Mganguzi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2022
- 1,032
- 2,769
Picha inajieleza ....
======
Watumishi wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) wakiendelea na maandalizi kwa ajili ya kukuletea mbashara matangazo ya maadhimisho ya Siku ya Wanawake kwa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), yaliyoandaliwa na baraza la wanawake la chama hicho (BAWACHA).
Maadhimisho hayo yatafanyika kesho katika ukumbi wa Kuringe mjini Moshi mkoani Kilimanjaro, ambapo mgeni rasmi anatarajiwa kuwa Rais Samia Suluhu Hassan.
Matangazo hayo yatakuwa mbashara TBC1, TBCOnline, na TBC Taifa.
======
Watumishi wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) wakiendelea na maandalizi kwa ajili ya kukuletea mbashara matangazo ya maadhimisho ya Siku ya Wanawake kwa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), yaliyoandaliwa na baraza la wanawake la chama hicho (BAWACHA).
Maadhimisho hayo yatafanyika kesho katika ukumbi wa Kuringe mjini Moshi mkoani Kilimanjaro, ambapo mgeni rasmi anatarajiwa kuwa Rais Samia Suluhu Hassan.
Matangazo hayo yatakuwa mbashara TBC1, TBCOnline, na TBC Taifa.