jibu swali, matukio ya kuchoma moto makanisa yametokea mara 25, si SMZ au UAMSHO wamekanusha hilo, sasa unasemaje? Kwani tukio la kuchoma moto vibanda lilikuwa la kidini! Je, wale waliOfunguliwa mashtaka ni sehemu ya usalama wa taifa. Je wazanzibar hawakutetea uchomaji moto vibanda!

Je, Jusa hakutoa kauli za kuwalenga Wakristo? Je, kumhusisha Nyerere na ukristo wake si sehemu ya kujaza watu jazba dhdi ya imani nyingine?
Je, Wazanzibar kuwaita wabara Mkafir si sehemu ya chuki dhidi ya watu wenye imani nyingine!

Mwisho, Zbar haipaswi kuomba kutoka katika muungano, inaweza kutoka ndiyo maana kuna kampeni ya
'LET ZANZIBAR GO''. Lini Zbar iliomba kujadili jambo! katiba si mumebadilisha bila muungano sasa kutoka mnataka ruhusa ya nani. Pack and Go, hatuwahitaji asilani. Wala hatuna mpango wa kuwabeba kwa serikali 3 au muungano.

Pack and go, LET ZANZIBAR GO

UNASEMA HIVYO LAKINI KANISA LINASEMA VYENGINE

KAMA UNATAKA MAJIBU YA MASUALI YAKO SIKILIZA HII VIDEO NILIYOKUTUMIA AU UNATAKA UBISHI WA KIKANISA NA TUBISHANE

MUHADHARA UAMSHO - PWANI MCHANGANI - YouTube
 
Mwanakijiji lakini hata Nyerere si alikwisha sema wamechoshwa na wazazibar na Uisilamu au hujamsikiapo akisema hivyo? wewe ni mwingi wakutafuta yalio jificha sasa fatilia hotuba hiyo ya Nyerere aliyosema wamechwa na wazanzibar na Uisilamu cha kujiuliza hapa hivi nyerere alikuwa hajuwi (elewa ) kama alikuwa anaungana na watu amabo wengi wao ni waisilamu ?Dini ambayo yeye mwenye kinaga ubaga bila ya kumungunya maneno amedhihirisha anaichukia.jengine Mwanakijiji nikulize hivi waTanzania wangapi wanaishi USA ,Uk Canada,Sweden,Denmark Ausralia Nk na wengi wao wamesha zaliana na wenyeji wa nchi hizo sasa kuishi kwao huko kunatokana na Mungano au sheria za nchi hizo kuwakubalia kuishi?hapa Tz kuna wachina ,wakenya ,waganda nk tumeungana nao hao?au iwe wazanzibar tu ukivunjika Mungano ndio iwe tatizo sasa na hawa waliopo hapa Zanzibar mtawamrisha pia warudi huko mrima?
Ebu iweke hotuba hiyo ya Nyerere hapa maanake yawezekana hotuba moja ikaeleweka tofauti.....Na wewe unayemsema sana Nyerere bila kufuata hadithi za mtume unaweza kuta huyo Nyerere amali yake kubwa kwa Mwenyezi Mungu kuliko wewe unaye jiita Muislaam kwa jina. Kuna hadithi zaidi ya 10 ambazo zimeonyesha watu ambao hawakutegemewa wametabiriwa pepo iwe wewe unataka kuchukua nafasi ya Uungu kumsema mtu nani Muislaam nani siye? na chuo gani mnafundishwa kama sii kudanganywa! Zanzibar sii nchi ya Waislaam wala hamjawa waislaam kwa sababu hamuishi kwa mwongozo, sheria wala mafundisho ya dini isipokuwa mnachanganya dini, utamaduni na asili za wageni kuzipa uzito wa kiimani.
 
Ebu iweke hotuba hiyo ya Nyerere hapa maanake yawezekana hotuba moja ikaeleweka tofauti.....Na wewe unayemsema sana Nyerere bila kufuata hadithi za mtume unaweza kuta huyo Nyerere amali yake kubwa kwa Mwenyezi Mungu kuliko wewe unaye jiita Muislaam kwa jina. Kuna hadithi zaidi ya 10 ambazo zimeonyesha watu ambao hawakutegemewa wametabiriwa pepo iwe wewe unataka kuchukua nafasi ya Uungu kumsema mtu nani Muislaam nani siye? na chuo gani mnafundishwa kama sii kudanganywa! Zanzibar sii nchi ya Waislaam wala hamjawa waislaam kwa sababu hamuishi kwa mwongozo, sheria wala mafundisho ya dini isipokuwa mnachanganya dini, utamaduni na asili za wageni kuzipa uzito wa kiimani.

Wazanzibar wengi sio wadini, ila kiukweli wanauchukia muungano na wanamchukia Nyerere vibaya mno. Nafikiri kuchoma makanisa ilikuwa kutia msisitizo jinsi gani wanachukua muungano. Wasingeweza kuchoma ofsi za ccm maana wangekubana na kipigo cha mbwa mwizi.

