BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,769
- 288,283
actually this is my second carMiaka sita yote unamiliki gari hiyo hiyo tu. Badilisha gari litakufia. Utaanza kuingia gharama za matengenezo utaisahau hiyo full tank.
actually this is my second car
nivoona actually moja kwa moja akili imenituma mpakana mwa uganda
Ni wewe tu ndo huna jitahidiJF Kila mtu ana gari.
Hongera. Lakini ujue ikiibwa watafika nayo mbali sana.
Hongera mkuu, technically ukiweka full tank unatumia hela kidogo kuliko ukiweka kidogokidogo.. Na mafuta kwenye gari hayaliwi kwa wingi kama ukiweka kidogokidogo.. Big up
Hongera. Lakini ujue ikiibwa watafika nayo mbali sana.
Hongera. Lakini ujue ikiibwa watafika nayo mbali sana.
JF Kila mtu ana gari.
Hapa kwa Mwakasege Jangwani UPAKO unafurika. Ni raha sana kumtumikia Mungu
nivoona actually moja kwa moja akili imenituma mpakana mwa uganda
Mi sina.
Ni wewe tu ndo huna jitahidi
Na wewe unanunua lini la kwako?