dolevaby
JF-Expert Member
- Aug 25, 2013
- 12,955
- 9,527
Ha Ha Ha Falcon Mombasa Umeleta Mambo hapa. Ukweli wenzetu wana nidhamu ya kazi , kuanzia cheo cha juu mpaka wagfagizi. Customre Care wanajitahidi(Mi nilikuwa huko May). Wahudumu wa hotel wana nidhamu na kukuchangamkia kwa kweli. Wakikuona unashangaa shangaa wanakuuliza kama una shida gani ( pamoja na kuwa si kwamba wanafahamu saana Kiingereza) kwa kweli jamani Customer care Tanzania tunatia aibu. Halafu jinsi wanavyomjua Mwl. Nyerere ( tena vijana tu) nilishangaa wakati huku sisi baadhi ya vijana wala hawaijui Historia yake!
Tatizo tu Ethiopia ilifanyie kazi kuhakikisha huu umasikini uliokithiri kwa watu fulani unatoweka ndio unaosababisha watu kukimbia nchi yao. Pamoja na challenge ya population kubwa they have to do something.
Mkuu Vijana wengi waleo wanaangalia nani mwenye uwezo wakununua kofia nyingi zakuwagawia ili wamtukuze hata km MTU huyo atakuja kuwaletea majuto kwenye Taifa Mkuu nisaidie Mimi cjawahi kufika huko Nikwanini nchi inaonekana imeendelea lkn nadhani ndio yenye Maskini wengi pia