Cha mhumimu ni kuwasaidia njia sahihi za wazetu wajikate kama msemo wako, kwa amani na si kwa mvurugano. Kikwete mwenyewe kawaambia Kanisa la mwanzo limeenezwa Tanganyika kutokea Zanzibar, uislamu umeenezwa kutoka zanzibar kuja Tanganyika na kanisa Katoriki la mwanzo na angalikana kwa upande wa Tanganyika limejengwa pale Bagamoyo karibu na shule ya St Marian.

Tunashangaa kusema ukristu umetoka bara kwenda zanzibar, Sie kule hadi juzi bila kuwa na Kiboko basi huna imani, najua kule kwenu Ing'wena mpaka leo. teh teh teh
 
Zinedine,
Post yako #89 imejaa hekima ambazo Wazanzibar wengi hawazioni.

Malalamiko ya wzbar mengine yanatia kichefu chefu. NiwAkumbushe tu kuwa, SMZ haina bajeti ya Ulinzi wa ndani na nje, Elimu ya Juu kwa uchache wa kusema.
Mzigo huo unabebwa na Mtanzania bara kwasababu Zbar inachangia 0 katika muungano! I mean Zero!

Marais wastaafu wa Zbar wanahudumia na kodi za bara. Kiongozi au mfanyakazi wa ngazi yoyote ile aliyewahi kufanya kazi bara huyo ni tegemezi kwa bara daima. Gharama zote hizo zinabebwa na mbara

Inauma mbara alipe kodi ya umeme, ya kumsomesha mzbar chuo kikuu tena kwa nafasi za upendeleo, apate ajira za upendeleo, astaafu na kulipwa marupu rupu yote na mlipa kodi yule yule anayetukanwa kama kafir, chogo n.k

Anyway, Nonda anasema kuundwe kamati kuangalia muungano. UAMSHO hawataki muungano, ndiyo maana muungano ukitajwa wanasema 'laana ya mwenyezi mungu' akitajwa Nyerere 'Laana ya mwenyezi mungu' akitajwa Karume, Jumbe, Mwinyi, Wakili, Amour, Karume JR, Shein hutasikia hata kikohozi. Kamati ya nini Nonda? Maskeikh wa UAMSHO waliobobea katika dini, fitna na majungu weshasema hawataki muungano. Wewe unataka kamati si utakuwa kafir kama Mtanganyika!

Nonda, unataka kamati ya nini wakati Zbar ilibadilisha katiba bila kamati, imeunda Baraza la mitihani bila kamati, imeunda GNU bila kamati, imefika mahali katiba JMT inasema waziri kiongozi, ya Zbar inasema makam wa rais na hakukuwa na kamati. Hili la muungano unataka kamati ya nini? kuuliza kama wazanzibar wanataka muungano wakati jibu la SMZ ni lile la UAMSHO!

LET ZBAR GO! hatuhitaji majadiliano, tumejitoa sana kwa Zbar kunusuru muungano.
Muda wa kutumia rasilimali za bara kwa ujira wa kuchomwa moto na matusi umekwisha.

Hakuna serikali 3 kwasababu Zbar haiwezi kulipa hata robo ya gharama!
Hakuna mkataba kwasababu Tanganyika haitafaidika na chochote kutoka Zbar

Tunajua, wanataka majadiliano ili yale yanayowahusu yawe ya muungano.
The time is up, pack and go!
Visit us as others do! Na jinsi inavyochelewa ndivyo Wabara wanavyopata hasira!
Tutaweka wazi kila kitu

Zanzibar offers 0, LET THEM GO

LET ZBAR GO, GO NOW, IF POSSIBLE JULY 1 2012.
Mkuu angalia sauti yako isijeikakauka!

Hivi ni nani anayeng'ang'ania Muungano wa Tangayika na Zanzibar?

Tutakapoacha kupiga mayowe, kelele na kuanza kufikiri vyema hatutasema Let Zanzibar go! kwa sababu UAMSHO wamechoma makanisa.

Wala hatutawafundishaWazanzibari njia rahisi za kujitoa katika Muungano. Historia imejiandika tayari, wacha kujitoa kutoka Muungano, kuuhoji tu au kutaka ukarabati wa Muungano kumepelekea "kuchafuka kwa hali ya hewa", wengine kufukuzwa kutoka Chama kilichoshika hatamu. Hao ni wazanzibari. Lakini pia G55 (watanganyika) lilitaka ukarabati wa Muungano. Wao walitungiwa kitabu na kuitwa wahuni.

Ni nani anayeung'ang'ania Muungano. Wazanzibari? Watanganyika? au ving'ang'anizi ?

Ok..tuendelee kujifurahisha hapa kwa mijadala lakini nguvu hizi tungelizielekeza kwa wanaoung'ang'ania Muungano juhudi zetu zingezaa matunda zaidi kuliko hivi tunavyofanya sasa.

