Mkiambiwa hakuna wa kushindana na CCM mnaanza kulia!
Huu ni Mkutano wa Kijiji cha Wende jimbo la Kalenga Iringa. CCM inakata Mbuga kwenye Vijiji na Vitongoji kwa siku zaidi ya Mikutano 10. CHADEMA wao wanafanya Mkutano wa mkoa mzima na helkopita juu lakini Mkutano wa Kijiji wa CCM ni balaa zito.
CCM wanakijenga chama chao kimkakati sana ila CHADEMA wao wanajiendea kama nyumbu wakienda kuzaa Kenya.
Safi sana Comred Chongolo, unaijua sana kazi yako.
Huu ni Mkutano wa Kijiji cha Wende jimbo la Kalenga Iringa. CCM inakata Mbuga kwenye Vijiji na Vitongoji kwa siku zaidi ya Mikutano 10. CHADEMA wao wanafanya Mkutano wa mkoa mzima na helkopita juu lakini Mkutano wa Kijiji wa CCM ni balaa zito.
CCM wanakijenga chama chao kimkakati sana ila CHADEMA wao wanajiendea kama nyumbu wakienda kuzaa Kenya.
Safi sana Comred Chongolo, unaijua sana kazi yako.