Leo nimetembelea Addis Ababa

Leo nimetembelea Addis Ababa

Mkuu @falcon mombasa Mihuwa nakukubali pressentesion yako mi ntakutafuta chemba Kwenye mambo yetu kuna mahali tulipoteana Lkn napenda kujua kwa wataalam labda wauchumi nk Kwamba kwanini Ethiopia inasifika kwa maendeleo lkn wananchi ni masikini wakutupwa! Hii kitu huwa siielewi kabisa

ninachojiuliza pia ni kwamba ni kitu gani watanzania wanakipata halafu wa ethiopia hawana,jibu ni kwamba hakuna ambacho watanzania tumewadhidi waethiopia ,tena addis imejengeka dar haioni ndani,nafikiri wako na inspiration ambayo walirithi katika psychology zao ya kuamini maisha mazuri hadi watoke nje ya hapa
 
ninachojiuliza pia ni kwamba ni kitu gani watanzania wanakipata halafu wa ethiopia hawana,jibu ni kwamba hakuna ambacho watanzania tumewadhidi waethiopia ,tena addis imejengeka dar haioni ndani,nafikiri wako na inspiration ambayo walirithi katika psychology zao ya kuamini maisha mazuri hadi watoke nje ya hapa
Waulize pia hao waethiopia kwanini wanakimbiaga kwao kuja tz maana tumechoka kusikia na kuona wanavyofungiwa Ktk fuso hadi wengine wanakufa kwa kukosa hewa
 
Mkuu Mimi naomba picha za jiji la Addis Ababa

Usiache kutembelea ubalozi wetu pale Bole.Kila Ijumaa jioni na weekends utapata nyama choma na ugali.
Utaachana na njara za kihabeshi.

Ila kuwa makini na tumia condomu.Ukimzalisha mhabeshi tutakusahau.
Fine mwanzoni ilikuwa usd 50,000 juzi nilipokuwa huko walinambia imekuwa usd70,000.

Kwa wasiojua ni kuwa bila kulipa fine hiyo hapo juu hawakuruhusu kuondoka nchini mwao.
 
Ethiopian_cabin_crew_oct.jpg


c8f73362ccb98105b82c9ad6d403f168.jpg


.....hii mambo noma sana !!!

Hao wanaume mbona suti oversize?
 
.. mayenga unataka wavae suti vimodo style hehehe
 
Last edited by a moderator:
Usiache kutembelea ubalozi wetu pale Bole.Kila Ijumaa jioni na weekends utapata nyama choma na ugali.
Utaachana na njara za kihabeshi.

Ila kuwa makini na tumia condomu.Ukimzalisha mhabeshi tutakusahau.
Fine mwanzoni ilikuwa usd 50,000 juzi nilipokuwa huko walinambia imekuwa usd70,000.

Kwa wasiojua ni kuwa bila kulipa fine hiyo hapo juu hawakuruhusu kuondoka nchini mwao.

mkuu mbona hzo gharama kubwa xana watu wa hali ya chini hatuziwezi na mademu zao watakubali kuolewa na watz
 
hapa afrikast wakumwaga,mashombeshombe tuu,sijui mungu kawa umbaje,wazungu si wazungu,waarabu si waarabu,waafrika si waafrika,halafu hawana matiti makubwa kama dada zetu wa tz

hawatumiki sana na ndiyo maana hata matiti yao yako imara kama unavyoyaona mkuu.
 
....

.....Mkuu falcon mombasa haya makitu noma sana unaweza tokomea huko !!!

633x356


Note: hiyo nywele sio ya katani ni kitu living
Yaani balaa. Hawa wa huku kwetu kichwani ni miwigu na wengine matako ya china halafu wana nyodo utafikiri original kama hao wahabeshi. Nauli ikikamilika nitakuwa huko Agosti
 
hapa afrikast wakumwaga,mashombeshombe tuu,sijui mungu kawa umbaje,wazungu si wazungu,waarabu si waarabu,waafrika si waafrika,halafu hawana matiti makubwa kama dada zetu wa tz
Unataka kusema ni wazuri kumzidi huyu mrembo wetu wa mawigi mwenye nyodo nyingi Ubaya Sepeku?
 
Unataka kusema ni wazuri kumzidi huyu mrembo wetu wa mawigi mwenye nyodo nyingi Ubaya Sepeku?

dada zetu wa tz kila siku wana haha kupata nywele za kihabeshi,miili ya wakina wema kila kitu feki
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom