Leo Wifi atajibeba...

Leo Wifi atajibeba...

umenikumbusha kisa cha rafiki yangu mmoja bibi mkwe kila siku anampigia kelele kwann haongezi mtoto mwinine licha ya kwamba mwanae wa kwanza ana umri mkubwa.

Bnti siku alikasirika akamwita bibi akafungua mlango wa chumba chake akamwambie '' BIBI UNAONA KILE KITANDA?? NDICHO NINANACHOLALAGA NA MUMEWANGU KILA SIKU SASA LEO PANDA NA WEWE UKALALE NAE UONE JINSI NINAVYOFAIDI UKIWEZA UMZALIE NA MTOTO WA PILI''
 
leo atajibeba... Nimemchoka nimechoka wifi yangu na maneno yake ya kunisakama eti sizai... Najaza choo wakati ndoa yenyewe hata mwaka mmoja bado... Leo kaingia choo cha kiume... Nimemkaribisha chumbani nimemfungulia bafu la chumbani kwangu ameoga, nimempa taulo langu amejifutia,kila kitu nimeshea nae kila kitu changu na night dress yangu nimempa amevaa... Sasa nimemfungia chumbani kwangu... Nimemwambia tumeshea kila kitu sasa na mume wangu anakuja yupo njiani na yeye tushee... Ye si anaona mi nafaidi... Alale na kaka yake apate mimba kama anaona mie nimeshindwa...

ninaamini umeyafanya haya yote kwa hasira tu ila si kwamba nafsini mwako uliwah kuwaza hivi.
Pengine lingenikuta mimi nngelifanya kama wewe hivyo siwez kukulaumu sana.

Ushauri wangu kwako, tulia omba toba kwa mungu kisha msihi mungu akujalie mtoto, lkn pia ujue kwamba mimba si jiko wala figa kwamba kila nyumba lipo. Mimba ni neema na baraka kwa mungu na kwakua yy ndiye mtoaji basi anajua kwann ananyima pia.

Achana kushindana na wifi yako kwa sababu za kijinga jua kwamba ndugu wa mume ni madebe ya moto ama viroba vya mavi ama magunia ya misumari hawabebeki vichwan waka mikononi hivyo kushindana naye unajiongezea stress tu ndoani mwako.
 
umenikumbusha kisa cha rafiki yangu mmoja bibi mkwe kila siku anampigia kelele kwann haongezi mtoto mwinine licha ya kwamba mwanae wa kwanza ana umri mkubwa.

Bnti siku alikasirika akamwita bibi akafungua mlango wa chumba chake akamwambie '' BIBI UNAONA KILE KITANDA?? NDICHO NINANACHOLALAGA NA MUMEWANGU KILA SIKU SASA LEO PANDA NA WEWE UKALALE NAE UONE JINSI NINAVYOFAIDI UKIWEZA UMZALIE NA MTOTO WA PILI''

Hasira hasara.
 
mbuta nanga majanga!!!!!!!wanawake wana midomo kiruuuu
umenikumbusha kisa cha rafiki yangu mmoja bibi mkwe kila siku anampigia kelele kwann haongezi mtoto mwinine licha ya kwamba mwanae wa kwanza ana umri mkubwa.

Bnti siku alikasirika akamwita bibi akafungua mlango wa chumba chake akamwambie '' BIBI UNAONA KILE KITANDA?? NDICHO NINANACHOLALAGA NA MUMEWANGU KILA SIKU SASA LEO PANDA NA WEWE UKALALE NAE UONE JINSI NINAVYOFAIDI UKIWEZA UMZALIE NA MTOTO WA PILI''
 
hasira hasara.

mbuta nanga majanga!!!!!!!wanawake wana midomo kiruuuu
ukweli ni kwamba kuliko kutukanwa na mwanamke ni borabukagongwa na semi trela manake matusi ya watoto wa kike ni makali sana na hujaa kashfa ndani yake.

Ninachomshauri mtoa mada aachane kabisa na kushindana na wifi yake ni ujinga manake hakuta mpa mtoto wala mimba.ningekuwa mimi ningelala samabamaba na huzzy ili kwamba yeye aumie roho kwamba cha ya kuwa sina mtoto lkn mapenzi yetu yapo juu.
 
nikuambie kitu my dear ..kusema kweli umekosea sana..usishindane na wapumbavu... ubaya haushindwi kwa ubaya

!
mimi sijaolewa lakini katika maisha yangu sitokaa nigombane na mtu kwa ajili ya jambo au tatizo lolote la ndoa yangu!
binadamu tumeumbiwa tabia mbaya ..unajitesa nafsi yako na maisha yako kwa ajili ya kupigana na tabia mbaya ya mtu .wewe muache tu aseme apige kelele! kwani wewe unapungukiwa na nini? lakini ukisema uanzishe vita unaweza uumie mwenyewe maana hapo akienda kusema kwa mama yake ambae ni mkweo lazimaatakuchukia... na ukigombana na mkewo mumeo atachukia hupendi mama yake...huko ni kwa watu my dear ishi kwa adabu! wakikupiga kushoto wageuzie na kulia...Mungu yupo atakusaidia!
Leo atajibeba... Nimemchoka nimechoka wifi yangu na maneno yake ya kunisakama eti sizai... Najaza choo wakati ndoa yenyewe hata mwaka mmoja bado... Leo kaingia choo cha kiume... Nimemkaribisha chumbani nimemfungulia bafu la chumbani kwangu ameoga, nimempa taulo langu amejifutia,kila kitu nimeshea nae kila kitu changu na night dress yangu nimempa amevaa... Sasa nimemfungia chumbani kwangu... Nimemwambia tumeshea kila kitu sasa na mume wangu anakuja yupo njiani na yeye tushee... Ye si anaona mi nafaidi... Alale na kaka yake apate mimba kama anaona mie nimeshindwa...
 
ni kweli tuna midomo michafu aisee kuna shoga yangu mmoja aliniudhi siku moja katika kujibizana akaniambia ndo maana sijaolewa! basi huyo dada mama yake alimzalia home hajaolewa hadi kifo kitamkuta kwao! nilimpa jibu moja hadi kesho ananiheshimu!
ukweli ni kwamba kuliko kutukanwa na mwanamke ni borabukagongwa na semi trela manake matusi ya watoto wa kike ni makali sana na hujaa kashfa ndani yake.

Ninachomshauri mtoa mada aachane kabisa na kushindana na wifi yake ni ujinga manake hakuta mpa mtoto wala mimba.ningekuwa mimi ningelala samabamaba na huzzy ili kwamba yeye aumie roho kwamba cha ya kuwa sina mtoto lkn mapenzi yetu yapo juu.
 
nikuambie kitu my dear ..kusema kweli umekosea sana..usishindane na wapumbavu... Ubaya haushindwi kwa ubaya

!
Mimi sijaolewa lakini katika maisha yangu sitokaa nigombane na mtu kwa ajili ya jambo au tatizo lolote la ndoa yangu!
Binadamu tumeumbiwa tabia mbaya ..unajitesa nafsi yako na maisha yako kwa ajili ya kupigana na tabia mbaya ya mtu .wewe muache tu aseme apige kelele! Kwani wewe unapungukiwa na nini? Lakini ukisema uanzishe vita unaweza uumie mwenyewe maana hapo akienda kusema kwa mama yake ambae ni mkweo lazimaatakuchukia... Na ukigombana na mkewo mumeo atachukia hupendi mama yake...huko ni kwa watu my dear ishi kwa adabu! Wakikupiga kushoto wageuzie na kulia...mungu yupo atakusaidia!
umenena vyema sana Smile.
Huyu bidada anafikiri kwa kufanya hivyo anamkomoa nani?? Ndio kajiridhisha lkn je imebadili ukweli kwamba hana mtoto??

Anapaswa ajue kwamba mimba si jiko kwamba kila nyumba lipo, wala si kiberiti kwamba inawasha moto kila nyumba.

Namkumbuka mama mkwe wa rafiki yangu aliwah kubebea thermos mgongoni akadai jamani nyumba hii haina mtoto wa kubeba mgongoni ngoja basi nibebe hii thermos mgongo wangu ujihisi umebeba mtoto. Lkn huwez amini huyu dada ni mnyakyusa kaolewa uchagani, alitulia kimya akamwambia mungu, next time huyu mama akija basi anikute nina mtoto na kama ni mapenzi yako nisiwe nae basi na huyu mama asije tena kwangu. Alilimaliaz kimya kimya bila kugombana na mkwe na huyu mama alikufa siku huyu dada anajifungua mtoto wa kwanza.

Busara ni muhimu sana kwenye hili
 
Last edited by a moderator:
ni kweli tuna midomo michafu aisee kuna shoga yangu mmoja aliniudhi siku moja katika kujibizana akaniambia ndo maana sijaolewa! Basi huyo dada mama yake alimzalia home hajaolewa hadi kifo kitamkuta kwao! Nilimpa jibu moja hadi kesho ananiheshimu!

acha kabisa midomo ya kike ni michafu sana sana na huwaga kuliko tutukanane basi ni bora nikaondoka tu manake nitakupiga na sipend kupiga mtu
 
nikuambie kitu my dear ..kusema kweli umekosea sana..usishindane na wapumbavu... ubaya haushindwi kwa ubaya

!
mimi sijaolewa lakini katika maisha yangu sitokaa nigombane na mtu kwa ajili ya jambo au tatizo lolote la ndoa yangu!
binadamu tumeumbiwa tabia mbaya ..unajitesa nafsi yako na maisha yako kwa ajili ya kupigana na tabia mbaya ya mtu .wewe muache tu aseme apige kelele! kwani wewe unapungukiwa na nini? lakini ukisema uanzishe vita unaweza uumie mwenyewe maana hapo akienda kusema kwa mama yake ambae ni mkweo lazimaatakuchukia... na ukigombana na mkewo mumeo atachukia hupendi mama yake...huko ni kwa watu my dear ishi kwa adabu! wakikupiga kushoto wageuzie na kulia...Mungu yupo atakusaidia!
Ni kweli ushinde ubaya kwa wema. Halafu hupaswi kugombana na ndugu hata kidogo. Jambo la muhimu ni kuangalia je mwenzangu anasemaje juu ya hali hii. Daima jenga tabia ya kukaa na mwenzako wa ndoa kujadili mambo yanayohusu ndoa yenu na hawa wengine acha waseme kwani mdomo mali yao.hUwa sipendi sana kulaumu upande wa mume kwani hata mimi ni upande wa mume iwapo kama kaka yangu ataoa au ndugu yangu yoyote . Sasa tusijenge sana chuki juu ya hawa ndugu bali tumchukulie mtu jinsi alivyo na si kuwajumuisha.
 
duuh umeona dadangu eeh nadhani mleta mada akikusoma atatoka na chochote ! amekosea sana ila nadhani ana muda kabla hajaharibu kabisa!
ujue mimi ni mtoto wa mwishoni mwishoni tena wa uzeeni! mama yangu amenifundisha mambo mengi sana maana alijua maisha ni magumu na mimi nimezoea kujiachia achia si unajua tena mtoto wa mwisho unapendwa pendwa na kila mtu home unajiachia achia?????..mama akaniambia maisha sio hivo kuna siku utakuja kuishi kwa watu ..lazima ujifunze kuishi na watu wengine ! kweli bwana nikiwa a level nikatolewa kukaa na mtoto wa mama mkubwa tena mkoa wa mbali ..kweli nilijifunza kuna tofauti ya kwenu na kwa watu!
same kwa mleta mada ajue alishatoka kwao ! ajue yupo kwa watu wasiokuwa hata na uchungu nae! watu ambao yeye akilia wao wanacheka ...akicheka wao wanalia! sisemi ukiolewa unaenda kwa maadui lah ! ila unaenda upande ambao hata shetani anaelekeza makombora yake huko...busara upendo.na uvumilivu ni silaha bora kushinda
vyote!
ngoja nakuja my bidada ..kuna mgeni
umenena vyema sana Smile.
Huyu bidada anafikiri kwa kufanya hivyo anamkomoa nani?? Ndio kajiridhisha lkn je imebadili ukweli kwamba hana mtoto??

Anapaswa ajue kwamba mimba si jiko kwamba kila nyumba lipo, wala si kiberiti kwamba inawasha moto kila nyumba.

Namkumbuka mama mkwe wa rafiki yangu aliwah kubebea thermos mgongoni akadai jamani nyumba hii haina mtoto wa kubeba mgongoni ngoja basi nibebe hii thermos mgongo wangu ujihisi umebeba mtoto. Lkn huwez amini huyu dada ni mnyakyusa kaolewa uchagani, alitulia kimya akamwambia mungu, next time huyu mama akija basi anikute nina mtoto na kama ni mapenzi yako nisiwe nae basi na huyu mama asije tena kwangu. Alilimaliaz kimya kimya bila kugombana na mkwe na huyu mama alikufa siku huyu dada anajifungua mtoto wa kwanza.

Busara ni muhimu sana kwenye hili
 
Ni kweli ushinde ubaya kwa wema. Halafu hupaswi kugombana na ndugu hata kidogo. Jambo la muhimu ni kuangalia je mwenzangu anasemaje juu ya hali hii. Daima jenga tabia ya kukaa na mwenzako wa ndoa kujadili mambo yanayohusu ndoa yenu na hawa wengine acha waseme kwani mdomo mali yao.hUwa sipendi sana kulaumu upande wa mume kwani hata mimi ni upande wa mume iwapo kama kaka yangu ataoa au ndugu yangu yoyote . Sasa tusijenge sana chuki juu ya hawa ndugu bali tumchukulie mtu jinsi alivyo na si kuwajumuisha.
na watu wakishakujua unapenda ugomvi ..utaupata kila siku si unajua tena binadamu haombwi maneno???
 
duuh umeona dadangu eeh nadhani mleta mada akikusoma atatoka na chochote ! amekosea sana ila nadhani ana muda kabla hajaharibu kabisa!
ujue mimi ni mtoto wa mwishoni mwishoni tena wa uzeeni! mama yangu amenifundisha mambo mengi sana maana alijua maisha ni magumu na mimi nimezoea kujiachia achia si unajua tena mtoto wa mwisho unapendwa pendwa na kila mtu home unajiachia achia?????..mama akaniambia maisha sio hivo kuna siku utakuja kuishi kwa watu ..lazima ujifunze kuishi na watu wengine ! kweli bwana nikiwa a level nikatolewa kukaa na mtoto wa mama mkubwa tena mkoa wa mbali ..kweli nilijifunza kuna tofauti ya kwenu na kwa watu!
same kwa mleta mada ajue alishatoka kwao ! ajue yupo kwa watu wasiokuwa hata na uchungu nae! watu ambao yeye akilia wao wanacheka ...akicheka wao wanalia! sisemi ukiolewa unaenda kwa maadui lah ! ila unaenda upande ambao hata shetani anaelekeza makombora yake huko...busara upendo.na uvumilivu ni silaha bora kushinda
vyote!
ngoja nakuja my bidada ..kuna mgeni

mdogo wangu umenena vyema sana, duniani ndugu wa mume ni watu wa kuish nao kwa akili sana, hakuna haja ya kujibizana nae wala kuanzana nae bifu. akikutega mdharau kwa kukaa kimya na kutumia busara katika mawasilianao nae. usitake wakakujua kwamba uko frustrated na tabia zao ama na maisha unayopitia pia usiwaonyeshe kwamba ubaya wao unakuumiza.

anachokifanya huyu atakuja kujuta manake ataiona ndoa yake inayoyoma hivi hivi.

haya pokea mgeni mpe salam zangu za j2.
 
na watu wakishakujua unapenda ugomvi ..utaupata kila siku si unajua tena binadamu haombwi maneno???
Siku zote maamuzi ya hasira huwa yana majuto. Tena ningekua mimi hili kwangu ni tatizo dogo sana. Nasi kina mama tunatakiwa kuwafundisha mabinti zetu uvumilivu na kuchukuliana na watu wengine. Wadada igeni hekima toka kwa watu mbali mbali nakumbuka dada flani alimsuta mamamkwe wake kwa mamboya kipuuzi tu , nilisikitika sana kwanini kumuaibisha mtu mzima sijawahi ona maneno yakaleta chongo. Binafsi nilisha amua kama mtu kunisema vibaya inampa furaha basi na afanye hivyo kwani mimi ni nani hata nizuie furaha ya wengine. Tukumbuke wengine wana ulemavu wa viungo kama mkono au mguu hivyo na walemavu wa midomo nao wapo.
 
mgeni gani huyu naona kakosea no ....anataka kunigegeda mimi akagegede kwao !
yaani kwa kweli keshaharibu hata mwaka bado jamani! i wish angeleta hii thread kabla hajapiga hili janga!
amwambie tu wifi mi nilikuwa natania ila yaishe..maisha yenyewe mafupi then uishi na mbifu tena na watu wa nyumbani kwako?? ode ma mi siwezagi
mdogo wangu umenena vyema sana, duniani ndugu wa mume ni watu wa kuish nao kwa akili sana, hakuna haja ya kujibizana nae wala kuanzana nae bifu. akikutega mdharau kwa kukaa kimya na kutumia busara katika mawasilianao nae. usitake wakakujua kwamba uko frustrated na tabia zao ama na maisha unayopitia pia usiwaonyeshe kwamba ubaya wao unakuumiza.

anachokifanya huyu atakuja kujuta manake ataiona ndoa yake inayoyoma hivi hivi.

haya pokea mgeni mpe salam zangu za j2.
 
Siku zote maamuzi ya hasira huwa yana majuto. Tena ningekua mimi hili kwangu ni tatizo dogo sana. Nasi kina mama tunatakiwa kuwafundisha mabinti zetu uvumilivu na kuchukuliana na watu wengine. Wadada igeni hekima toka kwa watu mbali mbali nakumbuka dada flani alimsuta mamamkwe wake kwa mamboya kipuuzi tu , nilisikitika sana kwanini kumuaibisha mtu mzima sijawahi ona maneno yakaleta chongo. Binafsi nilisha amua kama mtu kunisema vibaya inampa furaha basi na afanye hivyo kwani mimi ni nani hata nizuie furaha ya wengine. Tukumbuke wengine wana ulemavu wa viungo kama mkono au mguu hivyo na walemavu wa midomo nao wapo.
kusema kweli kuna wamama ukiolewa kwao cha moto utakiona ila sidhani kama kuna haja ya kugombana nae kuna wan awake hadi zinapigwa ngumi hadi na baba mkwe zao!
sema na jamii inatakiwa ibadilike jamani kuna wazazi wa upande wa kiume wanawamistreat watoto wa watu jamani!
yaani hamu yote ya maisha inaisha mtu hapumui eti kama huyu dada ameolewa hata mwaka bado atazaaaje sasa?
kama mwaka bado uolewe lini ? ulee mimba lini? uzae lini si fair lakini? ila na mwezetu kaovereact!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom