Kwa waliokua na Justin Bieber tujuane

Kwa waliokua na Justin Bieber tujuane

de Gunner

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2021
Posts
11,503
Reaction score
22,880
Unajua leo nilikuwa na cheki ile performance ya Justin Bieber ya coachella...
489e1423fcc47ce91e303f5cd6ba65f0.jpg


Na as a fan, nimejikuta najifunza kitu muhimu katika maisha..

Ya kuwa inabidi mtu a jifunze namna ya ku adapt.. What do I mean.?

Ya kuwa katika safari ya kila mtu, atapitia vikwazo, maumivu na changamoto. Lakini namna utavyo ichukuliia hiyo changamoto, na kuadapt bila kupoteza kile kilichomo ndani yako, ushindi haukwepeki

Safari ya Justin haikuwa rahisi... Kwanza kalelewa na mama tu, walikuwa na maisha magumu that Justine alikuwa a aimba mtaani na guitar apate pesa ya kula.
1be4e496ad7b09ea46a7769fc77336c9.jpg

Alipatta recognition baada ya kutoa cover ya wimbo wa Chris brown with you
66dd5f84849dac43ee387cede1f2158a.jpg


Na baada ya hapo, Milango yake ikafunguka, aka link up na Usher kipindi hilo wa moto so jb a kapata umaarufu akiwa bado kinda kabisa

495a81de45c24adce237ed8ea325afe9.jpg

Ila what we didn't see behind ni kuwa jb aliteseka sana, kumbukeni Enzi hizo wakina Diddy nao walikuwa wanaimiliki game, so dogo alikuwa anakesha nao kwenye parties and all that..
89dc9735511555ca94c53af934714e1b.jpg


Dogo alishine kwa miaka mingi, kumbe alikuwa anaona Ufuska pamoja hata na kufanyiwa kabisa maana hiyo collapse alivyo ipata in his mid20's kidogo imuuwe.
04d5f3ebcd893913af56f9891aceb2d4.jpg

Aliteseka sana, alikamatwa kwa uendeshaji mbaya, his mental health was bad. Na pona yake, alikumbana na Hailey Bieber ambae ndo alimpa emotional support... Baadae walioana baada ya jb kupata ahuweni ila bado ndoa yao ilikuwa na misukosuko as jb haikuwa fully healed.
74ba224c095b2bb8a0169d12563b67ba.jpg


kufupisha mambo Hailey never gave up on him, walipata mtoto na jb.. Kuna mda jb alikuwa sawa na mwingine Ali rudi kwenye addiction trauma bado ilikuepo

Hatimaye years later mwaka huu jb kafanya show kubwa coachella na ilikuwa ni healing point kubwa sana. Aliweza ku connect na his younger self

Alipo Cheza throw back zake kama:
Baby
Never say never
Mistotle
Beaty and a beat


Hata mimi nilipata nostalgia kubwa sana as it reminded me of how far I've come

Nilicho jifunza ni kuwa japo kuwa jb alitamani maisha makubwa yalikuja na cost, ya kupoteza freedom, wamemtumia, alimkosa Serena gomez, na alikumbwa na mental health issues, ila jamaa hakusahau yeye ni nani.

Hiyo ndo silaha pekee ya kushinda kila jaribu lijalo mbele yako.
71cfb8ad093df2fe9b21e642b29cd764.jpg


That's it, japo nimeweka version ndogo sana. Kuna mengi nimeruka, love life, carrier yake, na Vingine vingi tu.

Tulio kuwa na jb tujuane....
Weekend ndo inaisha hivyoo

Cc meghan markle
 
Umeeleza vizuri tu.Lakini,jitahidi utumie lugha moja pekee itasaidia sana sisi UPE kuwa sambamba nawe. Na,utajifunza umahiri wa kujieleza kwa ufasaha wa lugha hiyo.
Asante.
Hata hivyo na jitahidi sana mkuu. Ni mazoea tu ila Kadri navyo andika nitatumia kiswahili zaidi. Ahsante
 
Hizi hadithi za kupambana na maisha kwa mastaa siyo za kuamini kabisa, mara nyingi huwa zinapambwa ili kuficha ukweli kuwa pesa ndiyo iliyonunua afya yake ya akili na utulivu.

Vipi kuhusu wale wote aliowaumiza wakati wa addiction yake na ufuska aliokuwa anaufanya?
 
Hizi hadithi za kupambana na maisha kwa mastaa siyo za kuamini kabisa, mara nyingi huwa zinapambwa ili kuficha ukweli kuwa pesa ndiyo iliyonunua afya yake ya akili na utulivu.

Vipi kuhusu wale wote aliowaumiza wakati wa addiction yake na ufuska aliokuwa anaufanya?
KK Umesoma full thread? Mbona maisha ya jb yamekuwa publicly kabisa na alitengeneza mpk documentary ya seasons kuonesha how industry ilimfanya ovyo?

Nao wako wazi na wanajulikana, kina Diddy na wengine ikijumuiahwa na crew alofanya nao kazi.. Hawakumpa muda wa kuwa mtoto
 
Modz thanks for changing the title 🙏
 
KK Umesoma full thread? Mbona maisha ya jb yamekuwa publicly kabisa na alitengeneza mpk documentary ya seasons kuonesha how industry ilimfanya ovyo?

Nao wako wazi na wanajulikana, kina Diddy na wengine ikijumuiahwa na crew alofanya nao kazi.. Hawakumpa muda wa kuwa mtoto
Justin hakufika hapo kwa bahati mbaya, alikuwa sehemu ya mfumo huo kwa muda mrefu.

Uhalisia ni kwamba, watu wengi tu wamepitia mateso kama yake ni vile hawakupata nafasi ya kutengeneza documentary ya kujitetea au kupata support system aliyoipata yeye.

Mafanikio yake yamejengwa juu ya mfumo ambao kimsingi ulikuwa na makosa makubwa.
 
Universal Primary Education.
Miaka hiyo ya 1970s kutokana na uchache wa walimu ilibidi Mwl Nyerere aje na kampeni ya kuhakikisha wale wanaomaliza darasa la 7 kwa wakati wanapatiwa mafunzo ya ualimu na wao wakaenda kuwafundisha wenzao.
UPE ndo nn tutoane ushamba
 
Justin hakufika hapo kwa bahati mbaya, alikuwa sehemu ya mfumo huo kwa muda mrefu.

Uhalisia ni kwamba, watu wengi tu wamepitia mateso kama yake ni vile hawakupata nafasi ya kutengeneza documentary ya kujitetea au kupata support system aliyoipata yeye.

Mafanikio yake yamejengwa juu ya mfumo ambao kimsingi ulikuwa na makosa makubwa.
Sehem ya mfumo? (his story is well known kipindi anaanza)
Nani wa kumweka kwenye mfumo?

Labda kama Unamaanisha pale umaarufu ulivyo changanya! Walimtumia haswa haswa.. Ila baadae alivyo collapse si Wali make fun of him mpk akakaa sijui miaka mingap bila kutoa project?

Yes, kwa kipindi flani industry walimchukuloa point, ila sio kusema eti Justine was a project noo..

Hiyo ni scandal tu. Jamaa baada ya ku heal Amekuwa mtu poa sana
 
Universal Primary Education.
Miaka hiyo ya 1970s kutokana na uchache wa walimu ilibidi Mwl Nyerere aje na kampeni ya kuhakikisha wale wanaomaliza darasa la 7 kwa wakati wanapatiwa mafunzo ya ualimu na wao wakaenda kuwafundisha wenzao.
Duh kitambo sana hiyo. Mimi nikajua mwemkwa
 
Sehem ya mfumo? (his story is well known kipindi anaanza)
Nani wa kumweka kwenye mfumo?

Labda kama Unamaanisha pale umaarufu ulivyo changanya! Walimtumia haswa haswa.. Ila baadae alivyo collapse si Wali make fun of him mpk akakaa sijui miaka mingap bila kutoa project?

Yes, kwa kipindi flani industry walimchukuloa point, ila sio kusema eti Justine was a project noo..

Hiyo ni scandal tu. Jamaa baada ya ku heal Amekuwa mtu poa sana
Unaposema ilikuwa scandal tu Mkuu hapa unajaribu ku-downplay jinsi industry ilivyokuwa na control juu ya maisha yake.

Alipo collapse industry ilimwacha aonekana kama a failed product ili wapate faida upande wa drama.

Hata kama sasa hivi amekuwa mtu poa, ukweli unabaki kuwa ule umaarufu ulikuwa a double edged sword ambayo ilimkatakata sana kabla hajaanza kujijenga upya, haikuwa scandal ya kawaida ile, ilikuwa ni calculated exploitation.
 
Back
Top Bottom