dolevaby
JF-Expert Member
- Aug 25, 2013
- 12,955
- 9,527
Yaani balaa. Hawa wa huku kwetu kichwani ni miwigu na wengine matako ya china halafu wana nyodo utafikiri original kama hao wahabeshi. Nauli ikikamilika nitakuwa huko Agosti
Mkuu unadhani nauli peke yake itatosha? Kwenye hicho kibubu cha Nauli ulichoanzisha Lazima uwe nakianzio huko uendako Maana cdhani huko kuna kuimbishana kibongo! Siuna jua hata makao makuu ya AU yakokule so jipange kiongoz