Duh! Mkuu heshima yako.Ninyi watoto wa juzi tu hapo! Mkongwe nilikuwa hapo 1981 - 84 dom la mkwawa 27.
Kumbe hajamkuta mwl wa vijana ndugu Mpande?
Tulikula sana machungwq na malimao hapo Orchard!
Kuna na wa sisi VETA-Moshi
Sisi Wa Lyamungo Hatuhitajiki Hapa.... ??
meku acha kambaMhm nisoma hapo , nikahama zamani kidogo 2005nikiwa kidato cha 3
HahahaLeo nimekumbuka sehemu ambayo ilitengeneza vijana wengi kuliko ilivyotengeneza majengo...
Moshi Technical Secondary School.
Kuna shule ambazo unaondoka na cheti tu, lakini kuna shule unaondoka na kumbukumbu zinazokufuata maisha yote.
Wapo waliokuja wakiwa watoto wakarudi majumbani wakiwa wanaume.
Ukiwahi kusoma hapa, ni jambo gani moja huwezi kulisahau mpaka leo?
Hizi ni baadhi ya picha za muda kidogo zipo kwenye gallery yangu naambiwa shule imefanyiwa ukarabati mkubwa sana.
View attachment 3598591View attachment 3598592View attachment 3598593View attachment 3598594View attachment 3598596
Mi naamini ktk shule za tech hakuna shule iliyoikuta Mazengo Tech kimajengo, elimu na hata karakana za ufundi zilikuwa na mashine nyingi na za thamani kubwa sana.
Mazengo Technical Sec School bonge moja la skonga. Serikali walibugi sana kuwapa wale wajerumani
Inategemea mzee Mimi nimesoma Mosh Tech na Iyunga Tech ila kwa vifaa vya kalakana na kitambo Iyunga ilikuwa kibokoMi naamini ktk shule za tech hakuna shule iliyoikuta Mazengo Tech kimajengo, elimu na hata karakana za ufundi zilikuwa na mashine nyingi na za thamani kubwa sana.
Mazengo Technical Sec School bonge moja la skonga. Serikali walibugi sana kuwapa wale wajerumani.
Mi naamini ktk shule za tech hakuna shule iliyoikuta Mazengo Tech kimajengo, elimu na hata karakana za ufundi zilikuwa na mashine nyingi na za thamani kubwa sana.
Mazengo Technical Sec School bonge moja la skonga. Serikali walibugi sana kuwapa wale wajerumani.
Inategemea mzee Mimi nimesoma Mosh Tech na Iyunga Tech ila kwa vifaa vya kalakana na kitambo Iyunga ilikuwa kibokokuwapa wale wajerumani.
Kwa nini ni kamba mangi😅meku acha kamba
Hahahamabinti wa weruweru na headmistres wao walikuwa jau kinoma, wanaringa ila mwisho wa siku tumekutana kitaa nakumbuka kimemo changu nimekiandika kwenda kwa Jane wa spika R.I.P PCB me nikiwa PCB kumbe nasoma hekele kama secretarybird
Yeah , juzi juzi tu hapa ila mtoto Aliezaliwa 2002 tayari ni mshangaziKumbe 2002 ulikuwa form one! Enzi zetu A level ilikuwa ni Old Moshi tu Kilimanjaro nzima.
Kuna huyo siku tumeshapasi nguo na kila kitu afu tunaenda event ya issue za ECA, HGE, EGM, nadhani wao wana ECA pia kwani walikuja ety headmistress katoa tamko day one before kama shule fulani itakuwepo hantoenda tenaHahaha
Bwashee inaonekana umewadonoa sanaKuna huyo siku tumeshapasi nguo na kila kitu afu tunaenda event ya issue za ECA, HGE, EGM, nadhani wao wana ECA pia kwani walikuja ety headmistress katoa tamko day one before kama shule fulani itakuwepo hantoenda tena
Wapo ni masaidia fundi mkuuSi ndio waliitwa vipaji maalum? Hope ni mainjinia na mafundi mitambo wakubwa kwa sasa waliohudhuria hapa. Vipi wapo wapi sasa hapa shitholeni? Au ilikua sera tu km zingine wakati tunawategemea wachina hadi kutuzibia viraka vya sufuria na mapipa ya kupikia mbege na kindi hadi leo!
Na wewe pia.Duh! Mkuu heshima yako.
Yeah Watoto wa Kimachame wanaosoma Ashira.Ashira girls ipo Marangu lakini, au ulikuwa unawa-isolate girls from Machame wanaosoma Ashira?
somo la Technical drawing ulianza hata kulisoma kweli lazima ungekimbia kijana wanguKwa nini ni kamba mangi😅
Usibishe usichokijua mkuu.Inategemea mzee Mimi nimesoma Mosh Tech na Iyunga Tech ila kwa vifaa vya kalakana na kitambo Iyunga ilikuwa kiboko
Sasaivi ni chuo cha st johnMi naamini ktk shule za tech hakuna shule iliyoikuta Mazengo Tech kimajengo, elimu na hata karakana za ufundi zilikuwa na mashine nyingi na za thamani kubwa sana.
Mazengo Technical Sec School bonge moja la skonga. Serikali walibugi sana kuwapa wale wajerumani.