KERO RTO Arusha, Polisi wa Usalama Barabarani (Trafiki) ni janga. Chukua Hatua

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

Don Moen

JF-Expert Member
Nov 12, 2020
1,566
2,944
Arusha ni jiji muhimu sana kiuchumi ukizingatia kuwa linaongoza kwa kupokea wageni hasa watalii.

Askari hawa wa usalama wanasababisha kero nyingi kama ifuatavyo;

1. Wamejazwa kila barabara ya kuingia na kutoka mjini na wanasimamisha kila gari, hata usipikuwa na kosa watakung'ang'ania wapewe posho kwa kisingizio (chakula cha boss).

2. Katikati ya mji hiace zinasumbua sana, nyingi haziingii vituo husika kama stand ndogo, Kilombero, na badala yake wanageuza kila mahali na kusababisha foleni na usumbufu mkubwa kwa watumia barabara.

3. Posta ya Meru pamoja na CMC ni usumbufu mkubwa kwa hiace za njiro, Morombo na kisongo, hapo katikati huwani askari kwani sio sehemu nzuri kwao kukusanya posho.

Nashauri uwapange askari wako wawajibike na sio kukusanya posho tu, uzembe wao unakwamisha shughuli za kiuchumi.

Mwisho, jina lako linatumika vibaya kuwa unawatuma posho.
 
Arusha kuna msururu wa trafic na wanasimamisha magari hovyo.
Kila baada ya kilomita moja lazima ukutane nao. Watalii huwa wanauliza mbona askari wengi barabarani kuna ishu gani?

Angalia huu umbali usiozidi kilomita 7 na ni barabara moja jinsi walivyorundikana:
~Philips
~Sanawari
~Mianzini kabla ya mataa
~Mianzini baada ya mataa
~Triple A
~Sakina Bar
~Raskazoni
~Arusha Meat
 
Arusha ni jiji muhimu sana kiuchumi ukizingatia kuwa linaongoza kwa kupokea wageni hasa watalii.

Askari hawa wa usalama wanasababisha kero nyingi kama ifuatavyo;

1. Wamejazwa kila barabara ya kuingia na kutoka mjini na wanasimamisha kila gari, hata usipikuwa na kosa watakung'ang'ania wapewe posho kwa kisingizio (chakula cha boss).

2. Katikati ya mji hiace zinasumbua sana, nyingi haziingii vituo husika kama stand ndogo, Kilombero, na badala yake wanageuza kila mahali na kusababisha foleni na usumbufu mkubwa kwa watumia barabara.

3. Posta ya Meru pamoja na CMC ni usumbufu mkubwa kwa hiace za njiro, Morombo na kisongo, hapo katikati huwani askari kwani sio sehemu nzuri kwao kukusanya posho.

Nashauri uwapange askari wako wawajibike na sio kukusanya posho tu, uzembe wao unakwamisha shughuli za kiuchumi.

Mwisho, jina lako linatumika vibaya kuwa unawatuma posho.
Tanzania bwana. Jina lake linatumika vibaya kwani yeye amelala na asijue kinachoendelea? Kama hajui kuwa jina lake linatumika vibaya basi huyo hafai kuwa askari. Ukweli ni kwamba yeye anajua kila kitu.
 
Arusha kuna msururu wa trafic na wanasimamisha magari hovyo.
Kila baada ya kilomita moja lazima ukutane nao. Watalii huwa wanauliza mbona askari wengi barabarani kuna ishu gani?

Angalia huu umbali usiozidi kilomita 7 na ni barabara moja jinsi walivyorundikana:
~Philips
~Sanawari
~Mianzini kabla ya mataa
~Mianzini baada ya mataa
~Triple A
~Sakina Bar
~Raskazoni
~Arusha Meat
Hatari
 
Tanzania bwana. Jina lake linatumika vibaya kwani yeye amelala na asijue kinachoendelea? Kama hajui kuwa jina lake linatumika vibaya basi huyo hafai kuwa askari. Ukweli ni kwamba yeye anajua kila kitu.
Nafikiri amesema vizuri kwasababu yeye hajathibitisha, huenda anasingiziwa
 
Nafikiri amesema vizuri kwasababu yeye hajathibitisha, huenda anasingiziwa
Mkuu, kile kitendo cha kusema ''anasingiziwa'' kinaonyesha hafai. Utakuwaje kamanda wa polisi na haya yote yatokee bila wewe kujua? Huona atakuwa ni kamanda mzembe asiyejua kazi yake? Ni yale yale ya ''rais ni mzuri lakini anaangushwa na wasaidizi wake''.
 
Mkuu, kile kitendo cha kusema ''anasingiziwa'' kinaonyesha hafai. Utakuwaje kamanda wa polisi na haya yote yatokee bila wewe kujua? Huona atakuwa ni kamanda mzembe asiyejua kazi yake? Ni yale yale ya ''rais ni mzuri lakini anaangushwa na wasaidizi wake''.
Hahaha
 
Arusha kuna msururu wa trafic na wanasimamisha magari hovyo.
Kila baada ya kilomita moja lazima ukutane nao. Watalii huwa wanauliza mbona askari wengi barabarani kuna ishu gani?

Angalia huu umbali usiozidi kilomita 7 na ni barabara moja jinsi walivyorundikana:
~Philips
~Sanawari
~Mianzini kabla ya mataa
~Mianzini baada ya mataa
~Triple A
~Sakina Bar
~Raskazoni
~Arusha Meat
Hapo sawa na wamefunga barabara
 
Arusha ni jiji muhimu sana kiuchumi ukizingatia kuwa linaongoza kwa kupokea wageni hasa watalii.

Askari hawa wa usalama wanasababisha kero nyingi kama ifuatavyo;

1. Wamejazwa kila barabara ya kuingia na kutoka mjini na wanasimamisha kila gari, hata usipikuwa na kosa watakung'ang'ania wapewe posho kwa kisingizio (chakula cha boss).

2. Katikati ya mji hiace zinasumbua sana, nyingi haziingii vituo husika kama stand ndogo, Kilombero, na badala yake wanageuza kila mahali na kusababisha foleni na usumbufu mkubwa kwa watumia barabara.

3. Posta ya Meru pamoja na CMC ni usumbufu mkubwa kwa hiace za njiro, Morombo na kisongo, hapo katikati huwani askari kwani sio sehemu nzuri kwao kukusanya posho.

Nashauri uwapange askari wako wawajibike na sio kukusanya posho tu, uzembe wao unakwamisha shughuli za kiuchumi.

Mwisho, jina lako linatumika vibaya kuwa unawatuma posho.

Wala usipoteze mda..... Hawatakusikiliza, mambo ya kumshtaki mtu kwa ndugu zake.
 
Back
Top Bottom