Asprin
Platinum Member
- Mar 8, 2008
- 68,302
- 96,517
Shindwa shetani...
Mimi ni alwatani kwenye Jukwaa la Dini...
Shindwa shetani...
Ngoja nikachekee chooni [emoji23]Shindwa shetani...
Mimi ni alwatani kwenye Jukwaa la Dini...
Kongole mkuu, mimi nimefikisha robo tatu yakoNamshukuru Mungu aiseee, nimekua hapa kwa miaka 15 sasa, wengi tulioanza nao wametangulia mbele za haki na wengine wamebadli ID. Ni jambo jema sana kwangu. Ni siku pia yenye matukio mengine makubwa ya kibinafsi.
Asanteni kwa Marafiki wapya na connections za kutosha. Long Live JF.
Kama una jambo ungependa kuuliza, karibu.
Si habaKongole mkuu, mimi nimefikisha robo tatu yako
Na unavyopenda harufu ya mavi ya jinsia KE, mbinguni utaenda kudeki vyooNgoja nikachekee chooni [emoji23]
[emoji3064][emoji3064][emoji23][emoji23][emoji1544][emoji1550][emoji1550]Na unavyopenda harufu ya mavi ya jinsia KE, mbinguni utaenda kudeki vyoo
Radhi yako muhimu sana babu. 😆 😂Nitake radhi we jamaa
Kwahio mwaka huu nina miaka 17 huku Jamii Africa na Sina hata demu?? Matumizi mabaya ya mtandaoNamshukuru Mungu aiseee, nimekua hapa kwa miaka 15 sasa, wengi tulioanza nao wametangulia mbele za haki na wengine wamebadli ID. Ni jambo jema sana kwangu. Ni siku pia yenye matukio mengine makubwa ya kibinafsi.
Asanteni kwa Marafiki wapya na connections za kutosha. Long Live JF.
Kama una jambo ungependa kuuliza, karibu.
Mie nina miaka 16 na sijala ban hata siku mmojaNamshukuru Mungu aiseee, nimekua hapa kwa miaka 15 sasa, wengi tulioanza nao wametangulia mbele za haki na wengine wamebadli ID. Ni jambo jema sana kwangu. Ni siku pia yenye matukio mengine makubwa ya kibinafsi.
Asanteni kwa Marafiki wapya na connections za kutosha. Long Live JF.
Kama una jambo ungependa kuuliza, karibu.
Hongera natamani nifikishe idadi hiyo ama zaidi katika jukwaa hilipenwa.Namshukuru Mungu aiseee, nimekua hapa kwa miaka 15 sasa, wengi tulioanza nao wametangulia mbele za haki na wengine wamebadli ID. Ni jambo jema sana kwangu. Ni siku pia yenye matukio mengine makubwa ya kibinafsi.
Asanteni kwa Marafiki wapya na connections za kutosha. Long Live JF.
Kama una jambo ungependa kuuliza, karibu.
Hongera sana mkuu, mie ni mmoja wa waliobadili IDNamshukuru Mungu aiseee, nimekua hapa kwa miaka 15 sasa, wengi tulioanza nao wametangulia mbele za haki na wengine wamebadli ID. Ni jambo jema sana kwangu. Ni siku pia yenye matukio mengine makubwa ya kibinafsi.
Asanteni kwa Marafiki wapya na connections za kutosha. Long Live JF.
Kama una jambo ungependa kuuliza, karibu.
Sasa nina miaka 17 hahaha umri wa mtu mzimaHongera sana mkuu, mie ni mmoja wa waliobadili ID
😀 😀 😀 maana nina miaka 20 hapa JF toka wakati ikiitwa Jambo Forums. Sisi ndio wahenga wenyewe wa JF😀😀😀😀
Halafu anakua chawa wa CCM halafu unakuta ananipiga mkwara ananiita dogoAlafu kuna kijana humu ana miaka 17