Sasa tunapandikiza chuki na kuwaacha ving'ang'anizi wakichekelea kuwa wamepata breathing space!

Inaonekana hatuitaki Tanganyika(Tanzania) isiyoungana na Zanzibar.

Huwajui ving'ang'anizi? Karibu hapa https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...ha-upinzani-kitaongoza-serikali-tanzania.html
 
Wazanzibar wengi sio wadini, ila kiukweli wanauchukia muungano na wanamchukia Nyerere vibaya mno. Nafikiri kuchoma makanisa ilikuwa kutia msisitizo jinsi gani wanachukua muungano. Wasingeweza kuchoma ofsi za ccm maana wangekubana na kipigo cha mbwa mwizi.

Cha mhumimu ni kuwasaidia njia sahihi za wazetu wajikate kama msemo wako, kwa amani na si kwa mvurugano. Kikwete mwenyewe kawaambia Kanisa la mwanzo limeenezwa Tanganyika kutokea Zanzibar, uislamu umeenezwa kutoka zanzibar kuja Tanganyika na kanisa Katoriki la mwanzo na angalikana kwa upande wa Tanganyika limejengwa pale Bagamoyo karibu na shule ya St Marian.

Tunashangaa kusema ukristu umetoka bara kwenda zanzibar, Sie kule hadi juzi bila kuwa na Kiboko basi huna imani, najua kule kwenu Ing'wena mpaka leo. teh teh teh
Hapna mkuu wangu Zanzibar UDINI upo, tena acha Udini hadi Ukabila ni sehemu kubwa ya utamaduni na asili ambayo ilipelekea machafuko na hata Mapinduzi yenyewe na hakika hawatupendi Wabara hili wala usilitetee kabisa ila kuna baadhi yao sii wabaguzi na hawapendwi ktk jamii zao.

Pengine unambie Wazanzibara, hawa nawapa heshima zote na wanaelewa udugu wetu na marefu ya kuwepo ama umuhimu wa muungano kutokana na historia ya nchi zetu, lakini sii kizazi hiki cha Mapinduzi hawa wamepukutwa kichwani na kujazwa ujinga. Mkuu naishi nao ni marafiki ambao wanatazamwa kama Wabara kwa sababu tu wamekuwa karibu na watu kama sisi aidha kwa ndoa au urafiki tu. Na wapo kati yao wanao pretenmd kutupenda lakini wakiwa peke yao hutuita machogo na kadhalika, hii ni asili na siwezi kuwalaumu maana wamekuzwa kwa ubaguzi baina ya nasaba zao.

Kutompenda Nyerere ni propaganda walizolishwa, wamesafishwa bongo zao na kujazwa ujinga kama vile chupa ya Pepsi ilowekwa togwa kuaminishwa kuwa mbaya wao ni Nyerere. Na hakika kama Karume angekuwa hai leo, hawa wote wasingethubutu hata kuinua kidole maana hawa hawa ndio walokuwa wakimchukia na hata kufurahia kifo chake.

Hawa wote wanaopiga kelele undani wao hawaungi mkono hata Mapinduzi kwa sababu wamejazwa fikra za kwamba Sultan alikuwa mbora na mwenzao wakati akichukua Watumwa na kuwauza kwa wazungu. Imefikia hata kuwa watetezi wa Sultan kwa kujigamba ati Sultan aliacha biashara ya Utumwa hata kabla ya Muingereza! wakati hawa ndio walikuwa walanguzi wakubwa wa watumwa na wakishikilia masoko yote Afrika ya magharibi ya mashariki lakini waulize Wazanzibar watajaribu kwa kila hila kumsafisha Sultan while biashara ya Utumwa nyakati hiyo ilikuwa sawa na mafuta au dhahabu nani aache biashara inayoendesha uchumi wake?.

Na wala Kikwete hakusema uongo maana Ukristu ulikuwepo Zanzibar kabla ya bara hilo ni kweli kabisa na hata kule Mombasa. Ukiristu umeingia Zanzibar pengine sambamba na bara maana kulikuwa na ushirikiano mkubwa baina ya Sultan na makanisa ndio maana utakuta kule Mombasa kuna kanisa kubwa la kuuzia watumwa na hata Zanzibar. Na kumbuka ya kwamba hakuna mahala kwenye biblia wala Kuran kumeharamisha utumwa isipokuwa tu imesisitiza kutowatesa lakini haikuwa haramu kuwa na mtumwa wa kulima au mjakazi wakati wowote wa mitume. Ebu jiulize Zanzibar ilifuata dini zaidi wakati gani? kama ni wakati wa Sultan imewezekana vipi makanisa kama lile la Mkunazini lilikuwepo wakati wa sultan na bado lipo hadi leo?

Hili vuguvugu lote limeletwa na kundi la wajinga fulani ambao wameeneza siasa za chuki kiasi kwamba wapo Wazanzibar wanaamini kabisa kwamba Bara hakuna Waislaam (jina) isipokuwa mikoa ya Dar, Tanga, Mtwara na Songea mikoa ambayo Sultan aliitawala na hivyo kila kinachotoka Dodoma ni cha kikristu. Na tatizo jingine sisi wenyewe tumekuwa tukitoa majibu ya kuonyesha kweli tunaupiga vita Uislaam hasa ktk maswala nyeti kama kujiunga na OIC au mahakama ya kadhi wakati majibu yake ni rahisi kabisa. I wish ningekuwa msemaji wa JK ktk maswala haya maana najua nitawajibu vipi hawa masheikh wanaotumia Uislaam kutafuta umaarufu.
 
Hapna mkuu wangu Zanzibar UDINI upo, tena acha Udini hadi Ukabila ni sehemu kubwa ya utamaduni na asili ambayo ilipelekea machafuko na hata Mapinduzi yenyewe na hakika hawatupendi Wabara hili wala usilitetee kabisa ila kuna baadhi yao sii wabaguzi na hawapendwi ktk jamii zao.

Pengine unambie Wazanzibara, hawa nawapa heshima zote na wanaelewa udugu wetu na marefu ya kuwepo ama umuhimu wa muungano kutokana na historia ya nchi zetu, lakini sii kizazi hiki cha Mapinduzi hawa wamepukutwa kichwani na kujazwa ujinga. Mkuu naishi nao ni marafiki ambao wanatazamwa kama Wabara kwa sababu tu wamekuwa karibu na watu kama sisi aidha kwa ndoa au urafiki tu. Na wapo kati yao wanao pretenmd kutupenda lakini wakiwa peke yao hutuita machogo na kadhalika, hii ni asili na siwezi kuwalaumu maana wamekuzwa kwa ubaguzi baina ya nasaba zao.

Kutompenda Nyerere ni propaganda walizolishwa, wamesafishwa bongo zao na kujazwa ujinga kama vile chupa ya Pepsi ilowekwa togwa kuaminishwa kuwa mbaya wao ni Nyerere. Na hakika kama Karume angekuwa hai leo, hawa wote wasingethubutu hata kuinua kidole maana hawa hawa ndio walokuwa wakimchukia na hata kufurahia kifo chake.

Hawa wote wanaopiga kelele undani wao hawaungi mkono hata Mapinduzi kwa sababu wamejazwa fikra za kwamba Sultan alikuwa mbora na mwenzao wakati akichukua Watumwa na kuwauza kwa wazungu. Imefikia hata kuwa watetezi wa Sultan kwa kujigamba ati Sultan aliacha biashara ya Utumwa hata kabla ya Muingereza! wakati hawa ndio walikuwa walanguzi wakubwa wa watumwa na wakishikilia masoko yote Afrika ya magharibi ya mashariki lakini waulize Wazanzibar watajaribu kwa kila hila kumsafisha Sultan while biashara ya Utumwa nyakati hiyo ilikuwa sawa na mafuta au dhahabu nani aache biashara inayoendesha uchumi wake?.

Na wala Kikwete hakusema uongo maana Ukristu ulikuwepo Zanzibar kabla ya bara hilo ni kweli kabisa na hata kule Mombasa. Ukiristu umeingia Zanzibar pengine sambamba na bara maana kulikuwa na ushirikiano mkubwa baina ya Sultan na makanisa ndio maana utakuta kule Mombasa kuna kanisa kubwa la kuuzia watumwa na hata Zanzibar. Na kumbuka ya kwamba hakuna mahala kwenye biblia wala Kuran kumeharamisha utumwa isipokuwa tu imesisitiza kutowatesa lakini haikuwa haramu kuwa na mtumwa wa kulima au mjakazi wakati wowote wa mitume. Ebu jiulize Zanzibar ilifuata dini zaidi wakati gani? kama ni wakati wa Sultan imewezekana vipi makanisa kama lile la Mkunazini lilikuwepo wakati wa sultan na bado lipo hadi leo?

Hili vuguvugu lote limeletwa na kundi la wajinga fulani ambao wameeneza siasa za chuki kiasi kwamba wapo Wazanzibar wanaamini kabisa kwamba Bara hakuna Waislaam (jina) isipokuwa mikoa ya Dar, Tanga, Mtwara na Songea mikoa ambayo Sultan aliitawala na hivyo kila kinachotoka Dodoma ni cha kikristu. Na tatizo jingine sisi wenyewe tumekuwa tukitoa majibu ya kuonyesha kweli tunaupiga vita Uislaam hasa ktk maswala nyeti kama kujiunga na OIC au mahakama ya kadhi wakati majibu yake ni rahisi kabisa. I wish ningekuwa msemaji wa JK ktk maswala haya maana najua nitawajibu vipi hawa masheikh wanaotumia Uislaam kutafuta umaarufu.

hizi propaganda za kanisa zimepitwa na wakati kama unao ubavu weka jukwaa lako mitaani utoe huu utumbo wa kanisa uone kama watu hata watainusa harufu yako, mumebaki kuandika katika JF na magazeti kama wezi, poleni sana watanganyika

munaumwa na visiwa vidogo viwili na mnaacha kushughulika na jinchi lenu lenye watu milioni zaidi ya 40
maskini nyinyi watu

makanisa mumeyachoma wenyewe ili kuleta hii propaganda , mbona hamuwakamati ???

Na kwa nini yachomwe hapo Unguja yasichomwe kule mliko uwa watu Pemba??? au huko hakuna uamsho???
 
Ebu iweke hotuba hiyo ya Nyerere hapa maanake yawezekana hotuba moja ikaeleweka tofauti.....Na wewe unayemsema sana Nyerere bila kufuata hadithi za mtume unaweza kuta huyo Nyerere amali yake kubwa kwa Mwenyezi Mungu kuliko wewe unaye jiita Muislaam kwa jina. Kuna hadithi zaidi ya 10 ambazo zimeonyesha watu ambao hawakutegemewa wametabiriwa pepo iwe wewe unataka kuchukua nafasi ya Uungu kumsema mtu nani Muislaam nani siye? na chuo gani mnafundishwa kama sii kudanganywa! Zanzibar sii nchi ya Waislaam wala hamjawa waislaam kwa sababu hamuishi kwa mwongozo, sheria wala mafundisho ya dini isipokuwa mnachanganya dini, utamaduni na asili za wageni kuzipa uzito wa kiimani.

yaelekea Zanzibar inawapa homa sana , hamli vizuri na mtakufa vihoro mwaka huu !!! mtakosa nini huko ikiwatoka ???

ji nchi lenu kubwa lote haliwatoshi au hilo ni baloon ndani upepo tu hamna kitu???
 
hizi propaganda za kanisa zimepitwa na wakati kama unao ubavu weka jukwaa lako mitaani utoe huu utumbo wa kanisa uone watu kama watu hata watainusa harufu yako, mumebaki kuandika katika JF na magazeti kama wezi, poleni sana watanganyika

munaumwa na visiwa vidogo viwili na mnaacha kushughulika na jinchi lenu lenye watu milioni zaidi ya 40
maskini nyinyi watu

maknisa mumeyachoma wenyewe ili kuleta hii propaganda , mbona hamuwakamati ???

Na kwa nini yachomwe hapo Unguja yasichomwe kule mliko uwa watu Pemba???
Wee anzisha jukwaa hapa hapa JF twende mimi na wewe halafu atajulikana mtu wa kanisa au wewe nani ananuka kwapa. Hao walochoma kanisa wakamatwe na nani ikiwa limechomwa Zanzibar na hata mkajisifia ktk mihadhara, kwani Alqaeda wanapojisifia huwa lazima akamatwe mtu?. Hatuvitaki visiwa hivyo mbona husomi maandishi ya watu Ondokeni tena mnachelewa sana. Kwani hao UAMSHO wametoka Pemba au?
 
Wee anzisha jukwaa hapa hapa JF twende mimi na wewe halafu atajulikana mtu wa kanisa au wewe nani ananuka kwapa. Hao walochoma kanisa wakamatwe na nani ikiwa limechomwa Zanzibar na hata mkajisifia ktk mihadhara, kwani Alqaeda wanapojisifia huwa lazima akamatwe mtu?. Hatuvitaki visiwa hivyo mbona husomi maandishi ya watu Ondokeni tena mnachelewa sana.

hapa tutakuwa mimi na wewe tu, kama nyinyi mnasema kweli tumieni haki ya katiba kueleza huo utumbo wenu kama wanavyoutumia mwamsho.

Mnakimbilia hapa kwa sababu mnajua wanaoingia humu sio wale wanaoteseka zaidi na Muungano ambao kula yao ya siku inawapa taabu , wala uwezo wa kuingia cafe kuangalia internet hawana

Mimi huwezi kunidanganya maana nitakuwekea video za hao uamsho wenyewe uwasikie wanavyosema ,

wewe niwekee video za mihadhara yenu hapa tuone mnasema nini , HUNAGA UNAJARIBU KUPAKA WATU MAFUTA KWA MGONGO WA CHUPA TU
 
hapa tutakuwa mimi na wewe tu, kama nyinyi mnasema kweli tumieni haki ya katiba kueleza huo utumbo wenu kama wanavyoutumia mwamsho.

