Ndugu yangu
JF-Expert Member
- Aug 3, 2013
- 674
- 353
Kiongozi una gari, inavyoonyesha huna, siku umenunua tena iwe yenye 0 km, ndipo utajua ukubwa wa tatizo lilivyo, uspotoa anakukatia risiti ya faini ili kukukomoa, hii tatizo ni kwa kila geti walilosimama tena ni nchi nzimaBora utowe za kubrashia viatu, maana Magari ya wabongo mengi ni Vimeo yakikaguliwa huwezi kosa Makosa kibao! Kwa hiyo Askari wetu wa barabarani wanahuruma sana,we unazani wakiamua kukomaa kuangalia mapungufu ya chombo chako Cha Moto nani atabaki road!?
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app