Leo nimetembelea Addis Ababa

Leo nimetembelea Addis Ababa

Yaani balaa. Hawa wa huku kwetu kichwani ni miwigu na wengine matako ya china halafu wana nyodo utafikiri original kama hao wahabeshi. Nauli ikikamilika nitakuwa huko Agosti

Mkuu unadhani nauli peke yake itatosha? Kwenye hicho kibubu cha Nauli ulichoanzisha Lazima uwe nakianzio huko uendako Maana cdhani huko kuna kuimbishana kibongo! Siuna jua hata makao makuu ya AU yakokule so jipange kiongoz
 
Mkuu nisubiri huko huko,wanaanzia shilingi ngapi? Mkuu sitanii mwenzio hayo mambo ndo pombe yangu kwani situmii tungi lolote isipokuwa. Nipitie wapi shortcut hadi Adi's Ababa?
Mkuu tunaweza kua tunashare interest maana mimi pia situmii kilevi chochote hata soda sinywi zaidi ya maji. Hicho ndio kilevi changu mkuu.

Pia umesema unapenda watoto warefu, huo ndio ugonjwa wangu mkuu, mwanamke mrefu ananimaliza nguvu. Mimi mwenyewe nasimama 6.2ft. Bongo kwa kweli tuna uhaba wa watoto warefu.
 
Mkuu unadhani nauli peke yake itatosha? Kwenye hicho kibubu cha Nauli ulichoanzisha Lazima uwe nakianzio huko uendako Maana cdhani huko kuna kuimbishana kibongo! Siuna jua hata makao makuu ya AU yakokule so jipange kiongoz

....Wakuu mnatisha
 
Kma utaamua kwenda basi twende wte sabb nami nataka kwenda kutalii nauli ninayo kwenye akiba zangu🙁:thumbup:

Tutaenda mkuu tujipange. Kuna huyo rafki yangu ni mmisionari alipokua huku nilikua namsaidia kutafta watoto wakali wa mjini, akaniahidi kulipa fadhila nikienda kwao huko. Kila mara ananisisitiza niende kumtembelea nikawaone watoto wazuri wa huko.

Kwa mwendo huu ntajitahidi niende nikae hata wiki mbili tu niongeze umri maana huwa wanasema visit Eithiopia and become 7 years younger. Nani asietaka kuwa kijana muda wote, nani asietaka watoto wazuri.
 
Tutaenda mkuu tujipange. Kuna huyo rafki yangu ni mmisionari alipokua huku nilikua namsaidia kutafta watoto wakali wa mjini, akaniahidi kulipa fadhila nikienda kwao huko. Kila mara ananisisitiza niende kumtembelea nikawaone watoto wazuri wa huko.

Kwa mwendo huu ntajitahidi niende nikae hata wiki mbili tu niongeze umri maana huwa wanasema visit Eithiopia and become 7 years younger. Nani asietaka kuwa kijana muda wote, nani asietaka watoto wazuri.

.....Maisha kujipanga tu Mkuu
 
Tutaenda mkuu tujipange. Kuna huyo rafki yangu ni mmisionari alipokua huku nilikua namsaidia kutafta watoto wakali wa mjini, akaniahidi kulipa fadhila nikienda kwao huko. Kila mara ananisisitiza niende kumtembelea nikawaone watoto wazuri wa huko.

Kwa mwendo huu ntajitahidi niende nikae hata wiki mbili tu niongeze umri maana huwa wanasema visit Eithiopia and become 7 years younger. Nani asietaka kuwa kijana muda wote, nani asietaka watoto wazuri.

ruksa kuoa
 
Hao wanatofauti gani na huyu
 

Attachments

  • 1435654200068.jpg
    1435654200068.jpg
    37.7 KB · Views: 342
Tutaenda mkuu tujipange. Kuna huyo rafki yangu ni mmisionari alipokua huku nilikua namsaidia kutafta watoto wakali wa mjini, akaniahidi kulipa fadhila nikienda kwao huko. Kila mara ananisisitiza niende kumtembelea nikawaone watoto wazuri wa huko.

Kwa mwendo huu ntajitahidi niende nikae hata wiki mbili tu niongeze umri maana huwa wanasema visit Eithiopia and become 7 years younger. Nani asietaka kuwa kijana muda wote, nani asietaka watoto wazuri.

Watu mnamambo sana sasa huyo ndg umisionary wake nikatika ishu gani maana daah
 
Mkuu tunaweza kua tunashare interest maana mimi pia situmii kilevi chochote hata soda sinywi zaidi ya maji. Hicho ndio kilevi changu mkuu.

Pia umesema unapenda watoto warefu, huo ndio ugonjwa wangu mkuu, mwanamke mrefu ananimaliza nguvu. Mimi mwenyewe nasimama 6.2ft. Bongo kwa kweli tuna uhaba wa watoto warefu.

Teh teh teh teh😀😀
 
gonga kabisa mademu wa kiethiopia ndio wanawake wanaoongoza kwa uzuri duniani. ata kule dubai wanawake wa bei gali ni hao. ila uchumi wa waethiopia ni mbaya sana mikoani.
 
Wakuu nipo Addis Ababa, hapa nimekuja kumtembelea shemeji/wifi yenu, walahi nawaambia sikutegemea wala sikufikiria kukuta maendeleo kama haya.

Jiji limejipanga hata flyovers za kueleweka, halafu kuna hizi treni sijui za umeme manake nashindwa hata niwaelezeje, wenzetu National Housing zao zipo za watu wa hali ya chini pia.

Jamani Addis Ababa ni shughuli nyingine.

Jiji safi sana, aise hivi Tanzania imekosa nini hadi kila kitu kishindikane?

Picha zinakuja soon.


Hahahhaha mkuu usisahau upate msosi wao maarufwa injera na watt aisee huwa mikate yao na mchuzi mzitto ni hatar sana.
 
pitia nairobi

Asante Mkuu,niandalie mrefu dizaini ya hao walioko airport kwenye picha. Pia fuatilia na uraia naona safari ya matumaini ya Lowassa inaweza kubuma muda wowote na mimi siko tayari kuongozwa na raisi tofauti na Safari ya matumaini.
 
Hahahhaha mkuu usisahau upate msosi wao maarufwa injera na watt aisee huwa mikate yao na mchuzi mzitto ni hatar sana.

wanapenda sana mikate hawa watu, kiukweli wanawake wa ethiopia na wazuri wa asili hata bible imewataja hawa watu,wenyewe hawana hata makuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom