annabrenda
JF-Expert Member
- Apr 25, 2013
- 1,142
- 399
falcon mombasa kuja huku sikia hii...Usiache kutembelea ubalozi wetu pale Bole.Kila Ijumaa jioni na weekends utapata nyama choma na ugali.
Utaachana na njara za kihabeshi.
Ila kuwa makini na tumia condomu.Ukimzalisha mhabeshi tutakusahau.
Fine mwanzoni ilikuwa usd 50,000 juzi nilipokuwa huko walinambia imekuwa usd70,000.
Kwa wasiojua ni kuwa bila kulipa fine hiyo hapo juu hawakuruhusu kuondoka nchini mwao.
Last edited by a moderator: