Leo Wifi atajibeba...

Leo Wifi atajibeba...

ni kweli dear ...mambo mengi tunajifunza toka kwa jamii inayotuzunguka! ila siku hizi dunia imepanuka kuna jinsi nyingi za kujifunza ..kuna mitandao kama hivi nk..ina maana kama wazazi wako ni walevi na wewe uwe mlevi kisa home kwenu walevi? yaani na kukua kwako hujafahamu kwamba hilo ni jambo baya! mi naona ukiwa mbaya ni wewe mwenyewe umependa bana!
Hahahahahaha wakati mwingine tabia inavuta sana hasa tabia za wazazi ni wachache wanaojaaliwa kuwa tofauti nayo pia ni neema. So wazazi wana mchango mkubwa sana juu ya tabia za watoto, hatuwezi kukwepa hili. Mara nyingi tunajifunza kupitia matukio mbali mbali kwenye familia tunazokulia na ikumbukwe tabia mbaya ina nguvu sana. Ingawa kuna watoto wanalelewa vizuri na baadae wenyewe hukengeuka. Hata hivyo tumuombe mungu tu atusaidie kuwafundisha yalio mema watoto na hasa maisha ya mtu mweusi/mwafrica tuache huu uzungu. Ushauri wangu kwa mdadada huyu akae chini na kutafakari ajiulize swali moja tu je Yesu angekua nafac yake angefanyaje , kama ataona angefanya kama alivyofanya basi hana haja ya kujutia lkn akiona tofauti basi atubu na amuombe Mungu huruma yake.
 
Hahahahahaha wakati mwingine tabia inavuta sana hasa tabia za wazazi ni wachache wanaojaaliwa kuwa tofauti nayo pia ni neema. So wazazi wana mchango mkubwa sana juu ya tabia za watoto, hatuwezi kukwepa hili. Mara nyingi tunajifunza kupitia matukio mbali mbali kwenye familia tunazokulia na ikumbukwe tabia mbaya ina nguvu sana. Ingawa kuna watoto wanalelewa vizuri na baadae wenyewe hukengeuka. Hata hivyo tumuombe mungu tu atusaidie kuwafundisha yalio mema watoto na hasa maisha ya mtu mweusi/mwafrica tuache huu uzungu. Ushauri wangu kwa mdadada huyu akae chini na kutafakari ajiulize swali moja tu je Yesu angekua nafac yake angefanyaje , kama ataona angefanya kama alivyofanya basi hana haja ya kujutia lkn akiona tofauti basi atubu na amuombe Mungu huruma yake.
kweli dear tulale zetu tumeshampa maoni yetu kwa uwezo wetu! maisha ni haya haya hata neno linasema tafuteni kuwa na amani na watu wote haijalishi ni wifi kakusema vibaya weweishi nae tu kwa amani! nikutakie usiku mwema dear ! kesho Mungu akitujalia ...usiku mwema love!
 
Wapendwa tumesuluishwa kwenye kikao kilichoitishwa kwao mume wangu... Haikuwa kazi rahisi lakini namshukuru Mungu tumeyamaliza na tumesameheana na tumekubaliana kuanza kurasa mpya na tusahau yaliyopita...
 
Wapendwa tumesuluishwa kwenye kikao kilichoitishwa kwao mume wangu... Haikuwa kazi rahisi lakini namshukuru Mungu tumeyamaliza na tumesameheana na tumekubaliana kuanza kurasa mpya na tusahau yaliyopita...

Hongera na ujifunze kuishi na watu mnaotofautiana.
 
