Ally Kombo
JF-Expert Member
- Nov 11, 2010
- 11,429
- 2,653
Naomba nisikujibu kwasababu inaonyesha uelewa wako ni mdogo sana kama hata hujui kanisa ni nini unatakaje tujibishane na wewe habari za kanisa na ukristo ndugu yangu Ally? Mimi na wewe nadhani ni bora tukabishana kuhusiana na CUF,CCM na CDM kuliko habari za Imani tayari unaimani/mawazo yako juu ya Kanisa na ukristo hata nitoe povu vp kukueleza huwezi nielewa
Mkuu familia sio jambo la siri na wala haliwezi kufunikwa kirahisi kama unavyofikiria kwani hao watoto wa Yesu wasingependa kufahamika kama watoto wa Yesu? Nina mwenye uwezo wa kuifunika hii familia ya Yesu muda karne zote hizo kuna uwezekano Yesu alikuwa karibu na Magdalena lakini sio ukaribu wa kimahaba kama baadhi ya watu wanavyotaka kuwaaminisha watu na huo ukaribu ndio msingi wa huu uvumi wa kua Yesu alizaa na Magdalena
Kwani Da Vinchi ni nani?Wewe Mchungaji na Yesu wako! Kila akitajwa au akipewa challenge kidogo tu unapagawa! Yeye myahudi na wewe mmatumbi wapi na wapi?
Besides hivi wewe unaweza kutoa criticism yoyote ile dhidi ya Da Vinci kweli? Katika uwanda upi utampinga? Science, maths, astronomy, painting, etc?
Mchungaji,
William Shao ni nani?
Hawa ni watu gani?Wakiristu
Wewe nawe sijui umeibukia wapiUmepotoshwa kwa mujibu wa huyo muandishi
huyo William Shao anayetaka kukuaminisha uongo kuwa ni kweli...Mkuu Ant-Catholic wengi huwa wanapotosha mafundisho ya kanisa.....Ukweli ndo huo....Hata hiyo biblia unayoisoma ina vitabu lukuki vilivyo ondolewa na Kanisa kwasababu vilikuwa vya kishabiki zaidi.....Kwakifupi hata hiyo biblia yako imekuwa edited na Kanisa sana sana upande wa agano jipya...
Mfano ni Injili ya Maria, Injili ya Barnaba, Injili ya Thomas, Matendo ya Petro na vitabu vingine vingi viondolewa na kanisa(Catholic) kwasababu vimejaa ushabiki.....Kama unasema kanisa limepotosha basi ni Bora uitupe hiyo Bible yako mbali maana kanisa unalosema limepotosha mambo mengi ndo lime-edit na ku-compile hiyo bible yako.....
Kwanza ni kweli watu wengi wamekuwa Wakristo kwa kuwa wamezaliwa akakuta wazazi wao wako kwenye madhehebu
Lakini namna yako ya kufikiri kuwa ni LAZIMA kila mfuasi wa kristo awe ameanzia kwenye dhehebu ina matobo matobo sana
Siku hizi watu wanazipata habari za Yesu bila kuanzia kwenye dhehebu lolote,hivyo kusema na lazima utakuwa umejiweka kwenye mazingira mabaya sana
Halafu sijaona msingi wa wewe kujua dhehebu langu kwenye mjadala huu japokuwa nimekujibu swali lako,naomba tu uamini kuwa mimi ni mfuasi wa Kristo,hiyo inakutosha!
Wewe ni msomaji wa Biblia gani ambayo Mungu hajajitaja jina lake?
Na kwanini unaisoma Biblia?
Kitendo cha wewe kusema kuwa unamuamini Mungu wa Ibrahim,Isaka na Yakobo tayari wewe ni muamini wa Biblia,sasa niambie ni kitu gani kimekufanya umuamini huyu Mungu ambae ameandikwa kwenye maandiko ambayo huyaamini?[rejea maswali yako uliyoniulia kuwa hayo maandiko umejuaje ni neno la Mungu?]
N kumbuka huyu Mungu hata kama umemjua kupitia tafakari zako bado ni yule wa kwenye Biblia!
Tofauti yangu mimi na wewe ni hii:
Wewe hauiamini Biblia kama ni neno la Mungu na ni kamilifu
Mimi naiamini Biblia kama ni neno la Mungu na ni kamilifu!
Ni mambo mengi sana
Kuanzia madai yao ya kwamba Petro ni papa wa kwanza wa kanisa hilo
Historia nzima ya Ukristo n.k
Mambo ni mengi sana lakini nakushauri kitafute kitabu cha William Shao kinachoitwa MIAKA 2000 YA UKRISTO,HISTORIA ILIYOPOTOSHWA,kitakufungua macho!
Sawa lakini naomba ushahidi wa madai yako haya!
Una uhakika na haya maelezo yako?
Wapi nimetaka kuwaaminisha?
Mimi nimesema katafute hicho kitabu wewe unasema nataka kuwaaminisha,kivipi?
Nimepotoshwa kwa mujibu wa nani?
Umepotoshwa kwa mujibu wa huyo muandishi
huyo William Shao anayetaka kukuaminisha uongo kuwa ni kweli...Mkuu Ant-Catholic wengi huwa wanapotosha mafundisho ya kanisa.....Ukweli ndo huo....Hata hiyo biblia unayoisoma ina vitabu lukuki vilivyo ondolewa na Kanisa kwasababu vilikuwa vya kishabiki zaidi.....Kwakifupi hata hiyo biblia yako imekuwa edited na Kanisa sana sana upande wa agano jipya...
Mfano ni Injili ya Maria, Injili ya Barnaba, Injili ya Thomas, Matendo ya Petro na vitabu vingine vingi viondolewa na kanisa(Catholic) kwasababu vimejaa ushabiki.....Kama unasema kanisa limepotosha basi ni Bora uitupe hiyo Bible yako mbali maana kanisa unalosema limepotosha mambo mengi ndo lime-edit na ku-compile hiyo bible yako.....
huyo Mungu unayemuongelea ni wa watu watatu, Ibrahim, Isaka na Yakobo na labda wajukuu wao. Sasa wewe mmatumbi huyo Mungu hawezi kuwa wako. Wako yuko huku Africa.
Neno lilikuwa 'mungu auwawe' na watu wake !?........then wanapata nini !?
Kwa wauaji wa mungu hakuna lawama ?
Alafu kinacho shangaza zaidi ni kwamba, wataalamu waliwahi kuichunguza kiundani picha hiyo na kugundua kuna michoro zaidi ya mmoja kwenye ndani ya picha ya Monalisa!kinachonishangaza kuhusu mchoro wa Monalisa ni madai kuwa hauna chochote cha maana, bali ni mchoro tu.pia kuna ubishani zile picha hakuchora yeye binafsi bali wafanyakazi wake.
mkuu
ninaisoma biblia kwa sababu ina mambo yanayumzungumzia mungu.
biblia ninayoisoma ni ile inayoitwa biblia takatibu yenye agano la kale na jipya.
hakuna sehemu mungu alipotajwa jina lake ambalo labda mimi na wewe tunayajua kuwa ni majina ya watu. amekuwa akiitwa kwa majumuisho tu mungu wa baba zenu, mungu wa isaya, mungu wa jakobo na kuendelea.
kutoka sura 3 mstari wa 14-15 musa alitumwa kwenda kuwaambia watu kitu, akamuuliza mungu watu hao wataniuliza ni mungu gani huyo anaitwa nani, mungu akamjibu musa akamwambia kawaambie MIMI NIKO AMBAYE NIKO amenituma kwenu. sasa mimi niko ni jina? kwa maana ya majina haya tunayoyajua.
mungu hana jina watu wamekuwa wakimuita kwa majina mbalimbali wengine bwana, wengine baba, na mengine mengi ikiwa kuna jina la mungu naomba nijulishe n ami nitakuwa nimejifunza kitu.
mkuu Ally,
mungu wetu ni mungu wa mipango na utaratibu ,nilisema ili neno litimie toka uumbaji alijua kuwa itakuwa hivyo siku moja ili iwe vinginevyo,
ukisoma manabii waliokuwa awali walitabiri kuja kwa yesu duniani na kuwa wanadamu watamsaliti wao walioteshwa na mungu kwa hiyo mungu mwenyewe alipanga iwe hivyo ili neno lake liwe hakukuwa na namna bali ni kujishusha na kuruhusu wanadamu aliowaumba yeyey mwenyewe wamuue afufuke na kila aliye hai athibitishe kuwa yeye ni mungu.
ndio maana inasomeka hivi, ilipaswa mwana wa adamu afe ili litimie neno lililosemwa na manabii na mwanadamu apate ukombozi."
............uzushi ni dhambi !:faint2::shocked: