Leo nimeweka full tank

Leo nimeweka full tank

naomba ufafanuzi juu ya hili mkuu

Kuna uhusiano mkubwa sana wa mafuta kuisha haraka kama kuna big empty space kwenye tank la mafuta ukilinganisha na mtu aliye na full tank au hata half full tank..hii ni scientifically proven na ilishawekwa hapa jf siku za nyuma japo nimesahau kidogo sababu zilizoainishwa ila moja wapo nadhani ni vaporization kama unamafuta kidogo kwenye tank
 
Kuna uhusiano mkubwa sana wa mafuta kuisha haraka kama kuna big empty space kwenye tank la mafuta ukilinganisha na mtu aliye na full tank au hata half full tank..hii ni scientifically proven na ilishawekwa hapa jf siku za nyuma japo nimesahau kidogo sababu zilizoainishwa ila moja wapo nadhani ni vaporization kama unamafuta kidogo kwenye tank

Tofauti ni Lita ngapi? Yaani nikiwa naweka Lita kumi kumi na anaeweka full tank,napoteza Lita ngapi zaidi ya anaeweka full tank
 
Tofauti ni Lita ngapi? Yaani nikiwa naweka Lita kumi kumi na anaeweka full tank,napoteza Lita ngapi zaidi ya anaeweka full tank

Sikumbuki...ngoja nikiipata ile article ntaitupia humu
 
Pouwa maanake mimi ndio wale wa kuweka kila baada ya siku mbili!

Si wewe tu mkuu,mi pia nilikua na hako katabia hadi nilipopata fuel card na kuwa napiga full tank ndio nikaanza kuona tofauti
 
Kuna uhusiano mkubwa sana wa mafuta kuisha haraka kama kuna big empty space kwenye tank la mafuta ukilinganisha na mtu aliye na full tank au hata half full tank..hii ni scientifically proven na ilishawekwa hapa jf siku za nyuma japo nimesahau kidogo sababu zilizoainishwa ila moja wapo nadhani ni vaporization kama unamafuta kidogo kwenye tank

I thought tanks are air tight, sasa sijui hiyo vaporization ikitokea mafuta yanapitia wapi ku-escape!?
 
Kuna uhusiano mkubwa sana wa mafuta kuisha haraka kama kuna big empty space kwenye tank la mafuta ukilinganisha na mtu aliye na full tank au hata half full tank..hii ni scientifically proven na ilishawekwa hapa jf siku za nyuma japo nimesahau kidogo sababu zilizoainishwa ila moja wapo nadhani ni vaporization kama unamafuta kidogo kwenye tank
Tofauti ndogo au hebu tizama kwa hivi;
Mafuta mengi zaidi yanaongeza uzito wa gari hivyo engine itatumia nguvu zaidi kwa safari ile ile au
Kama una jirani bonge kimtindo unayempa lift anakutia hasara ya mafuta kutoka na uzito wake!
 
I thought tanks are air tight, sasa sijui hiyo vaporization ikitokea mafuta yanapitia wapi ku-escape!?
[h=5]Fuels[/h]
[h=5]Tips for Motorists[/h]

[h=4]About Shell[/h]




[h=2]Main content | back to top [/h][h=1]Benefits of Full Tank[/h]Get the maximum out of your vehicle







No Fuel Loss
Empty space in the tank leads to higher fuel loss due to evaporation through the tank's ventilation system. A full tank minimises that.
Easy tracking
Track mileage and the money spent on fuel, effortlessly, with a full tank.
Time-saving
A full tank ensures lesser trips to the fuel pump, saving time and fuel.








[h=3]Site Search back to top[/h]Search this website Enter Search Term: [h=3]Footer links | back to top[/h]
 
Pouwa maanake mimi ndio wale wa kuweka kila baada ya siku mbili!

hongera boss...kuna jamaa yangu yeye anaweka mara mbili kwa siku!akienda job anaweka na akirudi anaweka pia!
 
Back
Top Bottom