Leo nimeweka full tank

Leo nimeweka full tank

Miaka sita yote unamiliki gari hiyo hiyo tu. Badilisha gari litakufia. Utaanza kuingia gharama za matengenezo utaisahau hiyo full tank.

Kwa hiyo wewe ungependa ikamfie mwingine na siyo yeye mwenyewe?
 
Tell me more about it, unatakiwa kufeed kuanzia kiasi gani mkuu? nadhani ni nzuri kuwa nayo...

Actually mi nimepewa na ofisi na ni mbadala wa fuel allowance tuliyokua tunapewa cash. Mwanzoni nilikua nikipewa cash nakua naweka mafuta kidogokidogo ila baada ya kuletewa card ni mwendo wa full tank na nafurahia maisha kuliko mwanzoni japo mtu unaweza ongea na mtu wa kituo cha mafuta akakutolea ukachkua cash badala ya mafuta ukamkatia kidogo. Ni card nzuri maana unaunganishwa kwa simu pia unakua unapata SMS alerts kila unapoongezewa salio au kila unapochukua mafuta. Ni salama sana pia maana hata ukiidondosha mtu hawezi itumia coz inahitaji password kama ATM card na inamicrocomputer chip mtu hawezi ku-temper nayo
 
Tell me more about it, unatakiwa kufeed kuanzia kiasi gani mkuu? nadhani ni nzuri kuwa nayo...

Kufeed amount inategemea na uwezo tu maana kuna kampuni wanawekewa kuanzia laki moja na kuendelea ...tena monthly
 
Kuweka mafuta ya elfu mbili mbili ni kuongeza gharama za maisha tu, ruti za sheli zinamaliza mafuta bila ulazima...
 
Hahahahaha umenikumbusha mbali sana.

Hahaha acha tu mkuu watu tumetoka mbali ila ndo hivo tena kila mtu humu Jf Utasikia ooh tulivokua wadogo tulikua tukisia honi ya gari ya dingi wote tunaenda kulala, hahah! wengine tulikua tukisikia honi ya baskeli ya dingi aina ya swala wote ni kulala, hahah
 
Back
Top Bottom