Mnakimbilia hapa kwa sababu mnajua wanaoingia humu sio wale wanaoteseka zaidi na Muungano ambao kula yao ya siku inawapa taabu , wala uwezo wa kuingia cafe kuangalia internet hawana

Mimi huwezi kunidanganya maana nitakuwekea video za hao uamsho wenyewe uwasikie wanavyosema ,

wewe niwekee video za mihadhara yenu hapa tuone mnasema nini , HUNAGA UNAJARIBU KUPAKA WATU MAFUTA KWA MGONGO WA CHUPA TU
Sasa wewe unachozungumza kitu gani hapa. UAMSHO unawajua wee ama unatazama video maana mimi nimezungumza nao na nimeshabishana nao uso kwa uso acha kuleta habari za hapa kijiweni. Hunijui na labda nikukumbushe tu kitovu cha jumuiya za kutoa Dawa zilianza bara na nilikuwa mmoja wao enzi za kina Ngariba lakini hatukugusia maswala ya Muungano wala siasa isipokuwa kuitangaza dini na kukosoa pale aya ziinapotafsirika vibaya.

Kama wewe kula yako shida mbona humuulizi Maalim Seif mnayemlisha mara tatu kwa siku? Humuulizi Jussa anayefungua biashara bara na kujenga majumba ilihali yeye mbunge wa Visiwani. Huwaulizi wote toka kina Mwinyi hadi Bilal mbona utajiri wao uko nje ya Zanzibar... Haya ndio maswala tunawaambia waulizeni viongozi wenu wanaowaweka ktk umaskini na utumwa kama tunavyofanya sisi. Wewe unaenda gombea mipaka ya zanzibar kama mbuzi alofungwa kamba shingoni ukililia malisho ya majani..Mkuu uko huru unaweza enda bara ukajiendeleza zaidi kuliko kulilia kinchi ambacho kwanza umekivamia wewe sii asili yako tena kwa ujinga zaidi ulnalilia mipaka ya bahari ambayo hata huishi humo kama sii ujinga kitu gani?..

Nitarudi, natoka kidogo lakini usiache baraza hili nikupe dawa! sintachoka
 
wee anzisha jukwaa hapa hapa jf twende mimi na wewe halafu atajulikana mtu wa kanisa au wewe nani ananuka kwapa. Hao walochoma kanisa wakamatwe na nani ikiwa limechomwa zanzibar na hata mkajisifia ktk mihadhara, kwani alqaeda wanapojisifia huwa lazima akamatwe mtu?. Hatuvitaki visiwa hivyo mbona husomi maandishi ya watu ondokeni tena mnachelewa sana. Kwani hao uamsho wametoka pemba au?

huko ndiko mnakoelekea na mambo ya al-qaida , hata wakati wa uchaguzi 2005 tuliambiwa kuna watu walikamatwa na visu eti ni al-qaida , mbinu hizo za polisi na usalama wa taifa zimeshapitwa na wakati

kila chenye kuzaliwa ni lazima kuna siku yake ya kufa ,

nyinyi na makanisa yenu endesheni propaganda lakini hamuwezi kuzuia kifo cha muungano siku yake ikifika
 
sasa wewe unachozungumza kitu gani hapa. Uamsho unawajua wee ama unatazama video maana mimi nimezungumza nao na nimeshabishana nao uso kwa uso acha kuleta habari za hapa kijiweni. Hunijui na labda nikukumbushe tu kitovu cha jumuiya za kutoa dawa zilianza bara na nilikuwa mmoja wao enzi za kina ngariba lakini hatukugusia maswala ya muungano wala siasa isipokuwa kuitangaza dini na kukosoa pale aya ziinapotafsirika vibaya.

Kama wewe kula yako shida mbona humuulizi maalim seif mnayemlisha mara tatu kwa siku? Humuulizi jussa anayefungua biashara bara na kujenga majumba ilihali yeye mbunge wa visiwani. Huwaulizi wote toka kina mwinyi hadi bilal mbona utajiri wao uko nje ya zanzibar... Haya ndio maswala tunawaambia waulizeni viongozi wenu wanaowaweka ktk umaskini na utumwa kama tunavyofanya sisi. Wewe unaenda gombea mipaka ya zanzibar kama mbuzi alofungwa kamba shingoni ukililia malisho ya majani..mkuu uko huru unaweza enda bara ukajiendeleza zaidi kuliko kulilia kinchi ambacho kwanza umekivamia wewe sii asili yako tena kwa ujinga zaidi ulnalilia mipaka ya bahari ambayo hata huishi humo kama sii ujinga kitu gani?..

Njitarudi natoka kidogo lakini usiache baraza hili nikupe dawa! Sintachoka

hayo ni mawazo ya mtu aliyeishiwa hoja, ANGALIA UNAVYOPAPARIKA , MARA MAALIM SEIF MARA HIVI HIZI NDIZO MBINU ZA KANISA NA USALAMA WATAIFA WANAPOMBAMBIKIA MTU KESI

kuna wakenya wafanya biashara hapo tanganyika , kuna waganda , na watu wanchi nyengine za jirani.

Kuna wamasai watanzania na wamasai wa kenya , kuna wajaluo watanzania na wajaluo wa kenya kuna
wamakonde wa tanzania na wamakonde wa kenya kwa nini hamkimbilii kuungana nao hao

unasema unaongea na uamsho weka video yako hapa tukuone tusikie hayo mahojiano yako , siku za mwizi ni arobaini
 
Mkuu Mkandara, umeongea mengi yenye hekima. Nichangie pale ulipoishia. Hawa UAMSHO wanaangalia mambo kwa wakati ule na eneo lile. Hawaangalii kwa mtazamo mpana hivyo gharama zake ni kubwa sana kijamii.

