Restless Hustler
JF-Expert Member
- Apr 9, 2017
- 4,773
- 18,160
- Thread starter
- #101
Una utani wa ngumiKuna binadamu na wamasai
Rafiki usinifikirie vibaya Rafiki
Morani rafiki
Una utani wa ngumiKuna binadamu na wamasai
Rafiki usinifikirie vibaya Rafiki
Morani rafiki
Daaha maskin wee hiyo jeuri ya kufanya hivyo anaitoa wapi yaan mm ningekuwa Men wangenitambua madem kama hao....Huyu dada nilikuwa nampenda Sana na kwa muonekano alikuwa ni wife material.
Licha ya kuwa nilimpenda na nimekuwa natoa hela ya matumizi Ila akawa ananipikia ugali na mboga za majani, yeye na mwanaye wanakaanga ndizi, viazi ulaya na nyama wanaweka na kachumbari.
Siku akinipikia wali nyama, wao wanakula wali nyama na matunda/ juice. Yaani Ni lazima aweke utofauti kwenye mlo wangu na wa kwao.
Nimemuonya mara nyingi aache ubaguzi maana hela ya chakula siyo yake iweje wananibagua? Lakini hakusikia
Nikaona niwafukuze tu
Tumezozana usiku wa kuamkia Leo hataki kutoa vitu nje lakini nimemshinda.
Tukiwaambia hawaelewKwahiyo hadi muda huu wako nje siyo?
Alikuja aumlishe na mwanaye
We hujiulizi kwanini aliyemzalisha kmtelekeza na mtoto?
Umejidai tasaf,saidia Kaya maskin
Pole tafuta mwingine umlishe na mwanaye manake yaonekana ndo kipaji chako.
UngefanyajeDaaha maskin wee hiyo jeuri ya kufanya hivyo anaitoa wapi yaan mm ningekuwa Men wangenitambua madem kama hao....
weka namba yake hapa, kuna wadau masingo wanaweza kumuoa. usimfungie milango. weka namba.Huyu dada nilikuwa nampenda Sana na kwa muonekano alikuwa ni wife material.
Licha ya kuwa nilimpenda na nimekuwa natoa hela ya matumizi Ila akawa ananipikia ugali na mboga za majani, yeye na mwanaye wanakaanga ndizi, viazi ulaya na nyama wanaweka na kachumbari.
Siku akinipikia wali nyama, wao wanakula wali nyama na matunda/ juice. Yaani Ni lazima aweke utofauti kwenye mlo wangu na wa kwao.
Nimemuonya mara nyingi aache ubaguzi maana hela ya chakula siyo yake iweje wananibagua? Lakini hakusikia
Nikaona niwafukuze tu
Tumezozana usiku wa kuamkia Leo hataki kutoa vitu nje lakini nimemshinda.
Am sorry am very chap kwenye kuuaUngefanyaje
Duh 🙄Am sorry am very chap kwenye kuua
Ndio maana basi. Sasa wewe unatakiwa kujua huyo anatumia mapenzi kama ajira ya kujipatia mahitaji yake na mwanae.Elewa basi, Ni mpenzi tu. Mtoto nilimkuta naye
🎯Ndio maana basi. Sasa wewe unatakiwa kujua huyo anatumia mapenzi kama ajira ya kujipatia mahitaji yake na mwanae.
So bora amekuonyesha mapema sana kuwa si mtu mzuri.
Hii inahitaji roho ya chuiHapo na wewe ungekua unakula huko ukimaliza unachukua ka chips kuku unakuja nako home unajitengea unashushia taratiiibu huku unawacheki kwa jicho muulizo kua mnajisikiaje.
Ungewafanyaje??Daaha maskin wee hiyo jeuri ya kufanya hivyo anaitoa wapi yaan mm ningekuwa Men wangenitambua madem kama hao....