Mr.Wenger
JF-Expert Member
- Nov 20, 2014
- 2,572
- 6,199
Wakishauriwa wabishi sana mpaka yawakute, single mothers sio kuoa tu hata kudeti nao hawafai asije akakuroga bure ukazama mazimaAcha kulialia si ulishakatazwa usioe single maza au kwenye vikao mahudhurio yako siyo mazuri.