Tatizo huwa si tatizo bali jinsi ya kutatua tatizo waweza tengeneza tatizo ambalo hutarajii

Sent from my BlackBerry - jamiiforums
 
Mara nyingi unapoona mama mkwe au ndugu wengine kuleta fujo nyumbani kwako inategemea msimamo wa mwanaume kuna wanaume hawana msimamo yaani wao wanataka mke awe wa family hapo ndio penye shida. Hata neno la Mungu liko wazi kwamba mtawaacha wakwenu nanyi mtakua mwili mmoja. Sasa kuna wanaume huwa hawataki kuwaacha wakwao na kuambatana na wake zao tukumbuke huwezi kwenda kinyume na neon la Mungu. Ndugu wote wanatakiwa wabaki nafac ya wageni na si sehemu ya familia. Kama wifi akubali nafac yake ya mgeni lkn pia hatuwezi kubadili tabia zao daima tuishi nao kwa akili.Umeongea ukweli mtupu matatizo mengine yanayoletwa na ndugu wa Mume baadhi ya wanaume wanachangia wanashindwa kutofautisha familia zao walizotoka na familia ambazo za kwao mwenyewe. Kuishi na ndugu wa mume sio tatizo kama mtu atakaa na ndoa zikaendelea kuwa na amani lakini mawifi wengine wakija kukaa wao ndio mama mwenye Nyumba ugomvi hauishi ndoa zipo hatarini. Bora wasaidiwe wakiwa hukohuko kukaa nao pamoja hapana japokuwa kuna wengine wazuri ukiishi nao kunakuwa hakuna tofauti yoyote
 
Wapendwa tumesuluishwa kwenye kikao kilichoitishwa kwao mume wangu... Haikuwa kazi rahisi lakini namshukuru Mungu tumeyamaliza na tumesameheana na tumekubaliana kuanza kurasa mpya na tusahau yaliyopita...
hongereni.....ila jitahidi kutofanya maamuzi ukiwa na hasira......
 
Matatizo mengine yanayoletwa na ndugu wa Mume baadhi ya wanaume wanachangia wanashindwa kutofautisha familia zao walizotoka na familia ambazo za kwao mwenyewe. Kuishi na ndugu wa mume sio tatizo kama mtu atakaa na ndoa zikaendelea kuwa na amani lakini mawifi wengine wakija kukaa wao ndio mama mwenye Nyumba ugomvi hauishi ndoa zipo hatarini. Bora wasaidiwe wakiwa hukohuko kukaa nao pamoja hapana japokuwa kuna wengine wazuri ukiishi nao kunakuwa hakuna tofauti yoyote[/QUOTE]
 
Wapendwa tumesuluishwa kwenye kikao kilichoitishwa kwao mume wangu... Haikuwa kazi rahisi lakini namshukuru Mungu tumeyamaliza na tumesameheana na tumekubaliana kuanza kurasa mpya na tusahau yaliyopita...

unajisikiaje?
 
Hivi unaweza kuwa na ujasiri huo kwamba mumeo akija unaweza kumwambia hayo maneno na dada yake akiwepo? angalia usije ukaikosa ndoa. ushauri: usilipize ubaya kwa ubaya ila lipa jema kwa baya, mwisho wa ubaya aibu ndugu.
 
Vannele!!! ulitakiwa kutafakari kabla ya kuchukua hatua, nina maana gani kwa kuwa ndoa yako haijamaliza mwaka, ulitakiwa ukae kimyaaaaaaaaaa!!! ukiwa unamwomba MUNGU afanye muujiza wake kwa kuwajibu wsemao huzai, kwa sababu leo umefanya hilo mumeo amekuunga mkono kwa sababu bado anakuoenda, ila kumbuka iko siku ataungana na nduguze kukushambulia pale utakapokaa muda mrefu bila ya kupata mtoto, na yy anahitaji mtoto, hapo ndipo utakiona cha MTO, maana atakuwa anaunga mkono hoja za nduguze kuwa walikuwa wanasema ukweli kuwa wewe huzai, na amethibitisha hilo. So Muungwana ni vitendo, si maneno. Ungengoja upate mtoto ndipo uwaringie kwa kuwaonyesha kuwa wao wamekosea.
 
ndo akome!!!! wamezidi ingilia ndoa za watu,eti ndoa haina mwaka kashaanza uliza yani hata ingekua ina miaka 10 ole wako uulize.inakuhusu nini. huyo bibi ye kashazaa(huyo wifi)
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom