Leo nimeweka full tank

Leo nimeweka full tank


Kaka hii sredi imenichekesha but inaonyesha jinsi watu wanavyoumia kwa bei za kisu za mafuta.....yanatakiwa yashuke zaidi ya hapa hata hivyo sema basi tu.

Nahisi misele mitaani imeongezeka sana
 
Patrickn unategemea muuza mafuta akwambie uweke Lita mbili? Hao ni wafanyabisshara! Mafuta ukiweka half tank ndio vizuri kwasababu
1.full tank inaongeza uzito na hivyo kuongeza ulaji was mafuts
2.mafuta yakishuka chini ya robo no hatari kwa fuel pump yako.

Kuhusu evaporation kwenye tank kuna jinsi ambavyo evaporated fuel inakuwa channelled to the engine(nimesoma mahali nikikumnuka nitaleta hapa)
 
Last edited by a moderator:
Kaka hii sredi imenichekesha but inaonyesha jinsi watu wanavyoumia kwa bei za kisu za mafuta.....yanatakiwa yashuke zaidi ya hapa hata hivyo sema basi tu.

Nahisi misele mitaani imeongezeka sana

Mi nikiweka elfu 10 natumia siku mbili,nikiweka 30 natumia siku mbili, kwahio imeamua kuweka 10,000 tu! Sijui kwanini gari ikiwa na mafuta napata safari nyingi!
 
Mi nikiweka elfu 10 natumia siku mbili,nikiweka 30 natumia siku mbili, kwahio imeamua kuweka 10,000 tu! Sijui kwanini gari ikiwa na mafuta napata safari nyingi!

Yaan tupo pamoja mkuu mafuta yakiwa mengi basi misele mingi balaa
 
Wakuu kwa Mara ya kwanza ndani ya miaka Sita Leo nimefanikiwa kujaza full tank kwenye noah yangu for only 88.000.IT FEELS SO NICE.TRY IT.Ahsanteni EWURA

Ni Uchaguzi siyo EWURA wewe subiri January 2016 uone watakavyolipiza kisasi
 
Patrickn unategemea muuza mafuta akwambie uweke Lita mbili? Hao ni wafanyabisshara! Mafuta ukiweka half tank ndio vizuri kwasababu
1.full tank inaongeza uzito na hivyo kuongeza ulaji was mafuts
2.mafuta yakishuka chini ya robo no hatari kwa fuel pump yako.

Kuhusu evaporation kwenye tank kuna jinsi ambavyo evaporated fuel inakuwa channelled to the engine(nimesoma mahali nikikumnuka nitaleta hapa)

Uzito unaoongezeka kwa sababu tu ya full tank ni kidogo kiasi ambacho nadhani hakiathiri ulaji zaidi
 
Uzito unaoongezeka kwa sababu tu ya full tank ni kidogo kiasi ambacho nadhani hakiathiri ulaji zaidi

Ushafuatilia F1 kipindi wana different strategy za mafuta?! Ksama umewahi kufuatilia utanielewa kuhusu effect ya full tank! BTW hata hio evaporation ni ndogo sana kiasi cha mtumiaji wa ksawaida kuona tofauti.
 
Ushafuatilia F1 kipindi wana different strategy za mafuta?! Ksama umewahi kufuatilia utanielewa kuhusu effect ya full tank! BTW hata hio evaporation ni ndogo sana kiasi cha mtumiaji wa ksawaida kuona tofauti.

Kwa kuwa hatubishani basi kila mtu aweke kwa uwezo wake...wa full tank haya..wa lita nne haya,
 
Dah Aisee. Sie wengine huwa ni mwendo wa full tank. Maana magari yenyewe yanabugia mafuta sasa ukiweka Ya kupima Na ma engene hayo makubwa kila siku utakuwa unaenda sheli.
 
Na kawaida unapoweka mafuta mengi unapunguza gharama
 
Tukianza kuchimba mafuta yetu basi utajaza na kwenye madumu na kuweka kwenye boot, tuombe Mungu mipango iende haraka
 
Back
Top Bottom