Kitendo cha kuwabagua Watanganyika 'machogo' ni utamaduni unaotokana na chuki.
Wala chuki hiyo haiishii kwa wakristo, wanapotaka kuwasema waislam wanatumia neno machogo.

Wakati huu taifa likiwa katika mijadala kama OIC na Mahakama ya kadhi, ilikuwa ni dhima ya vikundi kama UAMSHO kuonyesha kwa mafunzo upendo,hekima na ustahamilivu na kuwatoa hofu wale wenye wasi wasi.

Kwa hili la kuwatuhumu Wakristo na Machogo, nani anaweza kusimama na kusema kwa dhati kuwa Mahakama ya kadhi au OIC ni mambo ya kawaida katika jamii.

Nani atakayeamini kuwa wazanzibar wameishi na wakristo(wanavyowaita) kwa karne katika uvumilivu!
Wenye lugha zao wanasema 'shoot yourself in the foot'

Chuki ipo hata katika suala wanaloamini kwa pamoja kama muungano. Jussa ameshakaririwa mara nyingi akimlaumu Karume. Ingawa anamlaumu kwa muungano nyuma yake kuna chuki dhidi ya mapinduzi. Ni kundi la akina Jussa linaloamini kuwa mapinduzi si halali. Ukimuona mwanapinduzi mkereketwa basi mfananishe na Jussa utapa jibu.

Wazanzibar hawamchukii Nyerere kama binadamu au Rais, chuki dhidi ya Nyerere ni njia ya kujenga hoja.
Haiwezekani kukurupuka tu na kusema muungano umeletwa na wakristo. Ni lazima ziwepo theory za kubumba ili zilete kilichokusudiwa.Wanapomtaja Nyerere inaweza kuwa mara 3 baada ya hapo ukristo utatajwa mara 97.

Nyerere ni daraja tu la kufikia wanakokusudia. Haiwezekani Maalim Sefi, Hamad Rashi, Mwinyi, Nahodha, Moyo wafanye kazi ile ''aliyokusudia'' halafu wao wasisemwe! Leo hasemwi JK inasemwa serikali, lakini haisemwi ya awamu ya kwanza anatajwa Nyerere.

Nimesoma makala ya msemaji asiye rasmi wa Wazbar katika gazeti la Raia mwema. Siku za awali alikuwa anahubiri serikali tatu,akabadili na kuja na mkataba na yote hayo baada ya kukumbana na maswali leo anasema tuwe na ushirikiano kama wa EU. Msomi huyo haelezi mfumo huo utasadiaje pande mbili, na kwanini ushirikiano kama wa EU. Kwanini isiwe EAC,SADC au FIFA. Tanganyika itafaidika na nini. Msemaji huyo anajua madhara atakayoopata mlala hoi kwa bahati mbaya amechochea na sasa ni point of no return.
Alichokiri ni kuwa Wzbar hawataki muungano ufe.

Kwa namna yoyote na akili yoyote ukiweka faida za muungano na hasara zake hakuna shaka faida ni nyingi sana kwa Zbar. Labda niwe blunt, bara hawafaidi chochote zaidi ya kuwa mbeleko.

Tatizo ni kuwa umma umetekwa na hawa watu wa Oman, wanaahidiwa maziwa na asali,, biriani na makaimati kila uchao.
Kwa mzbar wa kawaida kifo cha muungano ni ongezeko la dhiki.

Ni ongezeko la dhiki kwasababu kwa hali yoyote kuna mahali Zbar itakuwa katika kivuli cha Tanganyika.
Kwa Tanganyika, tumechoka kutoa kila siku na malalamiko kila uchao.
muda wa kuwa mshumaa umekwisha.
LET ZANZIBAR GO! PACK AND GO.

Hakuna majadiliano yatakayokubalika zaidi ya kuwacha waende.
Mwenye hoja kwanini tubaki nao, tafadhali iweke hapa utushawishi wengine. Vingnevyo treni imeshaondoka
 
huko ndiko mnakoelekea na mambo ya al-qaida , hata wakati wa uchaguzi 2005 tuliambiwa kuna watu walikamatwa na visu eti ni al-qaida , mbinu hizo za polisi na usalama wa taifa zimeshapitwa na wakati

kila chenye kuzaliwa ni lazima kuna siku yake ya kufa ,

nyinyi na makanisa yenu endesheni propaganda lakini hamuwezi kuzuia kifo cha muungano siku yake ikifika

hizi zilikuwa mbinu za ccm mnayoipenda
(kwenye red)muungano upo mikononi mwenu..Bilal anafanya nini huku bara?
 
hayo ni mawazo ya mtu aliyeishiwa hoja, ANGALIA UNAVYOPAPARIKA , MARA MAALIM SEIF MARA HIVI HIZI NDIZO MBINU ZA KANISA NA USALAMA WATAIFA WANAPOMBAMBIKIA MTU KESI

kuna wakenya wafanya biashara hapo tanganyika , kuna waganda , na watu wanchi nyengine za jirani.

Kuna wamasai watanzania na wamasai wa kenya , kuna wajaluo watanzania na wajaluo wa kenya kuna
wamakonde wa tanzania na wamakonde wa kenya kwa nini hamkimbilii kuungana nao hao

unasema unaongea na uamsho weka video yako hapa tukuone tusikie hayo mahojiano yako , siku za mwizi ni arobaini
Alaa napaparika kitu gani kwa kumtaja Maalim Seif huyu leo amekuwa mtume? nimesema kama unachodai ni mgao wa keki ya taifa kwa wananchi swala ni kumuuliza Maalim Seif maana madai ya muungano hayahusiani na Umaskini wako isipokuwa hawa watu wanakuibieni kuingia madarakani, wameahidi mengi na wameshindwa kuyatimiza wakati wao wakila milo mitatu kwa siku Uongo?..Leo Seif yuko Ikulu umemsikia akisema Muungano uvunjike?. Ndio kwanza anadai ahudumiwe kwa fedha zaidi kila anapokwenda. Haya niwekee hapa hotuba ya Maalim Seif Hamad siku kabla na baada ya kuapishwa alisema nini? aliahidi nini na yeye anafanya nini kwa nini iwe taabu kwako kunielewa!..

Halfu unasikitisha sana kutoa mifano ya Kenya, Uganda na makabila yake ambayo yanapakana na Tanzania kuwa sababu ya kuungana. Sisi sio wakabila mkuu wangu Uraia wa Mjaluo hautokani na kabila la mtu bali uzawa na makazi yake tofauti kabisa na Zanzibar ambayo wewe mwenyewe ni mgeni ulokimbia kwenu kuja pata hifadhi pale na unaweza kuja bara ukaitwa mbara vile vile.. Sasa huwezi nambia mimi kuhusu ushirikiano wa Watanganyika na wamasai wa Kenya wakati wewe sijui Mshihir au Mu Oman unayeshindwa kurudi Oman. Mbona Wahadimu na Watumbatu hawapigi makelele isipokuwa nyie mlolowea Zanzibar nakujifanya waislaam saaana kuliko mlotukuta na Uislaam?.

Na sizungumzi na watu kwa video hata siku moja. Hapa naongea na wewe, video iko wapi mbona tunajadili maswala haya kwa mapana au wewe mwizi ndio arobaini yako. UAMSHO ni jumuiya inayotoa dawa na tulikuwa tukizungumzia zaidi maswala ya dini na siii siasa za Zanzibar au bara bali WATU ktk imani ya kuabudu yale tuloamrishwa. Haya ya Muungano nimekuja yasikia majuzi tu sijui yameanza lini na inasikitisha sana kuona chombo kikubwa cha kiislaam kinaacha kazi kubwa ya kuitangaza dini wanaingia ktk maswala yanayotuondoa ktk Uislaam.

Maswala tulowahi kuzungumzia ni jinsi Zanzibar inavyogeuzwa kisiwa cha haramu zote tena kwa vibali toka viongozi wa Kiislaam ambao wanatumia dini kudai kura za wananchi, tumeenda hadi kwa wasioamini kuwapa dawa na Alhamdu lillah wengi wamejiunga ktk Uislaam kwa maana ya unyenyekevu wa kumtii Allah na sio WATU kama mnavyo muabudu Maalim Seif hata msiweze kumkemea wakati anajenga chuki maana hata mtume hakuwakuta waumini wa kiislaam, wote wale walikuwa majahir, washenzi na makafir wasioamini na akaweza kuwashawishi tena ktk mazingira magumu kuliko yako wewe na mimi.

Leo nyie mnakuja na uhasama badala ya kuitangaza dini kwa mema yake, kwa mifano yenye sifa ya UTU na kutetea haki na usawa wa binadamu ili kuwavuta watu ktk Uislaam. Badala yake mnafundisha chuki na utengano kujiona nyie wabora zaidi ya mitume. Hizi ni tabia za makafir sio waislaam wanaojua nini maana ya dini ina imekuja kwa watu gani. Mlaani sheitan mkuu wangu mlaani sheitan alowapa ghirib hii..
 
Malalamiko hayataisha hata kama Muungano utavunjika..
we are like "Big Brother" to them (Zanzibar) kwa hiyo hata huo muungano
ukivunjika bado watakuja na malalamiko mengine mfano tumewanyonya ,
umaskini uliopo Zanzibar ni ajili ya Bara.
"Tuwalipe" ....

Swali Je hata huu Muungano ukivunjika , wataacha ku lalamika???
nionavyo binafsi La.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom